Physics ya A level nilikuwa very weak mkuuuMmmh kwa phy hapo.... Ni kama sijaelewa hivi..?
Advc hapo eleza vizuri ni kweli hukusoma mechanics wewe yoote...Physics ya A level nilikuwa very weak mkuuu
Yes sikuisoma yote na ilinicost sana paper 1 yaani niliipuuzia sana mkuuu vipi au kisa mechanics ina topic 7 sioAdvc hapo eleza vizuri ni kweli hukusoma mechanics wewe yoote...
Huyo msomi anatupigaMmmh kwa phy hapo.... Ni kama sijaelewa hivi..?
Kabisa yaaani ngoja tuone kwanza 😂😂😂😂😂😂😂😂. Alafu jana ukaondoka bila kunipa matumizi ya kile kifaaHuyo msomi anatupiga
Yaani navyosema sikuisoma namaanisha nilikuwa zima moto mkuuu yaani siku ya pepa tu napitia chapuchapu ya kubahatisha ila sikua deepKabisa yaaani ngoja tuone kwanza 😂😂😂😂😂😂😂😂. Alafu jana ukaondoka bila kunipa matumizi ya kile kifaa
GPSMAP tunazitumia tunapokuwa porini, tusipotee lakini kuna kuwa route lazima uipite ile ina rahisha maishaKabisa yaaani ngoja tuone kwanza 😂😂😂😂😂😂😂😂. Alafu jana ukaondoka bila kunipa matumizi ya kile kifaa
Yaaani unaposema hukusoma mechanics maana yake wee paper 1Yes sikuisoma yote na ilinicost sana paper 1 yaani niliipuuzia sana mkuuu vipi au kisa mechanics ina topic 7 sio
Mmmh tunaanza kutishana National Anthem khaaGPSMAP tunazitumia tunapokuwa porini, tusipotee lakini kuna kuwa route lazima uipite ile ina rahisha maisha
Kuna topic kama dimensional analysis,heat, elctronics, hizo ndo nilikuwa fresh hivyo zile za mechanics nilikuwa na jibu kutokana na zima moto yangu ilivyoakilini ndo maan nilipiga E mkuuYaaani unaposema hukusoma mechanics maana yake wee paper 1
Ulijibu vipi mkuu...
Topic rahisi sana hiyo. Fuatilia tetemeko Uturuki utaielewa vizuri.Tectonic plates
Muwe mnaamikia watu hapa kabla ujapost.Mimi A level
1. Physics sikusoma mechanics yote,wave zote, current electricity, na ile ya molecules
Nilitoka na E necta
2.Chemistry organic chemistry yote sikusoma nimetoka na B necta
3. Mathematics differential, integration, probability sikusoma nimetoka na A necta hii ilikuwa 2022
O level sasa
1. History topic za form 3 zote sizijui nimepiga C necta
2. Civics sexy nimepiga B
3. Geography physical yote sikusoma nimechomoa B necta
4. Physics topic za form 3 nilikuwa weak sana nimechomoa C necta
5. Chemistry Nilikuwa nipo good nashaanga nimepiga C![]()
6. Kiswahili ximamoto nikatusua B yangu safi
7. Mathematics mpenxi wangu A nilikuwa najua kila topic hivyo nilikua sure
8. English kama mathe tu
9.Biology nilikuwa nipo avg kwenye kila topic Nikapiga B yangu fresh
Hiii ilikuwa 2019
Good 👍👍.... Hiyo ni 2019 mkuu sioKuna topic kama dimensional analysis,heat, elctronics, hizo ndo nilikuwa fresh hivyo zile za mechanics nilikuwa na jibu kutokana na zima moto yangu ilivyoakilini ndo maan nilipiga E mkuu
No A level 2022 o level ndo 2019Good 👍👍.... Hiyo ni 2019 mkuu sio
Aaaaaaah mlisoma practically nini..!?Topic rahisi sana hiyo. Fuatilia tetemeko Uturuki utaielewa vizuri.
Mzee physics ya A level 2022 utalinganisha na ya 2013 hukoGood.... Hiyo ni 2019 mkuu sio
Aaaaah kizazi cha mgote, ngaiza, unga na muddy..No A level 2022 o level ndo 2019