Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 881
Hivi Aluta anafanya nini amjini au na yeye kawa Lawyer?
I agree. Yeyote yule, au the likeness ya Mrema inafaa, lazima mtu aje na ukichaa(sina maana ya ugonjwa). Tanzania hii haiendi popote mpaka aje mtu atayekuja (to say the least) kutandika viboko wabadhirifu makazini na kuuwa wahujumu uchumi! I am for a person with Machiavelli style! Other than that...ni maikidamakida tu!
Warioba aendelee kula pensheni yake ya WM... Inatosha!
JK is the right man at the right time in the right place... wenye chuki mjinyonge... Chini ya JK GDP imepanda na kufikia 6.2% katika 2007 na this year itafika 7.3%. Mwendo mdundo hadi 2015
Duh!!!
Leo Mrema anakumbukwa lakini is too late hawezi kuwa Rais .Alipotaka watu mlisema hana shule , anakurupuka, ana hasira nk .Mungu wangu weeeeeeeee.
Yaani tunashindwa kuona ukweli? kwamba hakuna awamu iliyofichua mafisadi na kuonyesha nia ya kuwashughulikia kama hii ya nne.
Dar-es-salaam, awamu ya nne haijafichua fisadi hata mmoja ni sisi wananchi baada ya kupiga kelele weee basi ndio wanaamka,wana-act,kama sisi tukikaa kimya basi na wao kimyaa.Yaani ni sawa na mbwa ambaye bwana wake asipokuwepo au hawako pamoja habweki lakini akimwona bwana wake tu anaaanza kubweka hata kama mgeni bwana wake kashamfungulia,sasa hapa swali linakuwa huyu mgeni angekuwa jambazi si inamaana mbwa asingebweka hadi jamaa anaondoka na tv?Labda tunachoweza kusema katika awamu hii ya nne ni kwamba,tukipiga kelele sanaaaaaaaaaaaaaaa tunasikilizwa jamaa wanaona aibu wanafanyia kazi.
Kwa ufupi ni ngumu sana kufanya kazi na 70% ya wanasiasa ambao ni marafiki unaocheka nao kila siku kwani daima utawaonea aibu kuwakanya hata pale wanapokosea.Tunahitaji watu kama kina bingu wa mutharika,kwenye uongozi udikteta pia unatakiwa hasa kwenye maamuzi mazito ili mambo yaweze kwenda maneno bila actions hazitufikishi mbali.
Wee mtu gani tunakulazimisha kufua shati ulilovaa?kila tunapokuambia shati hilo chafu huko mgongoni tafadhali livue uliangalie vizuri hutaki,baadaye tunakulazimisha sana,unaamua kulivua na kuvaa lenye unafuu kidogo,halafu unaendelea kutulaumu "LAKINI SIKUPENDI KULIBADILI LILE SHATI,HIVI KWELI LILIKUWA CHAFU?ANYWAY,NIMEFANYA ILI KUWARIDHISHENI TU LAKINI SIKUWA TAYARI KULIVUA"
HIYO NDIYO AWAMU YA NNE.
Dar-es-salaam, awamu ya nne haijafichua fisadi hata mmoja ni sisi wananchi baada ya kupiga kelele weee basi ndio wanaamka,wana-act,kama sisi tukikaa kimya basi na wao kimyaa.Yaani ni sawa na mbwa ambaye bwana wake asipokuwepo au hawako pamoja habweki lakini akimwona bwana wake tu anaaanza kubweka hata kama mgeni bwana wake kashamfungulia,sasa hapa swali linakuwa huyu mgeni angekuwa jambazi si inamaana mbwa asingebweka hadi jamaa anaondoka na tv?Labda tunachoweza kusema katika awamu hii ya nne ni kwamba,tukipiga kelele sanaaaaaaaaaaaaaaa tunasikilizwa jamaa wanaona aibu wanafanyia kazi.
Kwa ufupi ni ngumu sana kufanya kazi na 70% ya wanasiasa ambao ni marafiki unaocheka nao kila siku kwani daima utawaonea aibu kuwakanya hata pale wanapokosea.Tunahitaji watu kama kina bingu wa mutharika,kwenye uongozi udikteta pia unatakiwa hasa kwenye maamuzi mazito ili mambo yaweze kwenda maneno bila actions hazitufikishi mbali.
Wee mtu gani tunakulazimisha kufua shati ulilovaa?kila tunapokuambia shati hilo chafu huko mgongoni tafadhali livue uliangalie vizuri hutaki,baadaye tunakulazimisha sana,unaamua kulivua na kuvaa lenye unafuu kidogo,halafu unaendelea kutulaumu "LAKINI SIKUPENDI KULIBADILI LILE SHATI,HIVI KWELI LILIKUWA CHAFU?ANYWAY,NIMEFANYA ILI KUWARIDHISHENI TU LAKINI SIKUWA TAYARI KULIVUA"
HIYO NDIYO AWAMU YA NNE.
huo uchumi wa kikwete unaopaa..na gdp...kufika 7.2% labda ...gavana awe wewe kibunango...tupe source basi..ya hiyo economic findings yako....
Kuhusu barabara kuna kipande cha kilometa 60 kwenye barabara iendayo mikoa ya Kusini. Sijui kama kimepata mkandarasi ( I assume the funds were there)
Pia, pesa za Millenium Challenge zitumike bila kuchelewa, kwani kazi ya ku appoint wakandarasi sioni ina haja gani ya kuchukua miaka miwili.
kuongeza mke wa 2 maana anaruhusiwa wanne
JK alitoa ahadi 60 critical kwenye kampeni zake; so far ameshatekeleza 8 tu tena partially, tunamsubiri!
Kitila, can you please take trouble to mention them? Or you can just copy and paste them here if they are in electronic form.
bila kuwashughulikia kikamilifu mafisadi wa BOT, RICHMOND, ATCL nk atakuwa bado hajanishawishi.