The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

Either JK is absolutely idiot or he is part of all this!! Being the head of the country, and with all the support network around him, I can certainly say he is both (idiot and part of it)...HUYU NDIO MCHAWI MWENYEWE, hapa jf Chenge has been discussed way back... Inamaana hakusikia?? Kama raisi amechukua uamuzi gani mpaka saa hivi?

Mkulu hapa hakuna ulichokosea, huyu bwana ndo alivyo.
Ndani ya serikali ya CCM, wanaogopana kumwagiana mboga na ugali.JK si kuwa alikuwa hamjui Chenge, ila wanapigana mikwara humo ndani. Ukishakuwa katika genge moja na majambazi hata ukiwa rais, majambazi wenzio watakupiga mkwara kama jambazi mwenzao na hawata kuogopa kama rais.Wengi wanajua uchafu wa JK na do maana wanamdharau.
Uongozi na Mamlaka tuliyompa kaweka reheni kwa genge hilo la wezi ili uchafu wake usianikwe wazi.Ukishaweka reheni Uongozi na Mamlaka Watanzania waliyokupa unabaki dubwana tu lisilikuwa na meno wala mwelekeo.Ndio maana amebaki kuunda vijikamati ili vimfanyie maamuzi ili yeye akwepe kutoa maamuzi.
Haiwezekani sisi watu wa kawaida tukajua habari za Chenge na wengine yeye asijue.No way!!!
Hapa JF ni vizuri watu wakaelewa kuwa hakuna majungu kwani almost kila kashfa inayoongelewa hapa baada ya muda inakuja kuwa proved correct.Habari nyingi (98%)zinazozungumzwa hapa ni za kweli, tatizo letu linakuwa ni upatikanaji wa ushahidi(Nyaraka za uthibitisho).Na hii haiwezi kuifanya kashfa yeyote iwe ni jungu,kama ambavyo baadhi wanataka tuamini
Haya tunayoyaona sasa ni punje tu ya ukosekanaji wa mwelekeo na uozo wa CCM ambao marehemu Kolimba aliusema.Hawakumuua kwa sababu alisema CCM haina mwelekeo,walimuua kwa sababu he knew alot of dirty stuff about CCM.
Kulitetea hili li chama na serikali yake ni kujichafua na kuonekana huna akili.Walioko jikoni wanakuambia mambo sio mazuri we barazani unapinga.Kama sio utapiamlo wa akili ni nini!!
 
Na hii itapita tu is just the matter of time. Kwani Balali yuko wapi???????? Wandugu tumerogwa au???????
 
Mh. Chenge

Tumechoka kusikia jina lako kwenye kila uchafu ulifanyika hapa Tanzania. Kwa nini wewe tu?

Radar Issue Upo

Ndege za Jeshi Upo

Mikataba ya madini?

Kiwira Mining UPo? n.k

Je kwani nini usijuzuku kama Lowassa ili Justice ichukue mkondo wake?
Kwa nini mpaka usubiri shinikizo kutoka kwa umma badala ya kufanya hivyo willingly?

Watanzania wenzangu wakati CUF waandamana kuhusu Mwafaka basi sisi wengine tuanze kuandamana kumshinikiza chenge ajiuzulu.
 
... the mighty ones have the loudest downfall..... i can see it coming !!!
 
Kulitetea hili li chama na serikali yake ni kujichafua na kuonekana huna akili.Walioko jikoni wanakuambia mambo sio mazuri we barazani unapinga.Kama sio utapiamlo wa akili ni nini!!

Mkuu heshima mbele, kukishambulia chama na viongozi wote wa CCm bila ushahidi ndio hasa ukosefu wa akili au akili mgando kama sio ujuha, sio viongozi wote au wananchama wa CCm wenye dola millioni moja nje ya nchi kwa sababu chenge anazo, huo ni ujuha kuwa na mawazo ya namna hiyo,


Chenge, anasema anazo hizo hela na ni zake sasa unatumia sheria kumbana aseme alipozipata, maana anaweza pia kuwa amezipata kwa halali kitu ambacho binafsi sikiamini, na ningependa kujua ni yeye aliyeanza kusema wazi kuwa anazo au ni wachunguzi ndio waliogundua in the process? Hiyo peke yake inweza ku-predtermine kama ni mkweli au ni yale yale,

Unless alizipata kwenye urithi, hela ni nyingi sana kwa kiongozi mtanzania kuwa nazo nje, mawazo ya kwamba kila linalosemwa na waandishi kuwa ni kweli basi tusingekuwepo hapa, maana ninaelewa ndio hasa nia ya sisi kuwepo hapa ni baada ya Rostam na wanasiasa wetu kugawana our media, sio kweli kwamba hela alizokopa mwenyekiti wa chadema NSSF zina ubaya wowote, au zinawafanya Chadema wote wawe wabaya kama hii akili mgando unayotaka kui-impose hapa, I hope kuna siku itakuja pamoja na majina yako mengi mkuu utaanza kuandika bila lugha za choooni, maana kila unapotumia majina yako lazima lugha zako ni zile zile za akili mgando na ujuha juu, majina tofauti maneno yale yale ukiwa na hoja nzito huna haja ya kuonyesha ugando na ujuha wa akili yako, weka hoja mkuu hizi lugha kila mtu hapa anweza kuzitumia, lakini sio kila mtu mwenye hoja nzito kama huna kaa pembeni acha mikwara ya kijuha!
 
Mkuu FMES

Hili kukwepa maneno makali na ya kejeli ulio nukuru hapo juu hamna budi kusafisha chama.

Kwa wale wote wanaokipenda chama cha mapinduzi Ni kukisafisha tu ambayo inaonekana kuwa ngumu.

Vinginevyo hivi vibomu vitahitaji uvumilivu.Ukiona Mtu mwenye akili amefikia kusema hovyo ujue ni uchovu wa mikanganyiko mingi ambayo inasababishwa na watendaji waliobeba bendera za kijani.

Afadhali yangu kadi yangu ilipotea na sikutafuta nyingine.
 
The fact that Clare Short, a Briton had more sense,leadership and commitment to fight mismanagement of Tanzanian funds than Andrew Chenge is troubling.


The fact that Chenge stole the $1m is undisputable.

The fact that JK knew about this is undeniable.

The fact that JK reappointed him after knowing this is inexcusable.

JK is either the dumbest president in the world or has connections in this deal or others.JK amepoteza moral authority ya ku discipline watu katika administration yake.Mengine meeengi sana yatajitokeza baadaye.
 
What is this mans salary now and in previous years?

That is only one account how about his Tanzanian accounts, Assets (land, houses, stock etc) does he own any businesses.

Is there anyway possible this man could legitimately have more that $1 million in an offshore account?


These f%$king bastard leaders of ours never cease to amaze me. i am so pissed right now.

😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
 
hiyo ni transaction moja ndio wanayoiongelea, hawa wenzetu sio kama ile ya hosea wa ile nini sijui takukuru maana jina lenyewe ni kichefuchefu kitupu.watawapata mmoja baada ya mwingine mpaka bosi wao jk na nkapa.
 
Sasa tuache kulalamika, email yake hii hapa achenge@parliament.go.tz

Tuandike email ya pamoja kama kikundi na kumtaka aeleze alivyopata hiyo mihela ama sivyo ajiuzulu.

Enough with kulalamika, tumuandikie na tumueleze.Ikiwezekana tutume na fax pia.Na tuendelee na utamaduni huu.Pengine hata hajui kuwa kuna watu wa "pressure group" JF wanajua hizi habari.

Mnaonaje?
 
hiyo ni transaction moja ndio wanayoiongelea, hawa wenzetu sio kama ile ya hosea wa ile nini sijui takukuru maana jina lenyewe ni kichefuchefu kitupu.watawapata mmoja baada ya mwingine mpaka bosi wao jk na nkapa.

....na wanavyozidi kujikongonyoa, report ya EPA kuhusiana na BoT iliyotayarishwa na E & Y nawao kuizima... itatokea huko huko nje kama hawataki kuiweka hadharani hapa Bongo.....
 
Sasa tuache kulalamika, email yake hii hapa achenge@parliament.go.tz

Tuandike email ya pamoja kama kikundi na kumtaka aeleze alivyopata hiyo mihela ama sivyo ajiuzulu.

Enough with kulalamika, tumuandikie na tumueleze.Ikiwezekana tutume na fax pia.Na tuendelee na utamaduni huu.Pengine hata hajui kuwa kuna watu wa "pressure group" JF wanajua hizi habari.

Mnaonaje?
I support your idea, could you please draft one right now and we'll spice it as we go along....
 
Jamani kwanza nina swali mmoja, kuna mtu yoyote anakumbukumbu kama Chenge ashawai kutaja mali zake? I just need to know kama alitaja kitita chake hichi huko Swiss?

Sasa kama Chenge peke yake ana 1Mill kwenye offshore account, Jee Mkapa ana ngapi? Mimi nashangaa Tanzania inaangaika kukopa kopa kwa wazungu hawa wakati wanaweza kumkopa Chenge na wenzie kwa interest rate ya chini kabisa.

I hope ata step down, na JK atatuchambulia Chenge ana biashara gani mpaka kuwa na million 1 mnyamwezi kwenye bank hizo. Kumbukumbu zangu ni kwamba Chenge alipomaliza degree yake ya sheria hapo Harvard alirudi Tanzania na kufanyia kazi serikali. Sasa hata wawe wanamlipa million 5 shilling kwa mwezi hawezi kuwa na $1M kwenye bank.

Na kwa nini kaziweka offshore? Jee anaogopa nini? Hili ni changamoto wa keserikali kuomba uchunguzi wa offshore account ya Yona, Mkapa, Lowassa, Karamangi, Msabah na wengine wengi.

Hii ni sad story, hawa jamaa wanafanya watanzania kama mazoba au mambumbumbu wazungu wa reli. Yaani uwezi kuwa una million 1 USD wakati kuna watanzania hawana shilling 10,000 kufanya X-ray. Haya maisha ya kuwalinda hawa vigogo yataisha lini? JK ndio mtetezi, tetea wanyonge jamani. Yaani roho inauma kama kidonda
 
Sio Ajiuzulu kwa manufaa ya umma awajibishwe lwa manufaa ya umma!
 
Ona resume yake hapa

Ministry of Justice & Constitutional Affairs Permanent Secretary
Tanzania Government State Attorney 1972 2005
Ministry of Infrastructure Development Minister 10/17/2006
Ministry of East Africa Co-operation Minister 1/1/2006 10/16/2006

Chenge amekuwa mtumishi wa serikali miaka yote, amepata wapi mihela yote hiyo?

Naandaa barua ya kumuuliza ajibu maswali ama sivyo ajiuzulu naomba kama wadau mna maswali myaweke hapa.
 
Wadanganyika jamani!... ama kweli NDIVYO TULIVYO..
Hivi kweli mlikuwa na kijiimani kuwa Chenge hakuhusika na deal la Radar?..
Hivi kweli mnaamini kwamba viongozi wetu ni wasafi?... Nani kati yao mwenye wadhifa hana account nje!..
Na hakuna hata mmoja wao aliyewahi kutoa account zake nje ktk report ya mali na mapato yake Bungeni..Hakuna! hata Sitta mwenyewe, wanazohesabu ni mali zao ndani Tanzania zinazojulikana na registered chini ya majina yao, sio wake zao, watoto wao na kadhalika...hata kama wao ndio wamiliki nje ya sheria.
Kumbukeni wote hawa wameruhusiwa kufanya biashara, hivyo wanazo account nje mbali kabisa na wizi wa pesa za serikali wanalindwa na sheria waliyoianzisha wenyewe.
Tumeibiwa toka enzi za Green bank na mashirika yote yaliyobinafsishwa yana hujuma ndani ayke hakuna hata moja lililobinafsishwa kwa faida ya nchi yetu. That is a fact na kutokubali hayo wakati hatuna ushahidi nje ya ukweli huo kunakamilisha dhana ya NDIVYO TULIVYO.. wepesi wa kusahau na Kusamehe! kama tulivyosamehe biashara ya Utumwa.
Jamani hawa viongozi wetu, wadhifa waliokabidhiwa ni mtaji toka wa kuanzisha biashara wakizuia mashirika mengine kutopata tender isipokuwa yale yatakayokubaliana na masharti binafsi - MTUKULA...
 
Back
Top Bottom