kichwamaji
JF-Expert Member
- Dec 1, 2006
- 232
- 12
Tulishasema CCM ni wezi, wnawatumia Whindi. Hamkubali. Sasa kama Mr. Clean ni mchafu hivi, itakuwaje kwa hawa walioingia kwa pesa za Waarabu? Na kama wao ni safi basi wawakamate wezi waliotagulia. JK akiwalinda, anajua anachofanya - kinachotuudhi sisi. Na hatutamwamini.