THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

Hii inaonyesha kwamba tatizo lako kuu huna malengo ya maisha, ndo maana at your collage age, tayari umeshajiona huna thamani kwa suala moja tu la mahusiano. Ushauri wangu ni kwamba jitambue kwa nini uko hapa duniani na unataka ku achieve nini. Je ulishawahi kukaa na kutafakari, kama sehemu ya malengo yako makuu, unataka uwe na mke wa aina gani, na mwenye sifa zipi? na wakati gani ni mwafaka kutimiza lengo hilo? Je wakati huu ambao uko chuoni kujiandaa na kupata taaluma itakayotimiza ndoto zako, unautumia ipasavyo? Hivi ukianza kukata tamaa kwa tatizo moja tu la mahusiano utaweza kweli kukabili changamoto za maisha, ambazo ni nyingi na zinakusubiri?
 
Kijana mwenzangu tuliza bicha na soma sana. Usidhani dunia ni nyoofu tu bali inamabonde na milima mingi na ndio Mungu ametuleta duniani kutujaribu. Yashinde majaribu.
 
I am tired with this world,i was born in 1993, student chuo fulani hapa tanzani,..kila ninapojaribu kumpenda msichana kawahiwa,mie had leo sina hata girlfriend and i am still virgin had leo,kwa kuwa nimekuwa i have to get a girl...mfano>>wiki i zilizopbinti mmoja hapa chuoni,2mezoeana sana cha kushangaza hana upendo na mimi nilipomwambia i want to marry her,je,members ni kweli wasichana wote mnawapenzi?je,mie nina mkosi??kama kuna msaada please voluntere!i am tired.
]

Do you understand the Meaning of life being unfair, ask yourself how many 1993 yr borns wangetaka kuwa wanasoma lakini hawajui hata watakula nini. Kabla haujaanza kukufuru, soma ukiona umechoka kula lala.
 
I am tired with this world,i was born in 1993, student chuo fulani hapa tanzani,..kila ninapojaribu kumpenda msichana kawahiwa,mie had leo sina hata girlfriend and i am still virgin had leo,kwa kuwa nimekuwa i have to get a girl...mfano>>wiki mbli zilizopita nilikutana na binti mmoja hapa chuoni,2mezoeana sana cha kushangaza hana upendo na mimi nilipomwambia i want to marry her,je,members ni kweli wasichana wote mnawapenzi?je,mie nina mkosi??kama kuna msaada please voluntere!i am tired.

Pole mjukuu wangu,

At your age, wengine tulikuwa tunaweza kuwapanga wadada hadi tunafikisha timu ya mpira, na wachezaji wa ziada....!!

Natamani nikutane na wewe kwanza ila ndiyo hiyo.....

Kuna mambo madogo madogo tu utakuwa unayakosea kwenye calculations zako....

By the way, nani alikueleza kuwa wadada wanakuwa excited kuambiwa mara za mwanzo mwanzo kwamba unataka kuwaoa??

Je, wewe ungependa kuingia kwenye mkutano ambao issue zote zilishakubaliwa na minutes zilishaandikwa??

Babu DC!!
 
unapoandika hii thread..........hapo kwenye wallet una sh ngapi.......?.....tuanzie hapo.........

Hahahhahaha ukute hata jioni hajala dinner kakosa ela.mweee nyie watoto nilini mtaacha rukia vitu vya watu wakubwa???
 
yani hakyamam babu niko vere serious na hili
KUNA MAHALI WAZAZI SIJUI KAMA NI WAKIKE AU WA KIUME TUMEACHA KULEA HAWA WATOTO KWA MUJIBU WA GENDER ROLES ZAO!
mimi ni vile tu sina mtoto wa kiume lakini ningehakikisha anakuwa kigumu gumu tuuuu
ndivyo nilivyoona babangu akiwahandle kaka zangu!
wakati mimi na dada zangu tukipewa adhabu za kufinywa mapajani kaka zangu walikuwa wanapewa adhabu za kubeba matofali nyuma ya nyumba na kuhakikisha kisiki cha uani kimetoka la sivyo hakuliki!
ilibaki hivyo na sijawahi kuona wake zao au magirlfriends zao wakileta wehu wehu wa kijinga jinga
KWANINI HAIPO HII!
ndio utandawazi?
ndio tunawapenda watoto?
ndio haki sawa?
ndio umagharibi?
:noidea:
argh tafadhali kwa mamlaka uliyonayo naomba anzisha sredi juu ya hili!

Kuna kitu hakiendi vizuri mdogo wangu....


I wish ningeweza kuanzisha huo mjadala.....

Naomba wewe au wakubwa wenzetu waanzishe, na sie tutatupiapo jicho na kutoa maoni yetu...

Wapi @FP, gfsonwin, Kaizer na The Boss ?

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Kuna kitu hakiendi vizuri mdogo wangu....


I wish ningeweza kuanzisha huo mjadala.....

Naomba wewe au wakubwa wenzetu waanzishe, na sie tutatupiapo jicho na kutoa maoni yetu...

Wapi @FP, gfsonwin, Kaizer na The Boss ?

Babu DC!!

mkuu Dark City nadhani tuna changamoto sana na hawa vijana wetu wa siku hizi

Mfumo wa maisha umebadilika sana mambo ya kidigitali zaidi,,technological development imechange mambo mengi nikirefer muono wa wmalimu wangu snowhite hapo juu

Ila kwa mtoto kama huyu aliyeleta uzi hapa something is wrong na malezi yake kama mwanaume,,,hao wapo hawakosekani, anapaswa kusaidiwa kiushauri ajitambue yeye ni nani, maana kufika chuo kikuu siku hizi sio kazi kubwa kama enzi za kina Sitta
 
Last edited by a moderator:
nimekuja mbioooo nikidhani mtu uko na shida ya maana
kumbe hivyo tu?
kuna shida mahali
 
mkuu Dark City nadhani tuna changamoto sana na hawa vijana wetu wa siku hizi

Mfumo wa maisha umebadilika sana mambo ya kidigitali zaidi,,technological development imechange mambo mengi nikirefer muono wa wmalimu wangu snowhite hapo juu

Ila kwa mtoto kama huyu aliyeleta uzi hapa something is wrong na malezi yake kama mwanaume,,,hao wapo hawakosekani, anapaswa kusaidiwa kiushauri ajitambue yeye ni nani, maana kufika chuo kikuu siku hizi sio kazi kubwa kama enzi za kina Sitta

Nakubaliana na wewe mkuuu.....

Karibu kwenye hadithi yangu kuhusu Kigali....

https://www.jamiiforums.com/mahusia...igali-kigali-jamani-nini-hii.html#post8043061

Babu DC!!
 
Jamani mimi nakupendaga sana
Nataka nikuwowe.....lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Halafu madogo hawajui hata kudanya??

Kwani hawasikii sisi tunavyodanganywa kwa kuitwa eti baby wakati tunatembelea mikongojo??

May be ndiyo matokeo ya kufuta practicals kwenye shule za kata...

cc Smile, King'asti, Kongosho, Fixed Point, Babu Asprin, Kaizer...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Halafu madogo hawajui hata kudanya??

Kwani hawasikii sisi tunavyodanganywa kwa kuitwa eti baby wakati tunatembelea mikongojo??

May be ndiyo matokeo ya kufuta practicals kwenye shule za kata...

cc Smile, King'asti, Kongosho, Fixed Point, Babu Asprin, Kaizer...

Babu DC!!

Sasa Bbu hata ile mbinu tu ya kuzaliwa hawana?
Sasa si majanga hayo?

Wanzaidiwa hata na jogoo?
Huwa jogoo linamwambia mtetea "nitakununulia kiteeeeengee"!!!!!!!!!!!.........lol!!!!!!!!!
 
Let me tell u something my friend, inawezekana ni kweli unamhitaji mwanamke wa kumuoa, siyo mbaya ila anza kwanza kuwa karibu naye, anza kumchunguza kama anaweza na anataka kuwa na wewe, kuwa very best friend to her na siku zote hakuna urafiki uliopitiliza kati ya me na fe, utashangaa she can fall in love with you. Timing ni muhimu sana mdogo wangu.
 
Back
Top Bottom