Nionyeshe mzee. Hili ungeliweka ungeonekana akili yako inafanya kazi.Wewe umekuja kudandia mada hujasoma huko nyuma , tumeshaweka wote watatu
Stupidity is amazing
Nasubiri ushahidi.
Nionyeshe mzee. Hili ungeliweka ungeonekana akili yako inafanya kazi.Wewe umekuja kudandia mada hujasoma huko nyuma , tumeshaweka wote watatu
Stupidity is amazing
Ndivyo alivyokuambia au ndiyo mafundisho ya Kanisa lenu?Hakumaanisha Paul , ila aliandika Jina ambalo maana yake ni Paul
Jina ambalo maana yake ni Paulo,hiki ni nini ?Hakumaanisha Paul , ila aliandika Jina ambalo maana yake ni Paul
Kumbe unakubali kuwa hakumaanishi Paul,,Hakumaanisha Paul , ila aliandika Jina ambalo maana yake ni Paul
Toka mwanzo nilisha kwambia huyo ni Paul wa Allah , sijui akili zenu huwa mnatumiajeKumbe unakubali kuwa hakumaanishi Paul,,
Sasa kuna haja ya kuendelea na mjadala ?
Kumbuka Bado nakudai mwaka, mwezi na tarehe alozaliwa Yesu !!
Abdool Tumia akili na tafuta jina Bulus kwa lugha zingine acha kubweteka.Jina ambalo maana yake ni Paulo,hiki ni nini ?
Naendelea kucheka sana. Hujajibu swali langu. Kipi kimekujulisha kwamba Bulus ni Paulo ?Abdool Tumia akili na tafuta jina Bulus kwa lugha zingine acha kubweteka.
Stupidity is amazing
Sijawahi ona Abdool anatumia akili
Abdool wewe ni mtupu kabisa.Naendelea kucheka sana. Hujajibu swali langu. Kipi kimekujulisha kwamba Bulus ni Paulo ?
Imaam wetu Ibn Kathir hili ameliweka wazi sana,na akawakosoa pia,shida yenu hata hivyo vitabu hamna na hamvisomi.
Kuna swali niliuliza uniambie hao mitume walitumwa na nani ? Kwa idhini ya nani ? Hamkujibu. Aya ya 13- na kuendelea inaonyesha wazi kwamba hao mitume walitumwa ba Allah. Swali ni je Paulo alitumwa na Yesu au Allah...?
Lakini watu wake hawakuwaamini mitume hao ? Je ni kweli watu wa Antioki hawakuwaamini mitume ? Rejea Historia.
Ukisoma katika tafsiri ya Ibn Kathir kuna mapokezi mengine yanawataja mitume hao kwa majina matatu ambayo ni Sadiq,Saduq na Shalum.
Kwahiyo usiniletee habari za Google,unatakiwa urejee katika vitabu husika.
Paul wa Allah kwa uthibitisho gani ?Toka mwanzo nilisha kwambia huyo ni Paul wa Allah , sijui akili zenu huwa mnatumiaje
Hakumaanisha Paul ila Jina Bulus maana yake ni Paul.
Unanipa mashaka sana na ufahamu wako !!Nilisha kujibu tarehe unayotumia ni kwa mujibu wa Jesus Christ do your homework and make calculation
JosephAlizaa na mwanaume gani ?
Abdools mnapeana moyo, ibn Kathir kawavuta gonads mpaka mnachanganyikiwa Lala ukiwaza kesho utatetea jina Bulus lisiwe Paul, Ita mpaka kiongozi wako wa dini kesho nitakuwa onlineNdo kitu ambacho anashindwa kukielewa huyo..
Uthibitisho lazima atuambie kutoka katika vitabu vya İbn kathir, na sio Google..
Mpaka sasa ameshindwa kutuletea huo uthibitisho..
Naona umeanza kuelewa sasa,nataka nikuonyeshe Imaam wetu Ibn Kathir ameweka yote hayo wazi,sababu yeye alikuwa ananukuu toka kwa walio mtangulia.Abdool wewe ni mtupu kabisa.
Kasome vizuri hao mitume walitumwa na nani ndio tutaendelea na debet , kama issue hio hujui siwezi debate na kilaza
Abdools mnapeana moto, ibn Kathir kawavuta gonads mpaka mnachanganyikiwa Lala ukiwaza kesho utatetea jina Bulus lisiwe Paul, Ita mpaka kiongozi wako wa dini kesho nitakuwaNdo kitu ambacho anashindwa kukielewa huyo..
Uthibitisho lazima atuambie kutoka katika vitabu vya İbn kathir, na sio Google..
Mpaka sasa ameshindwa kutuletea huo uthibitisho..
Tarahe unayotumia leo hii ni kwa mujibu wa Yesu , Abdool acha kupoteza mda kutoka nje ya madaPaul wa Allah kwa uthibitisho gani ?
Wapi umeona Qur'an au hadith inamzungumzia mtu anayeitwa Paul ?
Unanipa mashaka sana na ufahamu wako !!
Kwanini hamjui mwaka, mwezi na tarehe alozaliwa Yesu ( mnayemuita Mungu wenu) ?
Hii ni dhahiri kuwa Ukristo ni dini ya uongo na ya kutungwa !!
Abdool nakucheka maana hata vitabu vyako huvijui, nenda kasome usiku huu , kasome scholar wa zamani kama watano tukutane kesho asubuhi , niku spankNaona umeanza kuelewa sasa,nataka nikuonyeshe Imaam wetu Ibn Kathir ameweka yote hayo wazi,sababu yeye alikuwa ananukuu toka kwa walio mtangulia.
Hapa nashughulika na nyinyi na upande wetu sisi,kwenu nyinyi mnaamini ya kuwa hao mitume walitumwa na Yesu,lakini katika Qur'aan mitume hao wametumwa na Allah.
Lakini swali ni je hao mitume walio tajwa katika aya walikuwa kabla ya Musa au baada yaani kipindi cha Yesu ? Haya ninayo yahoji hapa Imaam Ibn Kathir ameyaweka wazi.
Mwisho nakuja kuweka hitimisho la Ibn Kathir,linalo onyesha ya kuwa si Paulo.
Hawa hata kitabu cha Imaam Ibn Kathir hawana.Ndo kitu ambacho anashindwa kukielewa huyo..
Uthibitisho lazima atuambie kutoka katika vitabu vya İbn kathir, na sio Google..
Mpaka sasa ameshindwa kutuletea huo uthibitisho..
Hao wote nimewasoma na ukiangalia masimulizi yao hayaendi mpaka kwa Mtume.Abdool nakucheka maana hata vitabu vyako huvijui, nenda kasome usiku huu , kasome scholar wa zamani kama watano tukutane kesho asubuhi , niku spank
Lala ukimuota Bulus na Ibn Kathir
Ibn Kathir kawashika gonads na amezivuta kwa nguvu
Harudi tena,halafu hoja hii ameielezea imaam Ibn Kathir katika kitabu chake. Hawa vitabu hawana wanaokoteza mitandaoni tu kisha wanakuja huku kujadili, unakuta wanaacha mambo kibao.Imaamu Ibn Kathir amekusanya yote hayo na akahitimisha.Hapa kweli umemkamata !!
Je, Huyo Paulo alikuwepo kipindi cha Nabii Mussa ?
Hawezi kukujibu kwa hii hoja,, atakimbia...
Naona Abdool unaona umepata relief, lala ukijua ngoma bado nzito, nimewapa kazi usiku huu kasomeni scholar wenu wanzamani wa5 KUHUSU Aya husika kesho nije niwamalizeHapa kweli umemkamata !!
Je, Huyo Paulo alikuwepo kipindi cha Nabii Mussa ?
Hawezi kukujibu kwa hii hoja,, atakimbia...
Nimekupa kazi usiku huu kasome scholar wa5 KUHUSU Aya husika tukutane kesho , unataka upendeleo gani zaidi AbdoolHarudi tena,halafu hoja hii ameielezea imaam Ibn Kathir katika kitabu chake. Hawa vitabu hawana wanaokoteza mitandaoni tu kisha wanakuja huku kujadili, unakuta wanaacha mambo kibao.Imaamu Ibn Kathir amekusanya yote hayo na akahitimisha.
Nakushangaa unaponiambia hili,wakati Imaam Ibn Kathir ameyaweka maoni yao katika Tafsir yake.Nimekupa kazi usiku huu kasome scholar wa5 KUHUSU Aya husika tukutane kesho , unataka upendeleo gani zaidi Abdool