The road towards 2010 Elections

The road towards 2010 Elections

Kati ya hawa nani atafaa kutuongoza 2010-2015?

  • Edward Lowassa

    Votes: 0 0.0%
  • Dr. Slaa

    Votes: 7 38.9%
  • Prof. Lipumba

    Votes: 0 0.0%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 27.8%
  • Samwel Sitta

    Votes: 0 0.0%
  • Jakaya Kikwete

    Votes: 2 11.1%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 2 11.1%
  • Harisson Mwakyembe

    Votes: 2 11.1%
  • None of The above

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .
Mimi naona mtu anaefaa ni Salim Ahmed Salim.

Nna uhakika Salim akiwa raisi, atafanya mambo na mipango ya maendeleo itatekelezwa.

Atatengeneza mazingira mazuri kwa watanzania walio nje ya nchi kurudi nyumbani kurudisha ujuzi mbalimbali ambao wengine wameupata kwa kusomeshwa na fwedha za serikali na wengine wamechakarika wenyewe.

Hawa watasaidia sana kuindeleza Tanzania kwa kufuata sheria na utaratibu ambao kwa sasa vimewekwa kapuni na UFISADI unatawala.

Kwa wale wanaomfahamu vizuri alipokuwa Waziri Mkuu alibanwa kidogo na pale Wizara ya Ulinzi Upanga alipendwa kwa style yake ya kujua nini kinaendelea na kuna shida gani itatuliwe na mpaka akawa anaitwa mzungu.

Moja ya sifa kubwa ya kuishi na kufanza kazi nje (Ulaya Magharibi) ni pale ambapo "systems" zote zinafuatwa na ni "straight forward" na pia huwezi ukasema kwamba utaishi kwa kubangaiza.

Ntapenda kuona ndugu Salim anafuata mfano wa wa-Israel waliokuwa nje ambao wamerudi Israel na wameijenga Tel Aviv na inaonekana mfano wa Ulaya ya Mediterranean.
 
1.M.Pinda
2.J.P Magafuli
3.S.Salim
4.Zitto Kabwe
5.Dr Slaa
6.Prof. Mwandosya
8.Idd Simba

Naomba tuwe na List ya Maana

TICKET BABKUBWA HAPO NI SLAA /SALIM KAMA IKIWEZEKANA!

Salim atatumia uzoefu wake kuleta coalition ya wana CCM wasiokuwa mafisadi na wenye kutaka mabadiliko pamoja na kuwaleta together wazanzibari!

Slaa ni credible na kwakuwa ni mjasiri wa kusimamia haki za wananchi..Then is the right people!

Hapo tutakuwa kweli tumeleta mabadilko! We've got to think outside the box or our normal political and cultural pattern and tradition of thinking when electing our leaders

NB:Zitto nafikiri umri bado haumruhusu, na Iddi Simba ana sera nzuri ya wazalendo!pia maoni yangu haya yamebase kwenye list uliyoitoa!
 
Kwa kweli mtu kama slaa ni vyema angesubiri 2015 kwani hapo ndipo kutakua na changamoto kubwa na kama opposition wakielekeza nguvu zao bungeni kwa sasa itakua jambo bora zaidi.

Still we need him in the parliament.Pia kuhusu sula la elimu ya uraia opposition ndio wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa sapoti kwa NGO mbalimbali kwani CCM hawatafanya hivyo kwani hicho ni kiama kwao.

Sasa hivi ni takribani mwaka na nusu umebaki.Ni muda mchache sana umebaki kwa upinzani kujipanga na masuala kama muafaka nk ni masuala ambayo CCM pia wanayafanya ili kupoteza muda wa opposition kujipanga for the forthcoming election.Shame on them!

Nadhani hakuna cha kusubiri mwaka 2015 kwani muda ndio huu. Sioni sababu za kuendelea kuwaachia MAFISADI wakizidi kuendelea kuinyonya nchi yetu.

Mabadiliko yanahitajika haraka sana na Dr. Slaa ndie jibu wa yote. Kuna wengi hapa walitaka kutuletea longolongo zao kuwa wataleta mabomu ya Dr Slaa lakini mpaka leo wameingia mitini.

Mgombea urais anatakiwa awe mtu anayekubalika na wengi nchini na naamini mtu huyo ni Dr Slaa.
 
SLAA/SALIM NDIO TICKET YA KUWAKOMBOA WATANZANIA WOTE!
 
ila yote ni mipango ya mungu...kama akiwa hai inshaalah mi naona ye anafaa.
 
Mimi naona mtu anaefaa ni Salim Ahmed Salim.

Nna uhakika Salim akiwa raisi, atafanya mambo na mipango ya maendeleo itatekelezwa.

Atatengeneza mazingira mazuri kwa watanzania walio nje ya nchi kurudi nyumbani kurudisha ujuzi mbalimbali ambao wengine wameupata kwa kusomeshwa na fwedha za serikali na wengine wamechakarika wenyewe.

Hawa watasaidia sana kuindeleza Tanzania kwa kufuata sheria na utaratibu ambao kwa sasa vimewekwa kapuni na UFISADI unatawala.

Kwa wale wanaomfahamu vizuri alipokuwa Waziri Mkuu alibanwa kidogo na pale Wizara ya Ulinzi Upanga alipendwa kwa style yake ya kujua nini kinaendelea na kuna shida gani itatuliwe na mpaka akawa anaitwa mzungu.

Moja ya sifa kubwa ya kuishi na kufanza kazi nje (Ulaya Magharibi) ni pale ambapo "systems" zote zinafuatwa na ni "straight forward" na pia huwezi ukasema kwamba utaishi kwa kubangaiza.

Ntapenda kuona ndugu Salim anafuata mfano wa wa-Israel waliokuwa nje ambao wamerudi Israel na wameijenga Tel Aviv na inaonekana mfano wa Ulaya ya Mediterranean.

Nasikia wakati wa kampeni ya u rais ni mtuu pekee ambaye alikuwa hamwagi mapesa na alikataa wadhamini mafisadi na ndio maana kushindwa .....inawezekana he was out of reality au aliamini CCM ni clean
 
Nadhani tuangalie kwanza sifa za mtu anayefaa kuwa rais kabla ya kuanza kuangalia majina ya watu

Na kabla ya kuangalia sifa za Rais tuangalie kwanza kazi na majukumu ya Rais kikatiba.

Maana kwa kujua kazi zake kama Rais tutajua sasa Rais anatakiwa awe na sifa zipi ili kukabili hayo majukumu ya Urais. Na baada ya sifa kufahamika tutaanza kutafuta mtu anayefiti ktk sifa hizo.
 
CCM wampitishe Dr Shein kuwa mgombea upresident mwaka 2010 na Upinzani wampitishe Prof Lipumba!..... hili ni pendekezo tu.
 
Nasikia wakati wa kampeni ya u rais ni mtuu pekee ambaye alikuwa hamwagi mapesa na alikataa wadhamini mafisadi na ndio maana kushindwa .....inawezekana he was out of reality au aliamini CCM ni clean

The guy is trully clean!,Na pia ndiye anayeweza kuwawakilisha CCM mbele za macho ya watanzania! Ila pia hatutakiwi tuwasahau wahanga wengine wa nchi hii kama kina Slaa!

Lazima watanzania tuwe na utaratibu wa kuwa reward wale viongozi wenye nia nzuri na sisi!

We've got to think outside the box at this defining moment and time!

Kwani ina maana upinzani umeoza kiasi kwamba hatuwezi kupata kiongozi kutoka huko?
 
CCM wampitishe Dr Shein kuwa mgombea upresident mwaka 2010 na Upinzani wampitishe Prof Lipumba!..... hili ni pendekezo tu.

Kama Salim atakuwa mgombea wa CCM utashangaa kutatokea mabadiliko na pengine mfumo mzima wa kisiasa ukabadilika Tanzania.

Wasiwasi wangu ni hii NEC hii! ya sasa. Mheshimiwa Kikwete ataweza kuendelea tu kama akiwa mwenyekiti lakini katiba lazima ibadilishwe ili kumpata mtu ambae atakuwa ndie kiongozi wa CCM ambae ataongoza katika kampeni hadi uchaguzi na hatimae kuwa raisi, na hapa ndio watu kama Salim anaweza akapitishwa.

Haya mambo ya kofia mbilimbili ndio yanayoleta vikwazo kupitisha watu wa jamii ya Salim Ahmed Salim.
 
CCM wampitishe Dr Shein kuwa mgombea upresident mwaka 2010 na Upinzani wampitishe Prof Lipumba!..... hili ni pendekezo tu.

Na hili inabidi lifanyike mwaka huu mwishoni au mwakani januari ili wote wawili wawe na muda wa kutosha wa kufanya kampeni (bila kuhitaji pesa za wizi wa BOT au za wairani kama Kikwete).
 
Kama hatuta wa reward kina Slaa kwa ushujaa wao then tusishangae kuwa na wao wakakata tamaa.

Walikuwa na uwezo wa kuwatisha hao viongozi kwa taarifa za ufisadi ili na yeye/wao apewe/wapewe mabilioni ama uongozi wa ki takrima! he/they didn't embrace that route!

Sasa when sisi wananchi are we going to encourage our leaders to continue to be on our side? Wale walioko upande wa wananchi na kuwatetea wana nafasi gani kwetu pale inapokuja kwenye uongozi wa Taifa letu?

CCM nao wakishatupwa nje then na wao wataaanza kufanya kazi za kulipua maovu kama yatakuwepo!

Ndio demokrasia hiyo! Kinachotakiwa hapa ni kuwafanya wawe na wivu wa kutuletea sisi maendeleo! Wivu wa kupigania kura zetu ili watuletee maendeleo huku wakiogopa kuiba ama kufanya ufisadi kwani someone is seriously watching! Kupigania kura na si kuzipata kwa propaganda na kwa kutumia pilao, kandambili,vitenge na khanga!

Wivu wa kutuletea maendeleo kati yao hauwezi kupatikana kama tutaendelea kuwa watumwa wa akili! Otherwise tuote maendeleo!
 
1.M.Pinda
2.J.P Magafuli
3.S.Salim
4.Zitto Kabwe
5.Dr Slaa
6.Prof. Mwandosya
8.Idd Simba

1)tuanze na pinda...
mpaka sasa hana jipya alilolifanya, na hata huko nyuma hajafanya kitu cha kupelekea tumuite shujaa...hafai

2)john pombe magufuli...
ana kashfa ya kumuuzia mdogo wake nyumba, hivyo anaweza kuja kumalizia kuiuza nchi...hafai

3)salim a. salim...
alikuwa AU muda mwingi lakini je alifanya nini alipokuwa huko cha kuinufaisha nchi yake?...hafai

4)zitto kabwe...
ni shujaa, ila kwa sasa anatakiwa atafute viatu vya sokoine ndo aweze kutawala... tumpe muda wa kujijenga zaidi.

5)prof. mwandosya...
ni msomi namuheshimu, ila anautumiaje usomi wake kukemea maovu ya wadogo zake kielimu ambao wako nae katika zizi moja la CCM?...mwoga hafai

6)iddy simba...
sihitaji kumzungumzia, nadhani mnakumbuka kile kilichomfanya ajiuzuru uwaziri wa viwanda...hafai

7)DR wilbroad slaa...
nazani alishushwa toka mbinguni kuja kuongoza taifa hili, ni shujaa, sio mwoga, anakubalika, ni mtendaji, anajua mwongozo wa katika ya nchi, anajua sheria na hazipindishi, ana uelewa wa mapema, huyu anaweza kututoa shimoni tulikotumbukizwa...ANAFAA
 
1.M.Pinda
2.J.P Magafuli
3.S.Salim
4.Zitto Kabwe
5.Dr Slaa
6.Prof. Mwandosya
8.Idd Simba

1)tuanze na pinda...
mpaka sasa hana jipya alilolifanya, na hata huko nyuma hajafanya kitu cha kupelekea tumuite shujaa...hafai
2)john pombe magufuli...
ana kashfa ya kumuuzia mdogo wake nyumba, hivyo anaweza kuja kumalizia kuiuza nchi...hafai
3)salim a. salim...
alikuwa AU muda mwingi lakini je alifanya nini alipokuwa huko cha kuinufaisha nchi yake?...hafai
4)zitto kabwe...
ni shujaa, ila kwa sasa anatakiwa atafute viatu vya sokoine ndo aweze kutawala... tumpe muda wa kujijenga zaidi.
5)prof. mwandosya...
ni msomi namuheshimu, ila anautumiaje usomi wake kukemea maovu ya wadogo zake kielimu ambao wako nae katika zizi moja la CCM?...mwoga hafai
6)iddy simba...
sihitaji kumzungumzia, nadhani mnakumbuka kile kilichomfanya ajiuzuru uwaziri wa viwanda...hafai
7)DR wilbroad slaa...
nazani alishushwa toka mbinguni kuja kuongoza taifa hili, ni shujaa, sio mwoga, anakubalika, ni mtendaji, anajua mwongozo wa katika ya nchi, anajua sheria na hazipindishi, ana uelewa wa mapema, huyu anaweza kututoa shimoni tulikotumbukizwa...ANAFAA

Maneno mazito haya Mkuu!
But absolutely true!

Halafu pia ni mzalendo mwenye kutumia elimu yake kwa manufaa ya wananchi as opposed to ufisadi!

Ni lazima tuwa reward viongozi kama hawa ili Historia ikamilishwe!
 
Dr. Slaa ndie jibu kwa 2010. Huyu ndio kiongozi anaweza kuisafisha nchi kutoka katika uchafu uliofanywa na CCM. Kikwete rudi kwenu Bagamoyo ukalime mananasi, Dr. Shein wewe ni too soft sidhani kama unafaa kuwa Rais. Huyu Pinda ni tapeli mwingine tu hana lolote.
 
1.M.Pinda
2.J.P Magafuli
3.S.Salim
4.Zitto Kabwe
5.Dr Slaa
6.Prof. Mwandosya
8.Idd Simba

1)tuanze na pinda...
mpaka sasa hana jipya alilolifanya, na hata huko nyuma hajafanya kitu cha kupelekea tumuite shujaa...hafai
2)john pombe magufuli...
ana kashfa ya kumuuzia mdogo wake nyumba, hivyo anaweza kuja kumalizia kuiuza nchi...hafai
3)salim a. salim...
alikuwa AU muda mwingi lakini je alifanya nini alipokuwa huko cha kuinufaisha nchi yake?...hafai
4)zitto kabwe...
ni shujaa, ila kwa sasa anatakiwa atafute viatu vya sokoine ndo aweze kutawala... tumpe muda wa kujijenga zaidi.
5)prof. mwandosya...
ni msomi namuheshimu, ila anautumiaje usomi wake kukemea maovu ya wadogo zake kielimu ambao wako nae katika zizi moja la CCM?...mwoga hafai
6)iddy simba...
sihitaji kumzungumzia, nadhani mnakumbuka kile kilichomfanya ajiuzuru uwaziri wa viwanda...hafai
7)DR wilbroad slaa...
nazani alishushwa toka mbinguni kuja kuongoza taifa hili, ni shujaa, sio mwoga, anakubalika, ni mtendaji, anajua mwongozo wa katika ya nchi, anajua sheria na hazipindishi, ana uelewa wa mapema, huyu anaweza kututoa shimoni tulikotumbukizwa...ANAFAA

2010 Mungu akitupa uzima kwenye kampeni tutakuwepo! Mijini na Vijijini..Everywhere!
 
Savimbi naamini kabisa mimi na wewe tukiamua kuifahamisha jamii yetu kule na Tanzania na wengine zaidi wakijitokeza kumpigia kampeni Dr Slaa lolote linawezekana. Ni sisi wenyewe ndio tunaweza kuamua mustakabali wa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom