- Thread starter
- #81
what type of girl u like?
maji ya kunde,(asiwe mweupe sana au blac sana),umbo lolote hata mwembamba...asiwe mfupi sana.
what type of girl u like?
maji ya kunde,(asiwe mweupe sana au blac sana),umbo lolote hata mwembamba...asiwe mfupi sana.
utafikiri ulikuwa unanitaka mimi....... we mtoto sana sikuwezi ha ha ha ha ha
nipo chuo kikuu nachukua digrii,kaka!
i have'nt ever met with a girl.
aya bwana...umetsha!weeee! aliyekwambia degree huchukuliwa nani? Zinasomwa tena kwa msoto mkali na manyanyaso kutoka kwa lecturers (japo sio wote). siku hizi kila kitu vijana wamesimplify, ndo maana unasema unachukua degree. soma kijana usichukue degree. au mwenzetu huko chuon degree zimetundikwa sehemu fulani, ukifika hapo unazuga miaka yako 3,4/5 then unaibeba?
yupo chuo kikuuu
what about men?
kuna wengine ung'eng'e wao utafikiri wako choo kikuu.
Weka picha tuone:
Nenda kona bar ukapone fasta
what about men?
aya bwana bora yako,ulie chuo kikuu
yupo chuo kikuuu
miss chagga nimekupenda bure na majibu yakooooo.....I want to mary uuuu......hahaaaaa daaagh we lugano5 wacha kuwa mzembe ivyo yani unaleta drama kabisa....sasa we hujui ukitakacho maana unasema unasaka mke hapo hapo miss chaga anataka kukutafutia wa kutolea undewa pia unakubali.....watu wamekudharau no wonder DEMBA anakuuliza una bikra ya nyuma??......ooooops