"lakini si kweli kwamba hajafanya maamuzi, tayari amekwisha fanya hivyo na ndiyo maana alivunja baraza lake la mawaziri mara baada tua kujiuzulu kwa aliyekuwa waziri Mkuu..."
Mungu wangu! Hii inaonyesha jinsi gani hata hawa wanaotaka kutuongoza wasivyo ijua katiba ya nchi. Kikatiba waziri mkuu akijiuzulu raisi ni lazima avunje baraza la mawaziri. Leo hii mtu ana kuja kusema Kikwete kuvunja baraza la mawaziri baada ya Lowasa kujiuzulu ulikua uamuzi wake? Halafu huyu mtu ndiye aliye taka kuwa raisi wa nchi na ndiye anaye taka ubunge?
Mkuu hakuna wa kukuhukumu kwa kusema ukweli. lets truth prevail.- This is very interesting, maana sio muda mrefu sana hapa JF tuliambiwa kwamba huyu ndiye shujaa wa taifa naomba nisiwataje Members waliotuambia hivyo na kuturushia maneno mazito sana tuliposema kwamba huyu Mrema ni compromise na bado ni agent, maana wengine wanaheshimika sana humu JF.
- Ndio uzuri wa ukweli, huwezi kuuficha hata uukalie vipi utajitokeza tu!
Respect.
FMEs!
Mrema amesoma alama za nyakati, ashagombea uraisi zaidi ya mara tatu, na ameona hawezi kushinda uraisi tena kwa udi na uvumba,So this is anotrher opportunity to him!mrema hana lolote...anaona uchaguzi umekaribia...
-
........................... hata uukalie vipi utajitokeza tu!
.
Mhh.Pumba hizi .
hayo ni maoni yake.Njaa hapo imetoka wapi?.Tusiwe kama kasuku.
mi nafikiri aliposema hivyo alimean kwamba lowasa alipojiuzuri alibadilisha mawaziri ndani ya baraza kwenye hali nyingine angeweza kuchakua tuu waziri mkuu mpya na waziri wa kumplace karamanji lakini hakufanya hivyo....
Mkuu hakuna wa kukuhukumu kwa kusema ukweli. lets truth prevail.
Wataje hao.... maana kuna tabia humu baadhi ya watu wanakuja na mabandiko wasiyoyafanyia uchunguzi.
Piga msumari mzee