Sikubaliani na wewe dogo uchumba wa muda mrefu sio mzuri mara nyingi huishia kubwagana pengine kwa sasa una msukumo zaidi wa hamu ya kufanya mapenzi zaidi ya ndoa jaribu kulidhibiti hilo na komalia kitabu haya mambo yapo tukuoa c leo,bt lazma 2jenge mahusiano,uchumba then ndoa,so mda wa kumake mahusiano ndo sasa.