THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

weeee! aliyekwambia degree huchukuliwa nani? Zinasomwa tena kwa msoto mkali na manyanyaso kutoka kwa lecturers (japo sio wote). siku hizi kila kitu vijana wamesimplify, ndo maana unasema unachukua degree. soma kijana usichukue degree. au mwenzetu huko chuon degree zimetundikwa sehemu fulani, ukifika hapo unazuga miaka yako 3,4/5 then unaibeba?

nililiona hili nikaamua ninyamaze tu nisije nikaonekana nina tatizo binausi na kijana! eti nachukua digriii!
DAH!
ilikuwaje mimi sikuchukua asee!
 
Dah dogo mbishi huyu. Ndo maana wanakukataa. Haya nakupa namba ya mganga atakusaidia kwa haya:
-kuvuta mpenzi
-pesa za majini
-kusafisha nyota
-kushinda kesi
-kufaulu
n.k
 
Embu soma weye una miaka ishirini unataka kuwowa.bado mdogo mtampata tu usilazimishe
 
Dah dogo mbishi huyu. Ndo maana wanakukataa. Haya nakupa namba ya mganga atakusaidia kwa haya:
-kuvuta mpenzi
-pesa za majini
-kusafisha nyota
-kushinda kesi
-kufaulu
n.k

umetsha,bt i do not always trust them
 
nililiona hili nikaamua ninyamaze tu nisije nikaonekana nina tatizo binausi na kijana! eti nachukua digriii!
DAH!
ilikuwaje mimi sikuchukua asee!

aya,siku nyingine nitatumia kiswahili,isiwe mada.
 
sasa mdogo wangu!
sikiwa nikwambia yafuatayo
NILIPOKWAMBIA UKABIKIR AKILI YAKO KWANZA nilimaanisha utoke hapo kwenye hilo box la mawazo mgando ulilonalo
NILIPOSEMA UMRI WAKO HAUENDANI NA UNAYOYAANDIKA HUMU nilimaanisha unataka ubadilile ukue!ujitizame kwama mwanaume na sio wa kiume !wachana na habari ya kulia lia!
NILIPOSEMA UPO CHUO nilimaanisha haiwezikani kwa masomo ya chuo yalivyo ya kufkirisha ukawa kwneye hatua hiyo ya kielimu ukawa na mawazp mepesi kisi cha uji wa mtoto wa siku mbili
NILIPOSEMA UNAAMINI DUNIA HAIKUTENDEI HAKI,nilimaanisha hakuna mtu dunia inamtendea haki!,hakia zetu na mastahili yetu tunayatafuta wenyewe!utapata maisha yale unayoyataka iwapo tu unajua ni maisha gani!huwezi kuwa hujui njia ya kwenda kwenu halafu umekaa kwenye foleni ya kupanda daladala!unaenda wapi sasa?

Kwa mtiriirko huu wa majibu unayoyatoa humu ni wazi hata kutongoza unatongoza kwa style hii hii!UMBURULA MBURULA TU KWISHA KAZI!
sasa nikwambie tu hakuna binti atakayekubali boyfriend wa aina yako much worse ndo huwa unatanga ndoa kabisaaa yani mtu atajiuliza yan naenda kuishi na huyu?huyu ndo anataka ndoa?UUUUWI!\

sas hebu jitulize akili!jipime!jichnganye(nina wasi wasi na mjumuiko wako na jamii)panua wigo wa fikara zako!
WASICHANA WAPO TUUU!hakuna siku wameandikwa NO GIRLS AHEAD papuchi hazina deadline mdoog wangu!sawa ?
na hakuna siku watasema enheee tunataka walioanza kufanya siku nyingiiii hao ndo tunataka!NOPE NOPE!
kuna vitu vingi unahitaji kuvifanyia marekebisha kabla ya kuanza kupindua pindo za pichu za mabinti!
ENENDA KWA AMANI!
 
sasa mdogo wangu!
sikiwa nikwambia yafuatayo
NILIPOKWAMBIA UKABIKIR AKILI YAKO KWANZA nilimaanisha utoke hapo kwenye hilo box la mawazo mgando ulilonalo
NILIPOSEMA UMRI WAKO HAUENDANI NA UNAYOYAANDIKA HUMU nilimaanisha unataka ubadilile ukue!ujitizame kwama mwanaume na sio wa kiume !wachana na habari ya kulia lia!
NILIPOSEMA UPO CHUO nilimaanisha haiwezikani kwa masomo ya chuo yalivyo ya kufkirisha ukawa kwneye hatua hiyo ya kielimu ukawa na mawazp mepesi kisi cha uji wa mtoto wa siku mbili
NILIPOSEMA UNAAMINI DUNIA HAIKUTENDEI HAKI,nilimaanisha hakuna mtu dunia inamtendea haki!,hakia zetu na mastahili yetu tunayatafuta wenyewe!utapata maisha yale unayoyataka iwapo tu unajua ni maisha gani!huwezi kuwa hujui njia ya kwenda kwenu halafu umekaa kwenye foleni ya kupanda daladala!unaenda wapi sasa?

Kwa mtiriirko huu wa majibu unayoyatoa humu ni wazi hata kutongoza unatongoza kwa style hii hii!UMBURULA MBURULA TU KWISHA KAZI!
sasa nikwambie tu hakuna binti atakayekubali boyfriend wa aina yako much worse ndo huwa unatanga ndoa kabisaaa yani mtu atajiuliza yan naenda kuishi na huyu?huyu ndo anataka ndoa?UUUUWI!\

sas hebu jitulize akili!jipime!jichnganye(nina wasi wasi na mjumuiko wako na jamii)panua wigo wa fikara zako!
WASICHANA WAPO TUUU!hakuna siku wameandikwa NO GIRLS AHEAD papuchi hazina deadline mdoog wangu!sawa ?
na hakuna siku watasema enheee tunataka walioanza kufanya siku nyingiiii hao ndo tunataka!NOPE NOPE!
kuna vitu vingi unahitaji kuvifanyia marekebisha kabla ya kuanza kupindua pindo za pichu za mabinti!
ENENDA KWA AMANI!

thank you,u are just the unique friend i have not met with...nitafanyia kazi.
 
she z not only finding a grl to remove my virgin bt also a grl for my life bear in mind.
we bwana achana na hii lugha ya wenyewe!
ujue hata darasa la kwanza tulijifunzia kuandika hewani kisha chini kisha kwenye vibao halafu kwenye madaftari!
 
thank you,u are just the unique friend i have not met with...nitafanyia kazi.

okey even me i have not met with a unique friend as yu
sa nifanyaje imebidi nikuitikie mkuuu! kwa lugha yako!
 
I am tired with this world,i was born in 1993, student chuo fulani hapa tanzani,..kila ninapojaribu kumpenda msichana kawahiwa,mie had leo sina hata girlfriend and i am still virgin had leo,kwa kuwa nimekuwa i have to get a girl...mfano>>wiki mbli zilizopita nilikutana na binti mmoja hapa chuoni,2mezoeana sana cha kushangaza hana upendo na mimi nilipomwambia i want to marry her,je,members ni kweli wasichana wote mnawapenzi?je,mie nina mkosi??kama kuna msaada please voluntere!i am tired.

we dogo vipi! we si ulidai uko street na umeacha shule?

sasa leo hii tena imekuwaje! tuition umerudi au?

btw, fall in love with your food and science, ikikataa kukupenda hiyo sasa, ji-discontinue mwenyewe!
 
okey even me i have not met with a unique friend as yu
sa nifanyaje imebidi nikuitikie mkuuu! kwa lugha yako!

yes that one is good, you have to unique him too.
 
kuoa c leo,bt lazma 2jenge mahusiano,uchumba then ndoa,so mda wa kumake mahusiano ndo sasa.

basi omba urafiki na sio kuwaambia utawawowa ndo maana wanakukimbia hata hamjajuana unaanza kupromise ndoa
 
Em acha kulia lia,man up,hyo sababu,a girl wants to knw u wl fight for her,ht kwny tamtthilia huonagi na wewe...km unampenda 1 of th girls mkomalie,yan ur 20 unaanza kusema una laana c unajitaftia matatzo mwenyewe
 
honga kaka honga. we hujui hamna uchawi zaidi ya pesa? honga.
Ahonge vijisenti anavyopewa na mzazi wake? au mkopo anaopewa na bodi?
Vijana wanajitumbukiza kwenye mapenzin wakiwa wadogo sana matokeo yake yakiwatokea puani huishia kujiua.
 
natishika maana nahofia binti zangu wasije pata waume wanaolia lia mtoto kaumwa mafua ye anapiga simu kwa mamake !mxiiiiiiiiiiiiiiu!
Yaani nimecheka baada ya kuusoma huo mstari khaaa. Hawa watoto afadhari hawatumii majina yao humu manake unaweza kung'uta mtoto wa mtu au kumpiga kelbu bure. Hali ni mbaya huyu ndio taifa la sasa na anatarajia kuwa kiongozi au CEO wa mahala flani.
 
I am tired with this world,i was born in 1993, student chuo fulani hapa tanzani,..kila ninapojaribu kumpenda msichana kawahiwa,mie had leo sina hata girlfriend and i am still virgin had leo,kwa kuwa nimekuwa i have to get a girl...mfano>>wiki mbli zilizopita nilikutana na binti mmoja hapa chuoni,2mezoeana sana cha kushangaza hana upendo na mimi nilipomwambia i want to marry her,je,members ni kweli wasichana wote mnawapenzi?je,mie nina mkosi??kama kuna msaada please voluntere!i am tired.

Una miaka 20...
Unataka kuoa..
Hata ingekuwa mie unaniambia hayo ya kutaka kunioa ningekuona msanii tu..
 
sio silipi,i am very handsome kaka

Huenda tatizo lako ni hili la kujisikia kwamba wewe ni bora kuliko wengine.. Jichanganye na kuwa friendly at a time, utashaangaa beibz hao..
 
Back
Top Bottom