nadhani baadhi ya wadau kuna kitu wanashindwa kumuelewa mrema....
mrema is a proffessional SPY...and qualified propaganda artist...lakini pamoja na yote mara zote mrema anatofauti kubwa na wanasiasa wengi..ana nidhamu anayotakiwa kuwa nayo spy yeyote [acha hawa wa siku hizi]...kwanza kwake TAIFA ni jambo la kwanza,pili pamoja na uropokaji wa mrema huwa anachagua ya kuongea...,ndio maana hata siku moja mahakama haijaweza kumtia hatiani hata mara moja kwa uchochezi....!!
katika hilo la nidhamu ..lazima tujuwe pamoja na kukosana na utawala wa mwinyi na kujiuzulu..aliongea yote yote yaliyohusu kina chavda na wengine....lakini hata siku moja hakuwahi kumlipua bosi wake MZEE mwinyi...hata katika ile issue ya GOLD ambayo inasadikika muhusika mkuu alikuwa mama sitti.....mrema hata akiwa upinzani hadi sasa HAJAWAHI KUSEMA ZILE DHAHABU ZILIKUWA ZA NANI......
aina ya spies waliosomea russia na poland au east germany kama mrema,na kina gamma..wanaelewa namna ya kuweka ukiritimba na nidhamu za ki istitution...narejea hayo ,...kutokana na kauli ya mrema kuwa wanaompinga rais ,,wajiunge upinzani kama alivyofanya yeye....maana yake ..kwenye siasa za mrengo wa kulia Mwenyekiti ni mtu mkubwa sana ..huwezi kumpinga hadharani na bado ukabakia....kumukeni ccm enzi mwalimu..,na katika hili ndilo pia linachangia Mrema kutofanikiwa sana kwenye vyama vya upinzani ....kwani kule amekuta wanachama na viongozi wenye mfumo wa kushoto......ambao kumpinga mwenyekiti hawaoni dhambi...ndio maana mara zote amekuwa katika wimbi la KUTIMUA VIONGOZI WASIO NA NIDHAMU KWENYE CHAMA CHAKE!!!
Nadhani sqsa tuamini kuwa ccm imekuwa mseto hatuwezi tena kukiita na chama cha kulia au kushoto ...wala hatuwezi kusema hakifungamani na upande wowote .....ni vurugu mechi....
kwa kumalizia nadhani pamoja na kuwa rais kikwete anapigwa vita ...of recent ameonekana kujitahidi kujitutumua..lakini ataendelea kukwamishwa na ukosefu wa nidhamu chamani...na kikubwa hapa ni kuwa wale wagombea wenzake wanaoamini aliwatenda UHUNI mwaka 2010 ...wameamua ku HITBACK!!!!
Ningekuwa mimi ni mshauri wa kikwete ningemshauri aitishe kikao cha siri cha maridhiano na wale aliowakwaza mwaka 2005[tukubali tukatae ,kampeni za kikwete zilijaa rafu].....ni ustaarabu kukaa na kutakana radhi..najua alipata fursa ya kuwaomba wachache radhi...lakini kuna ambao ameapa kutowasiliana nao..na sasa wanaungana na hata wale aliowaona mmoja mmoja .....kwa ajili ya mwakani..ni vema kukutana!!!!
anaweza kuamua kupuuza hili na atagombea na kushinda mwakani ...lakini litawaathiri watu walio upande wake ambao bado they have a future to leave in Tanzania politics ...... itasababisha fujo kubwa mwala 2015.....ndani ya ccm kutawaka na watu watapiga kura ya chuki kwa mtandao....na atakayeshinda ATAMPA WAKATI MGUMU SANA KIKWETE KWENYE MAISHA YAKE YA USTAAFU...kwani kutakuwa na watu behind the scene wanaandaa ushahidi wa yote yanayotokea sasa ......ili wao au wafuasi wao walipize....kumbukeni hata germany bado HITLER Anao wafuasi wanaoamini kuwa watatawala tena....msifikiri wanaoumia sasa hawaongei na watoto na wafuasi wao ..ili hata wawe wazima au wafu hasira zao ziendelee!!!