Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Mi naona shida ni either kitabu unachokitumia je kina data husika, kuna ambao wanajibu maswali kulingana na vitini .
NB:Sina mashaka na kitabu ulichotumia.
GLU
Kwa mtazamo wangu binafsi naona walimu wanafuata kasumba ambayo wameirithi kwa walimu wao toka enzi na enzi.

Real example ni hii.. Nimesoma advanced biology, nilikua nasoma vitabu vyote + kupata concept vizuri kabisa. Nikijibia mtihani kwa ufupi na kueleweka naambiwa maelezo hayajajitosheleza, nikijaza maelezo mengi naambiwa advanced biology haiitaji maelezo marefu hivo.

Sasa niandikaje? Jibu sipewi lakueleweka. So nikaja gundua kuwa advanced biology Imeharibiwa na walimu wa enzi hizo ambao walifundisha walimu wetu.

So advanced biology Inategemea na mzuka wa ticha kwa siku hiyo, akiamka poa unaweza pata full marks kwa kila swali & vice versa Is true.
 
Masomo ya maelezo yana matatizo mno. Ni sawa na kumtongoza mtu mzima akukubali, si kazi ndogo. Sisi economics one na two mwaka 2013 walileta maelezo tu sijajua kama kuna aliyenusa A huo mwaka maana T.O walikua na nne kama sikosei mpaka one ya sita ya Lucylight iliingia kwenye tano bora kitaifa.
Kabisa yani. Pia masomo ya maelezo walimu huwa wanasahihisha kwa mizuka yao sometimes tofauti na masomo ya namba.

So ticha akiamka vizuri ujue hiyo siku utakula marks za kutosha & vice versa
 
Mechanics shida ni Rotation kama concept za kuchomoa swali ni ndogo otherwise unaweza ukachomoka na marks nzuri sana
Rotation of rigid body Ilikua balaa juu ya balaa.
Hata kama una concept vipi swali halisogei. Formula zake zinategemea center of rotation Ipo wapi.

Kuna "perpendicular & parallel axis theorem" aseee kuna watu walikimbilia CBG sababu ya hiii topic
 
Organic haikua ngumu kiivo may be ulikosa ticha mzuri + mazoezi ya kutosha.

Inorganic chemistry ndio mama ake yaani haieleweki. Uzuri NECTA wanarudia sana questions so at last tulifarijika tofauti na hapo lingekufa jitu.
sisi tulikumbana na mambo ya Glycerine kwenye maswali ya organic,soil ilirudishwa section ya nyuma afu organic ilikuwa nilazima kufanya
 
Rotation of rigid body Ilikua balaa juu ya balaa.
Hata kama una concept vipi swali halisogei. Formula zake zinategemea center of rotation Ipo wapi.

Kuna "perpendicular & parallel axis theorem" aseee kuna watu walikimbilia CBG sababu ya hiii topic
Nimepata wazo lakupandisha dau kwenye ka tuition kangu, kwenye hii topic
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom