Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Sema mlinyonyana sana midomo sio 😹😹 na kushikanashikana akili za o level hizo utoto utoto mwingi
Utoto unakuta ninght tunaenda kwenye garden tunazungusha mishumaa na maua na matunda.. kama wahindi vile .
Watoto wa zamani tulikuwa hatufanyi matusi kama wa sasa ila tulikuwa tunapenda sana
 
😂😂😂 mkuu so wewe ulikua unapataga A A za hysics na maths???
Mi niseme tuu ukweli nilipenda sana hayo masomo ila yenyewe hayakunipenda
Kiufupi nilijipendekeza sana lakini waaapiiii
Zaidi zaidi nilijutia kujichanganya na hizo combination za ajabu ajabu
 
Utoto unakuta ninght tunaenda kwenye garden tunazungusha mishumaa na maua na matunda.. kama wahindi vile .
Watoto wa zamani tulikuwa hatufanyi matusi kama wa sasa ila tulikuwa tunapenda sana
Wapi ww kwaiyo saivi umehamishia karata kwa wake za watu na kuomba 0714 sio ukubwa dawa kwelikweli 😕 🤣🤣🤣🤣
 
Mi niseme tuu ukweli nilipenda sana hayo masomo ila yenyewe hayakunipenda
Kiufupi nilijipendekeza sana lakini waaapiiii
Zaidi zaidi nilijutia kujichanganya na hizo combination za ajabu ajabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wengi wananharibikaa 4m 3 ndo wanajichanganyaa.
 
Back
Top Bottom