cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,157
- 181,310
Sasa madam Dr had afuatilie tetemeko LA turkey leo hyoo??Topic rahisi sana hiyo. Fuatilia tetemeko Uturuki utaielewa vizuri.
Sasa madam Dr had afuatilie tetemeko LA turkey leo hyoo??Topic rahisi sana hiyo. Fuatilia tetemeko Uturuki utaielewa vizuri.
Hahahaha umesahau na mayombya kwenye pureAaaaah kizazi cha mgote, ngaiza, unga na muddy..
Kwanza hata wenyewe madogo.. hukuti wakisoma past paper za miaka hiyo ahahhahahah weeeh ile ilikua phy..au matatizoMzee physics ya A level 2022 utalinganisha na ya 2013 huko
Sawa sawa... Ni utelezi tuuHahahaha umesahau na mayombya kwenye pure
Hapa kwenye math umetupiga kamba parefu sana huwezi usisome probability paper 2 section A siku hizi marks 15 swali la lazima ,integration paper 1 marks 10 nalo swali la lazima hiyo differential ni optional ila nayo ni topic rahisi tu hafu upige A ya advanced math kijana hapa umejimwafai.Mimi A level
1. Physics sikusoma mechanics yote,wave zote, current electricity, na ile ya molecules
Nilitoka na E necta
2.Chemistry organic chemistry yote sikusoma nimetoka na B necta
3. Mathematics differential, integration, probability sikusoma nimetoka na A necta hii ilikuwa 2022
O level sasa
1. History topic za form 3 zote sizijui nimepiga C necta
2. Civics sexy nimepiga B
3. Geography physical yote sikusoma nimechomoa B necta
4. Physics topic za form 3 nilikuwa weak sana nimechomoa C necta
5. Chemistry Nilikuwa nipo good nashaanga nimepiga C![]()
6. Kiswahili ximamoto nikatusua B yangu safi
7. Mathematics mpenxi wangu A nilikuwa najua kila topic hivyo nilikua sure
8. English kama mathe tu
9.Biology nilikuwa nipo avg kwenye kila topic Nikapiga B yangu fresh
Hiii ilikuwa 2019
Hiii physics ya 2013 hio pepa niliionaga kwenye review maswali mengi ni out of sylabus aiseeeKwanza hata wenyewe madogo.. hukuti wakisoma past paper za miaka hiyo ahahhahahah weeeh ile ilikua phy..au matatizo
Si unaona siku hizi wanavyonyuka one za 3 sio mchezo wakati miaka hiyo TO anaanzia 1.4 tena kuna mwaka TO alikuwa na 1.5Kwanza hata wenyewe madogo.. hukuti wakisoma past paper za miaka hiyo ahahhahahah weeeh ile ilikua phy..au matatizo
Ahahahahahah rotation of rigid body.Hiii physics ya 2013 hio pepa niliionaga kwenye review maswali mengi ni out of sylabus aiseee
Rotational dynamics ni kisanga sijui Cha wapi fluid dynamics kimbilio la wengi ndo usiseme khaa aseee 😠
Paper 3 nipumbu kabisa watu walibamizwa sana ule mwaka imagine T.o ana C ya 67 physics ndo topper tz nzima hahahaha
Kipindi kile ile mizigo sio poa ...Si unaona siku hizi wanavyonyuka one za 3 sio mchezo wakati miaka hiyo TO anaanzia 1.4 tena kuna mwaka TO alikuwa na 1.5
Hahha am serious mkuu nilikuwa makini na paper 1 sana hivyo nguvu niliweka kwenye topic zingine mkuuu na niliuwa najihesabia kati ya topic 9 za maswali 9 paper 1 sikosi 75 and above nilikuwa accurate sanaHapa kwenye math umetupiga kamba parefu sana huwezi usisome probability paper 2 section A siku hizi marks 10 marks 15 swali la lazima ,integration paper 1 marks 10 nalo swali la lazima hiyo differential ni optional ila nayo ni topic rahisi tu hafu upige A ya advanced math kijana hapa umejimwafai.
Yule alienzisha thread ya kumuenzi t.o kihombo aliyekufa na ukimwi 2020 namjua sana mkuuAhahahahahah rotation of rigid body.
Humu kuna jamaa anaitwa Baba Swalehe ni fundi sana wa haya mambo
Hii subtopic ya mechanics Watu wanaiogopaga bure ila ni simple ukipata mwalimu mzuri akuvunjie.....kwanza ni kama Newtons tu sema yenyewe kwenye force unaweka torque yahn unageuza vimaneno....Ahahahahahah rotation of rigid body.
Humu kuna jamaa anaitwa Baba Swalehe ni fundi sana wa haya mambo
Ewaaaah huyo huyo .... Sema phy mpaka leo naipenda ila pia naiheshimu....!!🙌🙌Yule alienzisha thread ya kumuenzi t.o kihombo aliyekufa na ukimwi 2020 namjua sana mkuu
Tunavitumia hivi sie ma surveyor sana.. hakina maajabu 😅😅Mmmh tunaanza kutishana National Anthem khaa
Basi advanced Mathematics imekuwa nyanya sana kwa kifupi Zaman huwezi ukapata Au hafu hizo topic usizijue labda probability enzi zetu ilikuwa section B hata mimi hii topic niliipga chini nikakomaa na trig, differential na cord 2Hahha am serious mkuu nilikuwa makini na paper 1 sana hivyo nguvu niliweka kwenye topic zingine mkuuu na niliuwa najihesabia kati ya topic 9 za maswali 9 paper 1 sikosi 75 and above nilikuwa accurate sana
Na paper 2 probablility nilikuwa nazimia moto sio kwamba siisomi kabisa hivyo swali la marks 15 sikosi 5 au less lakini maswali mengine nilikuwa deep sana necta wakaleta maziwa nikaya mwaga
Naposema sikusoma sisemei nilikuwa kapaaa kabisa no ila knowledge ilikuwa ndogo sababbu ya zima moto ila nilikuwa na kitu kidogo akilini
Yaaah phy hata ikikusaliti necta wee uhakika unao mtaani...Hii subtopic ya mechanics Watu wanaiogopaga bure ila ni simple ukipata mwalimu mzuri akuvunjie.....kwanza ni kama Newtons tu sema yenyewe kwenye force unaweka torque yahn unageuza vimaneno....
Binafsi phy nimeibonda sana sema Necta ilinisaliti na huku kitaa inaniweka mjini kwa kupigisha mapind.....ila nikiri haijanilipa kabisa
Physo ya A level imenikatisha stimu na ilinipunguzia nguvu za kiume nilikuwa na kichwa kizito sana kuielewa bora nibaki na hesabu yangu 💕💕💕 tuEwaaaah huyo huyo .... Sema phy mpaka leo naipenda ila pia naiheshimu....!!🙌🙌
Oshey mr 💰 usipende kuamkiwa amkiwa mkuuu 💩💩
Duuh ndo nakijua sasa....Tunavitumia hivi sie ma surveyor sana.. hakina maajabu 😅😅View attachment 2524445
Sasa wewe kama unaikimbia phy mwenzak wa pcb je....Physo ya A level imenikatisha stimu na ilinipunguzia nguvu za kiume nilikuwa na kichwa kizito sana kuielewa bora nibaki na hesabu yangu 💕💕💕 tu