Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,652
sio silipi,i am very handsome kaka,and very bright
Weka picha tukuone! Pamoja na progress report yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio silipi,i am very handsome kaka,and very bright
Kudadadeki! Mjini shule, ukitaka wa kwako peke yako labda umuumbe mwenyewe! By F.A!
Wenzio tunang'aa sharubu humo humo!
...
Afu uache ushamba kuzoeana na mschana kidogo tu umeanza kutoa swaga za kuoa!!!
...
Afu wa 93! Kudadadeki uko chuo gani? Ngazi gani? U cant be undergraduate!!!!
Bora utulie tu! Uendelee na masomo yako!
sio silipi,i am very handsome kaka,and very bright
Kudadadeki! Mjini shule, ukitaka wa kwako peke yako labda umuumbe mwenyewe! By F.A!
Wenzio tunang'aa sharubu humo humo!
...
Afu uache ushamba kuzoeana na mschana kidogo tu umeanza kutoa swaga za kuoa!!!
...
Afu wa 93! Kudadadeki uko chuo gani? Ngazi gani? U cant be undergraduate!!!!
Bora utulie tu! Uendelee na masomo yako!
Weka picha tukuone! Pamoja na progress report yako.
I am tired with this world,i was born in 1993, student chuo fulani hapa tanzani,..kila ninapojaribu kumpenda msichana kawahiwa,mie had leo sina hata girlfriend and i am still virgin had leo,kwa kuwa nimekuwa i have to get a girl...mfano>>wiki mbli zilizopita nilikutana na binti mmoja hapa chuoni,2mezoeana sana cha kushangaza hana upendo na mimi nilipomwambia i want to marry her,je,members ni kweli wasichana wote mnawapenzi?je,mie nina mkosi??kama kuna msaada please voluntere!i am tired.
Kiruuuuu....ukamwambia u want to marry her????ndo mana unakimbiwa.hebu kwanza 2013-1993=20 endelea kujaribu mdogo wangu
mwali hii sentensi yako ya mwisho umesema kama nilivyo sema mimi.
mtu akili tu imeziba hajui anataka nini kwa wakati gani na yuko wapi
sasa sijui hao wadada anataka wakambikiri vipi.
angetafuta wadada wa kuibikiri akialkai yake kabla hata ya kiubikiri dushe lake
heheheh unatongoza kwa gia ya kuoa
sio kwa gia ya kuoa,bali its true am looking for a girl to marry.
ahahhahahha af wewe
ujue bado nna hasira na wewe!!poa tu!
af hii habari ya watoto wa kiume siku hiz kuadopt tabia za mama zao inatoka wapi!
zamani mtoto wa kiume alikuwa ANATAKA KUWA KAMA BABA!
UKIMWAMBIA MWANANGU UMEKUWA MREFU SIKU HIZI ,ye anaitikia KAMA BABA ENH!?
mwanangu kula haraka haraja ,ye ANAITIKIA KAMA BABA ENH?
Asprin, Dark City Kaizer Mtambuzi SnowBall HorsePower na wengine mna kesi ya kujibu!
HIVI SIKU HIZI BADO MNAENDELEA KWA MAROLE MODEL KWA WATOTO WENU WA KIUME JAMANI?
this is scary asee
natishika maana nahofia binti zangu wasije pata waume wanaolia lia mtoto kaumwa mafua ye anapiga simu kwa mamake !mxiiiiiiiiiiiiiiu!
too soon and even if ure looking for that usimwambie demu ivyo wewe............. mke ni another stage ukiingia kichwa kichwa lazima uangukie pua.......
BADILI TABIA i want to marry u?
sio silipi,i am very handsome kaka,and very bright
unavyoanza kutongoza ndio tatizo .......... hata me sitakuwa tayari unitongoze kwa gia ya i want to marry u..... nitakupa jibu litakuchefua maisha yako yote..........
poah,nimekupata...naitaji msaada wa hali ya juu coz this is too much why always me?