unajua tatizo la Tanzania ni collusion ya mihimili mitatu ya utawala, raisi hawezi kuwa na madaraka sana kama kila chombo kitafanya kazi kulinga na majukumu yake.
Bunge mahakama vyote vinafanya kazi kwa kumlinda raisi aliyeko madarakani hata kama hafanyi vizuri, but kama tunakuwa na wabunge wengi bungeni spika akatoka upinzani nafikiri nchi itanyoka maana hawataficha maelezo ya RA, wala hakutakuwa na hii sio issue ya bunge bali ni ya CUF na CCM
Bunge mahakama vyote vinafanya kazi kwa kumlinda raisi aliyeko madarakani hata kama hafanyi vizuri, but kama tunakuwa na wabunge wengi bungeni spika akatoka upinzani nafikiri nchi itanyoka maana hawataficha maelezo ya RA, wala hakutakuwa na hii sio issue ya bunge bali ni ya CUF na CCM