@Mwanakijiji
nimefurahi kuona kuwa umetimiza ahadi yako ya kuwa utarudi humu siku ya AL-HAMIS kuja kuweka mambo sawa na nafurahi kwa hili lakini pia ningependa kusema kuwa pamoja na kukubaliana nawe lakini nadhani kuba baadhi ya hoja ambazo itabidi nikujibu
HOJA NUMBER1
Hii nakubaliana nayo na sishangai kuwa haya yanatokea kwani kuna mambo mengi tuu ambayo wanasiasa na maofisa wa serikali walifanya maamuzi bila kufikiria maslahi ya Taifa au wananchi hivyo uko right katika hili...lakini sio sababu ya kurudia kosa
HOJA NUMBER 2
Serikali ya jamhuri ya Muungano ya Tanzania kuita wachunguzi toka nje kitakuwa ni cha kushangaza kwani tunavyo vyombo vya kufanya kazi hiyo na kama vikipewa nafasi na uhuru huo vitafanya kazi yake sasa kuwaita Scotland Yard kuchunguza rushwa kwetu n aibu na inaonyesha jinsi gani ambavyo hatujiamini na hiii pia itazua kitu kinaitwa CONFLICT OF INTEREST baina ya yetu na Serikali ya UK.
Walio husika ni wahindi wenye uraia wa Uingereza na hakuna sheria inayowakataza kufungua off shore acounts be it in Swiss au Dominica republic hivyo itakuwa tunatafuta mchawi na kuwalaumu hao wahindi bure wakati wao wamekuja kutafuta dili na wakalipata sasahizi hoja zingine zinakuwa tu kuwa wanaojiita watoto wa mjini walikuwa wapi mpaka wakapigwa bao na wadosi?
Umezungumzia kuwa wahusika walikuwa akina nani ambao walishawishi serikali kununua hiyo RADA na walinufaika vipi? of course washawishi wanatoka sehemu mbali mbali Wizara ya ULINZI,wizara ya MIPANGO, wizara ya MAWASIALIANO, wizara ya FEDHA, IDARA YA ANGA a hawa matokeo yake wanapleka proposals zao kwa hao waheshimiwa then hapo ndipo wataamua kama pesa zipo basi wago ahead sasa kama unataka kujua hii inafanyika vipi then kuna umuhimu ukaelewa kwa nini wengine tunapigania TRANSARENCY KATIKA TENDA kwani bila hivyo ni ngumu hata kujua kuwa akina nani walikuwa shortlisted na kama BAE SYSTEMS walipewa je walipewa baada ya kuwashinda akina nani katika bidding? Je bwana MKJJ hili ulilinvestigate? na kama ungejaribu kulivutia muda then ungejua kwa nini waliamua kununua rada ambayo haitoshi thuluthi moja ya nchi kama ulivyosema na maybe ungeelewa kuwa cost ya kuimaintain hiyo RADA katika hiyo AFTER SALES SERVICE cost angezichukua nani na kwa estimates zipi?
HOJA C
Bwana MKJJ umtoa hoja kuwa serikali ya UK imonitor akaunti za Bwana Vilathni na Somaiya ili kujua kama kuna malipo yaliyofanyika kwa mtu yeyote mwingine na hususan afisa au kiongozi wa serikali ya Tanzania.
Sasa kwanza lazima uelewe jinsi gani mambo haya yalivyo kuwa complicated na hii inachangiwa zaidi ya mfumo wa banking huku UK na Europe kwa ujumla na hata kama kutakuwa na payments zimeonekana zilifanyika kisheria hao wahindi hawawezi kueleza mengi kwani kwanza hao Barclays bank wanaendeshwa na pesa nyingi za HARAM toka katika rogue states kama MYAMAR au BURMA,IRAN,ZIMBABWE na zinginezo na kwa taarifa tu ni kuwa hili hata ahao ma financial regulators hapa UK (FSA) hawezi kuligusa kwani punde wakiaanza tu basi ujue kuwa unaweza kuangusha serikali nzima ya UK ambayo of course imejaa wala rushwa kuanzia house of Lords mpaka huko Whitehall na kama huamini basi tazama kesi ya CASH FOR PEERAGE
pilikuna ma lawyer wako stand bay kuwalinda hawa jamaa ambao kusema ukweli ni kuwa hakuna kitu kitakachopatikana kwani pesa zitakuwa zimeshaingizwa either kwenye TRUST au STOCK MARKET AU KWENYE HEDGE FUNDS ambayo imewatajirisha jamaa wengi huko THE CITY na ndio maana WEALTH MANAGEMENT corporations kama GOLDMAN SACHS,MERRYLL LYNCH,CREDIT SUISSE FIRST BOSTON,BARCLAYS GLOBAL INVESTORS,LEGG MASON, JP MORGAN ASSET MANAGEMENT na kadhalika ...hao ni wajanja wa kuzificha pesa na ndio wanao lipia campaigns za akina BLAIR na LABOUR.....hivyo hiyo haiwezi peke yake kujenga hoja za kuwa akaunti ichunguzwe kaama wakithubutu kuanza hiyo witch hunt basi waingereza yatawakuta yaliyowakuta waamerika baada ya kuanza kunusa akaunti za WASAUDI matokeo yake waarabu waliamua kufanya Capital flight from USA to UK and CHINA na si kwamba wazungu wahawalijui hilo..wanalijua sana na ndio hiyo hiyo pesa ambazo zinaendesha uchumi wa nchi hizi
Vile vile usisahau kuwa serikali ya Tanzania hawawezi kuinchunguza BAE SYSTEM kwani kazi hiyo wanaifanya FSO ambao kama wakiwa na la zaidi then wanaweza kuwa SUMMON watuhumiwa kujibu mashitaka. Hilo la kutaka kuchunguza akaunti za watu mjomba nalo litakuwa ngumu kwani huku ulaya kuna suala zima la CONFIDENTIALITY na BANKING CODE na hii ndio mpaka leo waNIGERIA wameshindwa kupata pesa zote alizoziiba SANI ABACHA na waSWISI waliamua kuwapa hao WANIGERIA DOLA BILIONI MOJA kati ya dola zaidi ya bilioni 4 aliziiiba
Kwa hiyo ndugu yangu hiyo ni uphill task na itacheleweshwa na LAWYERS ambao wao they make a living out of kuchelesha mambo kama haya na sasa hebu niambie utaanza wapi na utamalizia wapi?Mfano mdogo ni kuwa Kampuni kubwa za law firm kama SKADDEN,ARPS,SLATEMEAGHER& LOM LLP & ASSOCIATES au CLIFFORD CHANCE unafikiri kinachowaaweka mjini ni kucheza na sheria na wanaweza kuzungusha hao mpaka kiama na ndio hao washaui wa hao ma middle men ambao unataka wahojiwe kwa hiyo huo ni mwamba
umewataja OBVIOUS viongozi lakini vile vile naweza kukujibu maswali yako kama ifuatavyo:
1.Rais Benjamin William Mkapa ambaye chini ya uongozi wake rada hii ilinunuliwa.
Lakini huoni kama kumshitaki Mkapa kama ni kutafuta scapegoat? kwani ukimpandisha BM kizimbani it means that TONI BLAIR also has to be there with BM but like the other loans for honours(or CHASH FOR PEERAGES) 'scandal', one major fly in the ointment; Blair was/is a lawyer. It's unlikely he'll ever be caught bang to rights on this kind of thing. And even so, he has a rather more serious crime to answer for, which is also unlikely ever to come to charges. it's not his sticky paws that are the issue, it's his paw print. Is he really directly culpable in this case, as he was a lawyer I'd be surprised if he didn't leave himself wiggle room which is opposite to our dear Mheshimiwa BENJAMIN WILLIAM MKPA who is a JOURNALIST by profession unless sijui kitokee nini but its a win win situation for BLAIR but not for MKAPA
2.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa wakati huo na Rais wa sasa Bw. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye alitetea ununuzi wa rada hiyo. Na hata jana ametetea.
Hoja hii inajibiwa kuwa JK naye kwa taarfa yako alikuwa anafuata tu instructions toka kwa wakubwa zake akama ambavyo CLARE SHORT baadae ilibdi akubali matokeo na majibu ya JK juzi ni sawa kwa sababu hao jamaa wa FSO washampa njia nzuri ya kutokea kwa kusema kuwa uchunguzi bado unaendelea na kwa kweli angeropoka basi kama kuna kesi ya kujibu BAE SYSTEMS wangedai kuwa JK karopoka hivyo hawawezi kupata FAIR TRIAL...and this includes HAO WAHINDI akina SOMAIYA
3.Mwanasheria Mkuu wa Wakati huo Bw. Andrew John Chenge ambaye ni Waziri wa Miundo Mbinu wa sasa ambaye ofisi yake ilisimamia mkataba kati ya serikali na Bw. Saileth Vithlani
Hoja hii haikataliwi lakini ukumbuke kuwa naye anapelekewa recomendation toka wizara ya FEDHA na MIPANGO ambao kuishi kwao kunatokana na WORLD BANK..NA KAMA KWELI BWANA MWANA KIJIJI UNGETAKA KUJUA ZAIDI BASI NADHANI investigation yako ingelenga huko WORLD BANK ..ambao wanaofisi DAR na hapo WASHINGTON...lakini hili nalo waandishi wetu huko Dar wangemuuliza huyo rais wa WORLD BANK bwana Paul Wolfowitz ...amabye anahamu sana wanafunzi tanzania wawe na first class eductaion
and maybe we should have gone back to SQUARE 1
And the OBVIOUS QUESTIONS you should have asked is WHERE DID WE GET THE MONEY TO BUY THIS EQUIPMENT?
ASSUMPTIONS:
Now who are the donors/contributors of the aid money? Is it govts in the west or is it charitable organisations? If the latter there some political bargain/wrangling could result in Blair escaping personally unscathed. If the latter, they are duty-bound and presumably required by their own charter/constitution to persue the money or in other words kuchelewesha haki na hapo tena Ma-lawyer wataingia kuanza kuidadua constitution ambayo nadhani unaelewa kuwa iko pungufu
Now kwa upande wa BAE SYSTEMS...I see that it's small fry for them so it won't be the end of the world for them if they had to cough up the dough. But then they are duty-bound to their shareholders that they contest any claims of that nature.....UPO HAPO MWANA KIJIJI?
fURTHERMORE, The World Bank is involved, apparently. Isn't Wolfowitz very convenient its president these days? Now that's an old friend of Bush/Blair....
4.Prof. Mark Mwandosya aliyekuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi ambaye sasa ni Waziri wa Mazingira.
Huyu labda hii kwake isngekuwa na nguvu zaidi kwani naye anapata directions toka juu..unless unataka kumuuliza kuhusu hiyo project yake ya uwanja mpya wa ndege
5.Maafisa (wanasheria na washauri) wa Wizara husika ambao walihusika na mikataba hiyo.
SASA HAPA MWANAKIJIJI UMENENA lakini kama na yeye alikuwa anapewa DIRECTIVES ?
6.Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa wakati huo kwani rada hiyo ni ya matumizi ya kijeshi zaidi kuliko ya kiraia.
Kuna umuhimu walipa kodi wakajua KODI zao hawa wanajeshi wanazituia vipi na PROCUREMENTS ZA JESHINI ZINAENDAJE ....
7.Maafisa na Wanasheria waliohusika katika majadiliano hayo. Na hasa kama ni maofisa hao hao walioshiriki katima manunuzi ya Ndege ya Rais, Helikopta za Bell na Malori ya kijeshi.
hOJA HII inaendana zaidi na majibu yaliopo hapo juu
HOJA D
JK nilimshajibia na yeye alikuwa anasema hayo aliyo ambiwa na wakubwa zake yaani MKAPA ambaye alikuwa hawezi kupindua kwa BLAIR so its kesi ya kujaza maji kwenye gunia ....labda ungeuliza ule mkataba tuliosaini na waamerika kutumia anga ya Tanzania small print zake zinasemaje na so far umemnufaisha nani?
HOJA E
hii nilishakujibu kutumia mfano wa NIGERIA wanaohaha kuhusu pesa zilizoibiwa na ABACHA USWISI na nadhani unajua kuwa ISSUE ILIOPO hapa ni nani atapata WIGGLE ROOM...nadhani unajua kuwa post ENRON & KEN LAY maybe we as Tanzanians we can be a bit optimistic of a successful trial of corporate frauds..only in the west.... Incidentally, Ken Lay's death has now resulted in his conviction being set aside:
http://tinyurl.com/y9tpb5
Blair and Mkapa can always escape with a heart attack