This is how l lost it.....

This is how l lost it.....

Swali la kizushi: Kwanini umeamua kushea na sisi hii makitu hivi leo tena siku nlokula sakramenti nikimuombea Matesha wngu apate nafuu haraka?
Niliisikia sauti ya Roho Mtakatifu ikiniambia kuwa niishee hii story kwani itaokoa wengi, now that you have told me umemwombea Matesha ndio naamini ni Roho huyo huyo kaniongoza nikumention wewe of all people.
Your prayers have been answered, says prophet Kaunga.
 
Wifi! Wakati nachangia hii nilisoma post yako ya kwanza tu! Sikujua ni personal experience. I am sorry for what happened to you! You are a survivor, and i am very proud of you. Asante kwa ujasiri wa kushare hii.

Kitu kimoja naendelea kushangaa hadi leo, labda baba na mama walitofautiana sometimes. Lakini nimekua na baba mkali sana na mama strict but very understanding na shosti wa ukweli. Nikifikiria nilivyokiwa open kwake, na hakugomba wala kureact basi huwa najishangaa. Muhimu ni kuwa karibu na wapwa zangu, hakikisha wanakuambia kila kitu. Mfano, hapo kwenye incident ya simu ungekuwa ulisema, ungelindwa. Lakini hakukuwa na room kwako kusema.

Nafurahi ile problem ya mwenetu ya shule tuliihandle vizuri na kushiriki kama sehemu ya matatizo yako. You are doing well with our son. Mungu atangulie kila jambo.

You are never defeated unless you give up. And to be a victim is a choice. To be happy is a choice as well! Unajua nakupendaje?
Umeona my wi;
My mum alikuwa na shida na baba, so tangu nakuwa sikumuona akiwa happy. Waliseparate nikiwa mdogo sana, baadaye alirudi lkn baba mambo ya lager kwa kwenda mbele; so mama alikuwa ni kusali na yeye yeye na kusali.
So somehow sikupenda kumtrouble na maisha yangu.

Parenting ni changamoto, some parents wanaona not talking about things kuwa ndio njia sahihi. Na some kids thinks they can handle every situation by themselves; l did well with boys, lkn nilivyokuwa confronted na huyo mbaba l was less smart.
 
Hapa mpumbavu ni wewe sasa. Hivi ulishapitia utoto ama umezaliwa mzee? Haujui unachoongelea. Jifunze kuwa mzazi mzuri ili uwalinde wanao, period. I pray this doesnt happen to ur kids.
Kama hii story ni ya kweli natamani kukuita mpumbavu lakini najua nikikutukana nitaendelea kukuumiza zaidi. Kama ni kweli, kuna mapungufu mengi sana nayaona.
1. Mtu ameshakuambia ni rafiki sana na baba yako, yaani Dr. kwa nini akuombe wewe namba ya simu si ungemwambia huikumbuki ampigie tu baba?
2. The following day alipopiga simu ukapokea akaomba kuongea na Kaunga ukasema ndio wewe akakumbia njoo hotel ukajibu sawa... nini kiliendelea, ulikwenda?
3. Alipokuja nyumbani ukamuona ukaenda jikoni baada ya kuitwa na baba ukakataa mama alipoinsist si ungemweleza?
4. Ulipoongozana naye kulikuwa na ulazima gani wa kuingia ndani wakati ulishajua nia yake? Kwani hiyo chupa ulishindwa kumwambia akuletee nje akikataa unaachana nayo unarudi nyumbani unakimbia na kuwaeleza wazazi wangekuelewa tu kwani hata wao wangeshangaa ni kwanini akulazimishe kuingia ndani wakati yuko peke yake
5.Baada ya kufanyiwa kitendo hicho kwa nini usingerudi unalia ukawaeleza wazazi au ulikifuarahia?
6. Hivi pana umbali gani kati ya kwenu na kwa huyo mbaba, je wazazi hawakushtuka muda uliotumia against muda ambao ungetumia kwa kuchukua chupa ya kinywaji na kurudi?

Yapo mengi ya kujiuliza ndo maana nikatamani kusema wewe ni mpumbavu lakini nikaghairi. Wala sikupi pole.
 
Pole Kaunga kwa yaliyokutokea. Naona uamuzi wako wa kushare na sisi utasaidia kuupunguza mzigo huo ambao umeubeba kwa muda mrefu. Kushare kwa watu unaowamini ni namna moja wapo ya kupunguza maumivu ya matukio kama hayo ya kuumiza
 
Pole sweets. Naomba nifafanulie hapo kati simu ilipoita ukaitwa hotelini ulienda? Its not clear to me. I am really sorry for what happened.
My cousins daughter alibakwa repetitively na shemeji yake. Alipokuja kupata STD ndio watu walistuka. That child was so disturbed alipata heart problems. At the time wali lose case because walikosa hela ya ku bribe etc. I decided to study law to be able to assist such people who seek justice but their pockets do not allow it.

bado unasoma au umeshamaliza na unatoa msaada saiv?
 
Ile mood yangu ya binduki imenivaa ghafla. Ngoja nibadili avatar. I feel like killing someone, aggggggggrrrrrhhhhhh!
 
Thanks dearest, l know l can count on you guys. Yes l am a survivor as l never allowed that incident to victimize me forever. As for my kid, nina hakikisha kile ambacho nahisi mimi nilikikosa yeye anapata mf: as a last born sikuhusishwa kbs ktk miipango yoyote ya familia as l was always mdogo; so my son nimenamuhusisha ktk mipango yote since he was 3 na l wish ungemuona; maana sio walimu tu wanaocomment on his confidence bali hata watu wengine anaokutana nao hata kwa 5 minutes.

Anyway, l hope kwa kushare my story yangu watu wataona zaidi ya upumbavu wa binti aliyekuwa na miaka 16 na kujifunza malezi
Wifi! Wakati nachangia hii nilisoma post yako ya kwanza tu! Sikujua ni personal experience. I am sorry for what happened to you! You are a survivor, and i am very proud of you. Asante kwa ujasiri wa kushare hii.

Kitu kimoja naendelea kushangaa hadi leo, labda baba na mama walitofautiana sometimes. Lakini nimekua na baba mkali sana na mama strict but very understanding na shosti wa ukweli. Nikifikiria nilivyokiwa open kwake, na hakugomba wala kureact basi huwa najishangaa. Muhimu ni kuwa karibu na wapwa zangu, hakikisha wanakuambia kila kitu. Mfano, hapo kwenye incident ya simu ungekuwa ulisema, ungelindwa. Lakini hakukuwa na room kwako kusema.

Nafurahi ile problem ya mwenetu ya shule tuliihandle vizuri na kushiriki kama sehemu ya matatizo yako. You are doing well with our son. Mungu atangulie kila jambo.

You are never defeated unless you give up. And to be a victim is a choice. To be happy is a choice as well! Unajua nakupendaje?
 
Pole sana, naamini ni siku nyingi kidogo maana siku hizi hakuna mzazi anayeweza kumtoa bintiye sadaka kama ilivyotokea kwako kwani mabinti wa siku hizi werevu ka nini...
 
Wala hujakosea kuniita mpumbavu, coz looking back sijioni zaidi ya mpumbavu.
Sikwenda hotelini ndio maana akaja kwetu. Umbali wa kwake na kwetu ulikuwa kama dkk 7 hadi 10 kutembea. Kwanini niliingia sikumbuki details lkn ndio moja ya upumbavu nilioufanya; ndio maana nimesema kwenye post moja hapo juu ninajilaumu mimi zaidi. What l am sure of ni kwamba, sikutaka wala kupenda hicho kitu!


kaunga nauhakika hukuwa mpumbavu ,,,, at that age na hofu ya wazazi ni rahisi sana mtoto kupotea ..... ila hapo kwenye blue ni stage unayopaswa kuondoka ( stages of rape) , hiyo ya self blaming siyo nzuri sana.
 
Pole sana, naamini ni siku nyingi kidogo maana siku hizi hakuna mzazi anayeweza kumtoa bintiye sadaka kama ilivyotokea kwako kwani mabinti wa siku hizi werevu ka nini...

Asante, ni siku nyingi sana tu (90s), jamani baba yangu hakuwa na idea; na kosa ni langu sikusema hizo ill-intention za yule mbaba. Nakubalina nawe mabinti wa siku hizi ni werevu sana, lkn ni muhimu kujua bado kuna watu hata ndugu wanaweza pata chance ya kuharibu.
 
Kama hii story ni ya kweli natamani kukuita mpumbavu lakini najua nikikutukana nitaendelea kukuumiza zaidi. Kama ni kweli, kuna mapungufu mengi sana nayaona.
1. Mtu ameshakuambia ni rafiki sana na baba yako, yaani Dr. kwa nini akuombe wewe namba ya simu si ungemwambia huikumbuki ampigie tu baba?
2. The following day alipopiga simu ukapokea akaomba kuongea na Kaunga ukasema ndio wewe akakumbia njoo hotel ukajibu sawa... nini kiliendelea, ulikwenda?
3. Alipokuja nyumbani ukamuona ukaenda jikoni baada ya kuitwa na baba ukakataa mama alipoinsist si ungemweleza?
4. Ulipoongozana naye kulikuwa na ulazima gani wa kuingia ndani wakati ulishajua nia yake? Kwani hiyo chupa ulishindwa kumwambia akuletee nje akikataa unaachana nayo unarudi nyumbani unakimbia na kuwaeleza wazazi wangekuelewa tu kwani hata wao wangeshangaa ni kwanini akulazimishe kuingia ndani wakati yuko peke yake
5.Baada ya kufanyiwa kitendo hicho kwa nini usingerudi unalia ukawaeleza wazazi au ulikifuarahia?
6. Hivi pana umbali gani kati ya kwenu na kwa huyo mbaba, je wazazi hawakushtuka muda uliotumia against muda ambao ungetumia kwa kuchukua chupa ya kinywaji na kurudi?

Yapo mengi ya kujiuliza ndo maana nikatamani kusema wewe ni mpumbavu lakini nikaghairi. Wala sikupi pole.


una matatizo ya akili na siku zote kwenye maisha ni rahisi kulaumu kuliko kukubali....... sijapendezwa na ulivyomjurge mtoto wa miaka 16 aliyeishi kipindi cha zamani wazazi wakiwa strict na wakoloni
 
Asante, ni siku nyingi sana tu (90s), jamani baba yangu hakuwa na idea; na kosa ni langu sikusema hizo ill-intention za yule mbaba. Nakubalina nawe mabinti wa siku hizi ni werevu sana, lkn ni muhimu kujua bado kuna watu hata ndugu wanaweza pata chance ya kuharibu.


hao siku zote ndiyo wanaokuwaga watendaji wa hivi vitendo ,more than 95% ya rape cases inakuwaga ya mtu wako wa karibu..... tuwe makini sana na watoto wetu ,tujenge tabia ya kuwasikiliza ,kuwaamini ,kuwapa moyo ,na kuwajengea ujasiri wa kujisimamia n.k
 
You are a hero kwa kuweza kuiongelea. Ndo maana mie nasupport divorce. A kid doesnt benefit kwa kuishi na wazazi wasiopendana!
kitu muhimu, naomba Mungu nitakapokuwa na watoto, anipe stomach ya my mom. Niliwahi kumuanbia mama kuhusu driver wa daladala aliekuwa ananifuatilia (kijana mid age enzi hizo. Nadhani alifulia akaamua kuendesha daladala lake). Mama alikuwa yeye ni kuponda na kuelezea jinsi ambavyo mapenzi yanaweza kumharibia binti future yake. Siku nilienda kwa mama mdogo, akiwa nae ndo kaanza kazi na ghetto la room moja. Nikamuona yule jamaa uani. Nikamuamkia na kuingia kwa mama mdogo. Nilimsimulia mama nimemuona yule maaluni. Sijui nini kilitokea, ila mama mdogo alihama ile nyumba.

I was an open kid. Sijui mama alivumiliaje zile horror stories ila alinilinda sana i guess. Muhimu tujifunze tu!
Thanks dearest, l know l can count on you guys. Yes l am a survivor as l never allowed that incident to victimize me forever. As for my kid, nina hakikisha kile ambacho nahisi mimi nilikikosa yeye anapata mf: as a last born sikuhusishwa kbs ktk miipango yoyote ya familia as l was always mdogo; so my son nimenamuhusisha ktk mipango yote since he was 3 na l wish ungemuona; maana sio walimu tu wanaocomment on his confidence bali hata watu wengine anaokutana nao hata kwa 5 minutes.

Anyway, l hope kwa kushare my story yangu watu wataona zaidi ya upumbavu wa binti aliyekuwa na miaka 16 na kujifunza malezi
 
Asante, ni siku nyingi sana tu (90s), jamani baba yangu hakuwa na idea; na kosa ni langu sikusema hizo ill-intention za yule mbaba. Nakubalina nawe mabinti wa siku hizi ni werevu sana, lkn ni muhimu kujua bado kuna watu hata ndugu wanaweza pata chance ya kuharibu.


hao siku zote ndiyo wanaokuwaga watendaji wa hivi vitendo ,more than 95% ya rape cases inakuwaga ya mtu wako wa karibu..... tuwe makini sana na watoto wetu ,tujenge tabia ya kuwasikiliza ,kuwaamini ,kuwapa moyo ,na kuwajengea ujasiri wa kujisimamia n.k
 
Werevu wa mabinti wa siku hizi unaweza kuwa kwenye kuficha mambo yao na sio kuepuka. Which makes it worse! Mabinti wa std 6 wanashauriana na kutoa mimba na hata kuchuna mizee mizima bila wazazi kustukia. Wao ndo wanahitaji msaada zaidi kuliko sisi!
Asante, ni siku nyingi sana tu (90s), jamani baba yangu hakuwa na idea; na kosa ni langu sikusema hizo ill-intention za yule mbaba. Nakubalina nawe mabinti wa siku hizi ni werevu sana, lkn ni muhimu kujua bado kuna watu hata ndugu wanaweza pata chance ya kuharibu.
 
Kaunga, Kaunga Kaunga...... !

Tuna nini mimi na wewe? Kikombe alichonipa baba, sitakinywa?

Popote pale ulipo Kaizer, hebu kuja pande hii.

Baada ya kusema hayo, Eeeh Mola nakuomba uwanusuru mabinti zangu Matesha na Mamshanga. Watie upofu mabazazi KakaKiiza na Mwanaizaya Superman wasiwaone kwa macho yao. Walemaze vikojoleo Fidel80 na mzabzab ili hawa mabinti waolewe wakiwa na bikra zao. AMINA!

Hebu kam zi wei Kaunga tutete jambo kwanza.

Mwanaizaya Asprin Asprin; una nini nami? Mimi ni rasilimali ya taifa, mtu wa maadili, tena mtu wa Mungu ninayewapenda watoto wote na kuwaelekeza maadili mema.

Unadhani Kaunga kafanya makosa kukutaja?

lakini dawa yako iko jikoni . . . Ukitaka kumsaidia Mchawi, mpe mwanao amlee . . . .
 
Last edited by a moderator:
Jamaa: binti hujambo?
Me: sijambo shikamoo.
Jamaa: unapafahamu kwa Ruga.....?
Me: ndio, ni nyumba ile pale.
Jamaa: kwani we unakaa wapi?
Me: kwa Dr........
Jamaa: aah, dr ...... ni rafiki yangu sana. Hivi no yenu ya simu ni ngapi vile?
Me: ni 2..6.
Jamaa: unasoma?
Me: ndio.
Jamaa: form gani?
Me: form three.
Jamaa: kumbe umekua, unaweza kutupa vitu vitamu.
Me: (mfyonzo, robo wa Patience Ozwokor wa Nigeria) na kurudi nyuma ili aendelee peke yake.

Next day...
Ngri ngrii (mlio wa simu).
Me: Hallow
Jamaa: hallow naomba kuongea na Kaunga.
Me: ndio mimi.
Jamaa: good, njoo hotel ....... nakusubiri
Me: sawa.

After three days.
Nikiwa dining, nachungulia dirishani; naona jamaa anakuja. Nikakimbia jikoni kwa mom.
Akapiga hodi na baba akamkaribisha, nikiwa nasikia anachoongea na baba ilikuwa hivi.
Jamaa: Dr ninajisikia vibaya na nimeishiwa dawa zangu za pressure, l was wondering kama utakuwa na akiba nyumbani.
Baba: hapana sina, ila kesho naweza kukuletea
Jamaa: never mind, nitakuja mwenyewe hospitali.
(Wakaongea ongea kama dkk 5 hivi mimi nikiwa kimya jikoni)
Jamaa: I have a bottle of scotch whiskey nyumbani, hakuna mtoto unayeweza kumtuma?
Baba: ooh yes, Kaunga
Me: (kimya)
Baba: Kaunga
Mama: we Kaunga si unaitwa na baba yako?
Me: abee (nikaenda)
Baba: nenda na ........ kaniletee mzigo.
Me: Shikamoo ( to jamaa of which kama ya kwanza aliignore na kuongelea vitu vingine)
Tukaongozana na jamaa yeye mbele, mimi pulling my legs mpaka home kwake ambapo alinitoa usichana wangu.

Copy kwa Asprin na wapenda lager wote wenye mabinti.

Hii movie tamu,kwa hiyo alikubaka au ile mifyonyo ilikua sitaki nataka?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom