Mzee huyu sasa anaganga njaa tu,ndio maana huenda mafisadi wakamtumia bila haya eti agombee Ubunge.Ushauri wa bure kwake ni kuwa akapumzike na wajukuu ili asijizeeshe haraka kutokana na maradhi yake ya kisukari.TLP mkitaka Mzee huyo aachie umwenyekiti basi mumwachie nyumba anayoishi kwani ana wasiwasi aking'atuka tu mtamnyang'anya nyumba hiyo.Huo ni ushauri wangu tu kwake na kwenu.
He was once warned by Mwalimu against those who stood above him in terms of not only academic qualifications but also what very quickly proved to be basis reasoning and strategic planning. His political career was built on flagile foundations, on bricks of ice in the desert which gave him an artificial bubbly life at the time when he was allowed to carry the huge freezers from CCM to NCCR-Mageuzi. As they started rusting, his strategic plans let him down - he sat watching them fall to pieces and along them he fell too.
Bwana Mrema anafaa sana kwa utawala usiozingatia sheria na Demokrasia, nawahakikishia kuwa kama MREMAvu huyu angekuwa bado serikalini na kupewa uraisi wakati hule ICC asingeiepuka.
Kwani mrema kafa kisiasa au kufweza? weJoka kuu vipi?
huyo mzee hakuangakuka wala kuisha kisiasa.ni njama nyingi zinatumiwa na ccm kuwaangusha wapinzani.chama chochote cha upinzani kikiwa na nguvu migogoro huanza.angalia chadema sasa na cuf.mrema hakuwa fisadi na angekuwa fisadi nauhakika angebaki ccm.watu wengi hawakumbuki mema aliyofanya na kikubwa kilicho muondoa ccm ni yeye kuwapinga mafisadi.na kuwakemea hadharani.na ule uchaguzi wa 1995 mrema alishinda ila ccm walibadili matokeo na baada ya hapo walianza kumpandikizia migogoro na kesi zisizoisha.KWA UFUPI MREMA NAMI NAMVULIA KOFIA NA KAMWE TANZANIA HAITOPATA KIONGOZI SHUJAA NA JASIRI KAMA MREMA.kwa sasa aende kugombea ubunge ili aweze kupambana na mafisadi bungeni kama slaa na wenzio.ccm kuindoa ccm madarakani tunahitaji tushikamane wananchi wote..kuna msemo unasema..THE GOVERNMENT SHOULD FEAR ITS PEOPLE AND NOT THE PEOPLE TO FEAR THE GOVERNMENT...TANZANIA JAMANI TUAMKE.TUENDELEE HIVI MPAKA LINI.
Ndg yangu inabidi watu wapewe leacture nini maana ya Breaking newz.Hii kweli breaking news.
huyo mzee hakuangakuka wala kuisha kisiasa.ni njama nyingi zinatumiwa na ccm kuwaangusha wapinzani.chama chochote cha upinzani kikiwa na nguvu migogoro huanza.angalia chadema sasa na cuf.mrema hakuwa fisadi na angekuwa fisadi nauhakika angebaki ccm.watu wengi hawakumbuki mema aliyofanya na kikubwa kilicho muondoa ccm ni yeye kuwapinga mafisadi.na kuwakemea hadharani.na ule uchaguzi wa 1995 mrema alishinda ila ccm walibadili matokeo na baada ya hapo walianza kumpandikizia migogoro na kesi zisizoisha.KWA UFUPI MREMA NAMI NAMVULIA KOFIA NA KAMWE TANZANIA HAITOPATA KIONGOZI SHUJAA NA JASIRI KAMA MREMA.kwa sasa aende kugombea ubunge ili aweze kupambana na mafisadi bungeni kama slaa na wenzio.ccm kuindoa ccm madarakani tunahitaji tushikamane wananchi wote..kuna msemo unasema..THE GOVERNMENT SHOULD FEAR ITS PEOPLE AND NOT THE PEOPLE TO FEAR THE GOVERNMENT...TANZANIA JAMANI TUAMKE.TUENDELEE HIVI MPAKA LINI.
Kweli ukipenda chongo utaita kengeza lakini kaniki ni kaniki tu hata ukiifua kwa OMO inabaki kaniki tu. Mkuu Bata, mshauri shushushu Augustine Lyatonga Mrema arudi CCM, hiyo inaitwa "reunion" - sina shaka huko atapokewa kwa vifijo na nderemo kama shujaa ambaye single handedly alisambaratisha upinzani na kulirudisha taifa kwenye mfumo wa utawala wa chama kimoja. Na siku akifanya hivyo, aambatane na watiifu wake aliotoka nao huko ili hali ya kuchafukachafuka kwa hewa inayoiandama upinzani itokomezwe.
Aliwaita wapinzani wehu huku akiongoza vikosi vya FFU kuwatwanga virungu wanamageuzi. Leo hii kuna mtu anathubutu kujaribu kumsafisha kwa kudai aliongoza mageuzi ! Wengine tulionya toka kitambo kuwa kuna siku ataumbuka na kweli leo hii anaumbuka lakini watiifu wa Mzee wa Kiraracha bado hawaamini. Waliotoka CCM kwa kumfuata Lyatonga hawakufanya hivyo kwa sababu waliunga mkono mageuzi, la hasha walimfuata shujaa wao hadi wanawake wanalala uchi barabarani kumtetea ! Halafu leo wanatokea akina Bata wanajaribu kuzoa maziwa yaliyomwagika tayari !