The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,136
- 8,005
Nilipofika form 3 nikaangalia Yale majina ya topics za physics, nikakubali yaishe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipofika form 3 nikaangalia Yale majina ya topics za physics, nikakubali yaishe tu
Hahahha kweli aisee hadi Leo siipendiWe huna lolote ulikua hupendi Shule
Ule mwaka we tu A za Biology hazikufika hata 10 B na C zilikuwa nyingiHope upo/umemaliza MD yako saaafi kabisa KCMC, CUHAS, MCHAS, UDOM.
MUHAS ukiwa na C ya Bios najua wanazingua
Congrats sana brother. Umemaliza salama Ila cha moto umekionaUle mwaka we tu A za Biology hazikufika hata 10 B na C zilikuwa nyingi
Nilipata MUHAS na MAKELELE, sema sikwenda, Nimemaliza MD in French nje ya nchi ila haikuwa rahisi![]()

Congrats sana brother. Umemaliza salama Ila cha moto umekiona![]()
Hahahha cha mto nimekiona kweli maee, halafu kizembe tu nije kufa na Corona, Lazima ni take rufaa nikifika Mbinguni.![]()


Hamna jinsi aisee ni kuomba usiipate tu, Huwezi kukimbia majukumu yako
Ujilinde sasa Corona haina mbabe.
Kwa kazi yako unakutana na watu wengi daily huoni kama upo karibu na Covid19?
Sure mkuu.Hamna jinsi aisee ni kuomba usiipate tu, Huwezi kukimbia majukumu yako
Mzee rahisi sana sema kulikua na ki part cha Stochiometry kama nakumbuka ndo kulikua kinatoa watu damu
The same kwangu. Ndilo somo nililopata chini ya c. Japo nilikuwa na vitabu vitatu tofauti vya uchambuzi wa vitabu na mashairi na nilivisoma vizuri.Somo la kiswahili O level nilipata D
Mzee rahisi sana sema kulikua na ki part cha Stochiometry kama nakumbuka ndo kulikua kinatoa watu damu

kweli kabisaElectromagnetism na mwenzake Electrostatic niliwanyooshea mikono juu kama wewe mkuu.Magnetism Advanced Physics mikono juu
Hii kitu ukifundishwa na Whiteman compex man complex mashine..aisee Ni maji.. yule alinipigisha ad Leo Ni Kama majiClimatology