Hii topics unatakiwa uisome mapema kabla hujasoma inorganic..wakati unasoma inorganic hakikisha ulishaanza tayari ku solve Maswali ya organic...nakuhakikishia utapenda na hutokosa swali la organic kirahisi.Organic chemistry wanaofaulu sijui wanasomaje .
Wajamaa walituamulia aisee....hatukuwa vilaza eti Ila history 1&2,Geog 2,Eco 1&2 niliandika mpaka nikanyang'anywa Pepa afu unakuja cdd aisee...bado nawalaumu necta maana hawakututebdea hakiHuo mtihani sitausahau KBS uliyeyusha ndoto zangu za kua mchumi mbobezi
Ile Pepa walitungia chooni manina..maelezo tu mwanzo mwishoMwaka wenu pure mathematics ilikuwa hatari physics kulikuwa hakuna A t.o mwenyewe ana C
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala practical nilifanya fresh..nakumbuka walisahau kutuwekea betri tukakaa kwenye chumba 4 hours hivi maana walishtuka tumeshaingia tayari.Uchukie physics tangu njuka af upate C unafanya mchezo nn huenda una zali sn co bure
Ndio huo mwaka..yalitoka yakafutwa yakarudiwa. Yakamwachisha kazi NdalichakoAisee nadhani hautosahau kamwe, inakuwa kama mwaka fulani ambapo matokeo ya form four yalitoka mara mbili ilikuwa patashika nguo kuchanika

