THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

I am tired with this world,i was born in 1993, student chuo fulani hapa tanzani,..kila ninapojaribu kumpenda msichana kawahiwa,mie had leo sina hata girlfriend and i am still virgin had leo,kwa kuwa nimekuwa i have to get a girl...mfano>>wiki mbli zilizopita nilikutana na binti mmoja hapa chuoni,2mezoeana sana cha kushangaza hana upendo na mimi nilipomwambia i want to marry her,je,members ni kweli wasichana wote mnawapenzi?je,mie nina mkosi??kama kuna msaada please voluntere!i am tired.

life is very fair kijana ndo maana inakupa muda wa kusoma..usilazimishe vitu kutokea vingine huja muda ukifika..your too young to complain...
 
weeee! aliyekwambia degree huchukuliwa nani? Zinasomwa tena kwa msoto mkali na manyanyaso kutoka kwa lecturers (japo sio wote). siku hizi kila kitu vijana wamesimplify, ndo maana unasema unachukua degree. soma kijana usichukue degree. au mwenzetu huko chuon degree zimetundikwa sehemu fulani, ukifika hapo unazuga miaka yako 3,4/5 then unaibeba?

my ribs..umenifurahisha sana kwa ukweli uliousema...
 
ahahhahahha af wewe
ujue bado nna hasira na wewe!!poa tu!
af hii habari ya watoto wa kiume siku hiz kuadopt tabia za mama zao inatoka wapi!
zamani mtoto wa kiume alikuwa ANATAKA KUWA KAMA BABA!
UKIMWAMBIA MWANANGU UMEKUWA MREFU SIKU HIZI ,ye anaitikia KAMA BABA ENH!?
mwanangu kula haraka haraja ,ye ANAITIKIA KAMA BABA ENH?
Asprin, Dark City Kaizer Mtambuzi SnowBall HorsePower na wengine mna kesi ya kujibu!
HIVI SIKU HIZI BADO MNAENDELEA KWA MAROLE MODEL KWA WATOTO WENU WA KIUME JAMANI?
this is scary asee
natishika maana nahofia binti zangu wasije pata waume wanaolia lia mtoto kaumwa mafua ye anapiga simu kwa mamake !mxiiiiiiiiiiiiiiu!

Huwezi kukubali ila akina mama mnatuharibia watoto aisee,....

Babu DC!!
 
Huwezi kukubali ila akina mama mnatuharibia watoto aisee,....

Babu DC!!

yani hakyamam babu niko vere serious na hili
KUNA MAHALI WAZAZI SIJUI KAMA NI WAKIKE AU WA KIUME TUMEACHA KULEA HAWA WATOTO KWA MUJIBU WA GENDER ROLES ZAO!
mimi ni vile tu sina mtoto wa kiume lakini ningehakikisha anakuwa kigumu gumu tuuuu
ndivyo nilivyoona babangu akiwahandle kaka zangu!
wakati mimi na dada zangu tukipewa adhabu za kufinywa mapajani kaka zangu walikuwa wanapewa adhabu za kubeba matofali nyuma ya nyumba na kuhakikisha kisiki cha uani kimetoka la sivyo hakuliki!
ilibaki hivyo na sijawahi kuona wake zao au magirlfriends zao wakileta wehu wehu wa kijinga jinga
KWANINI HAIPO HII!
ndio utandawazi?
ndio tunawapenda watoto?
ndio haki sawa?
ndio umagharibi?
:noidea:
argh tafadhali kwa mamlaka uliyonayo naomba anzisha sredi juu ya hili!
 
aya umemaliza...bt its true i am looking for a girl..help please.

kwahiyo snowhite akukuwadie enh!!!
hivi umemuelewa lkn??
yaani alichokisema wewe umekirudia ama huyu ana kampuni ya love connect??
 
Last edited by a moderator:
kama uliyotolewa

ona sasa mtoto wa kiume anajivunia ubikra!
ehehehhehehe walahi kuna shida mahali!
ayni si kwamba nataka ufanye hapana najiuliza the whole idea na guts za kijana wa kiume kuwa proud kuwa ni bikra!
zamani hii ilikuwa ni sifa ya kike!
ilikuwa ni binti ndiye anajisikia furaha kufika age hiyo akiwa bikra!
kijana wa kiume hata akiwa kweli alikuwa hasemiiiii!
dah!
i miss makitu ya jando na unyago!
sijui kwanini tuliacha hii kitu!
 
kwahiyo snowhite akukuwadie enh!!!
hivi umemuelewa lkn??
yaani alichokisema wewe umekirudia ama huyu ana kampuni ya love connect??

ahahahhahahhha nahis umefikia ile hatua usiyopenda kufikia
KUKASIRIKA!
hapa kuna mtu sasa hiv anapigwa kerbu!
 
sio silipi,i am very handsome kaka,and very bright

hebu fanya maamuzi sahihi ya kukamilisha kilichokuleta chuo sio kuleta uhandsome ili kupata mabinti,ngoja nikupe mfano mzuri kuhusu mimi wakati naanza chuo miaka hiyo niliwahi kuwa na fikira za kijinga kuhusu mapenzi nilidhani kuwa handsome inatosha kupata msichana nimpendae lakini nilikuwa wrong kwani nilipungukiwa kitu ambacho ni cash kwahyo wasichana pamoja na ubright na uhandsome hawakushoboka na mimi sababu sikuwa na pesa ya kutosha kujihudumia mimi mwenye,
wazo langu kwako jenga maisha mazuri kwa kutumia uwezo wa akili ulionao na utampata umpendae awe mzuri au mbaya.

>KUMBUKA CHUONI SIO SEHEMU YA KUTAFUTIA WACHUMBA NA WAPENZI.
 
Kula kitabu dogo achana na milupo kuwakosa tu ushachanganyikiwa jee ukimpata kisha akakutema si utajinyonga wewe?
 
hebu fanya maamuzi sahihi ya kukamilisha kilichokuleta chuo sio kuleta uhandsome ili kupata mabinti,ngoja nikupe mfano mzuri kuhusu mimi wakati naanza chuo miaka hiyo niliwahi kuwa na fikira za kijinga kuhusu mapenzi nilidhani kuwa handsome inatosha kupata msichana nimpendae lakini nilikuwa wrong kwani nilipungukiwa kitu ambacho ni cash kwahyo wasichana pamoja na ubright na uhandsome hawakushoboka na mimi sababu sikuwa na pesa ya kutosha kujihudumia mimi mwenye,
wazo langu kwako jenga maisha mazuri kwa kutumia uwezo wa akili ulionao na utampata umpendae awe mzuri au mbaya.

>KUMBUKA CHUONI SIO SEHEMU YA KUTAFUTIA WACHUMBA NA WAPENZI.

thanks
 
Mbona wengine tulimaliza Chuo bila girlfriend hali ya kuwa ni Marijali? kazana na kitabu dogo that is is the first priority for you!
 
Back
Top Bottom