The Radar Scandal: Investigation & Progress

Ukiambiwa ukapimwe akili unadhani dakitari kakosea!


Ndio shida ya wengine mkikunwa mnakimbilia watu wakapime, Unapoongea kitu uwe na uhakika wewe unabwata tu umejipima kama una akili kamili. Au ndio nyie wenye hasira kuwa umaskini wenu umeletwa na kina chenge? Kabla hujasimulia kitu kifanyie utafiti uwe na uhakika sio kubuni tu kufurahisha ukurasa
 
no africa ni maskini kwasababu watu kama wewe hawataki kufanya kazi kwa bidi juu ya kazi, wanaona darasa limejaa nyuki na viti vina upupu,pata shule kidogo in fact pata shule sana

Yaa tumia kiswahili ueleweke kuliko kubaka lugha ya wenzio!
 

Of all pple, wewe ndio wa kukuna watu hapa!
 
Yaa tumia kiswahili ueleweke kuliko kubaka lugha ya wenzio!

kingereza ndio lugha ya dunia sasa kwahiyo kama unaona I'm raping the language you simply confirm my intial comment regarding your foolishness, education is the key dear
 
kingereza ndio lugha ya dunia sasa kwahiyo kama unaona I'm raping the language you simply confirm my intial comment regarding your foolishness, education is the key dear

Unatumia very poor english na una makosa kibao kwenye maandishi yako so andika the right way au tumia tu kiswahili na utaeleweka vizuri huku ukipata dozi yako three times a day.
 
There is a lot of guys out here who will stand by him. Wale ambao tumechoka na dhana yha ujinga huu wa umaskini. Huhitaji kuwa chenge kujua haya unahitaji kusoma japo kidogo tu na kuacha ushabiki.

....dhana kubwa ya kijinga na ya kushangaza ambayo imeonekana katika saga hili ni ile ya kuona mmoja wa the so called H - alumni akitoa pesa za kigeni kutoka katika Taifa lake analoliongoza na kuzipeleka nchi nyingine bila kujali ambacho zingeweza kufanya katika uchumi wa nchi yake kwa kipindi ambacho zitakuwa offshore...huku akiendeleza mijadala kwenye majukwaa ya siasa kuhusu wananchi kuwekeza sehemu wanazotoka na kwenye mabenki ya Tanzania!!!
 
no africa ni maskini kwasababu watu kama wewe hawataki kufanya kazi kwa bidi juu ya kazi, wanaona darasa limejaa nyuki na viti vina upupu,pata shule kidogo in fact pata shule sana

Kweli kabisa. Hawa ndio wale ambao baba zao walikuwa madarakani huko nyuma na hawakutaka kusoma wakidhani kuwa tanzania itaendelea kusimama hawakujua kuwa ulimwengu huwa hausimami. Kasomeni nyie ndugu,

Sasa wanaona wenzao wanakazana hata kusomesha watoto wao wanapata donge
 

Kisomo unachosema ni hiki chako? KUna watu wamesoma na watoto wao wanasoma na so far you are not one of them.
 

Tanzania hamna utafiti hata kwenye habari, watu wanataka kurukia habari tu ilimradi wapate chakusema. kujielimisha kabla ya kufungua mdomo ni kitu kigumu it seems
 
Bebeh ngosha, vipi tena... mbona unakubali uBongo wako halafu unakuwa kama umekunywa chang'aa kwa kutumia sinia vile na kujing'atua kwa ghafla?! ......kinehe egeteh?!!!

Ngosha, hapa hamna u mr nice wa kisuku. To deal with this issue is simple. Dont follow the rules, dont follow the law. You try and follow the law with someone who has money, you are screwing yourself.

The will of the Tanzania people is not strong for change. Mimi na wewe, JF, we are nothing. The majority of people who can make a massive change wako vijijini, unions etc......hao wanaohesabika, ndio wamelala. Sina huruma na mtu aliye mzito wa akili kujiletea mabadiliko maishani.
 

Haya mawazo yako yana nafasi yake kuleeee........!
 
Tanzania hamna utafiti hata kwenye habari, watu wanataka kurukia habari tu ilimradi wapate chakusema. kujielimisha kabla ya kufungua mdomo ni kitu kigumu it seems

Ungejielemisha kabla ya "kujisajili" na kuanza kujiabisha hapa, ungekuwa kwenye nafasi nzuri ya kutoa ushauri. So far inaonekana wewe unayejiita Havard alumni (in my sleep) ndiye unafaa kujielemisha.
 


Sikutaka kuingia humu lakini kwa hili imenibidi! Unamlinganisha Chenge na Madiba? Inaelekea wewe kipimo chako ni fedha, basi niambie Bill Gates,Steve Jobs, Ted Turner,Carlos Slim n.k. wana madigrii mangapi na kutoka wapi? Hata huyo unayemtetea atakuona punguani akisikia unamlinganisha na Madiba!

With all due respect, hiyo font of knowledge aliyoipata kama Attorney General Tanzania ni ipi ambayo itamfanya Mheshimiwa awe hot cake katika the lecture circuit? Mchango wake katika fani yake hapa DUNIANI ni upi? Hao watu wa magharibi, mheshimiwa ataenda kuwaambia kipi ambacho hawajui? Kwamba watu wanakula? Kwamba mikataba yetu ni bomu? Kipi, mkuu?

Mheshimiwa hakukosea alipoziita zile fedha ni vijisenti! Katika darubini ya dunia, vile vijisenti havitoshi hata kumnunulia Maria Carey pete ya uchumba. Ndiyo maana wamemtupa chini ya basi. Ni expendable kwao. Tofauti na wasaudi ambao ndiyo haswa walikula fedha na siyo vijisenti.

Wakati mwingine naona JF walifanya makosa kutuvisha hivi vilemba vya ukoka vya SENIOR EXPERT MEMBER maana wengine kweli tunaanza kuamini kuwa kweli ni wakali wakati hamna kitu!
 
Ungejielemisha kabla ya "kujisajili" na kuanza kujiabisha hapa, ungekuwa kwenye nafasi nzuri ya kutoa ushauri. So far inaonekana wewe unayejiita Havard alumni (in my sleep) ndiye unafaa kujielemisha.

dah hata kusoma ngumu kwako sindiyo. nimesema nimeeda harvard, nilisema kusoma? wewe umefika ukauliza the law faculty kama chenge is part of the alumni, maana mimi nimefanya! Je wewe unaushahidi gani kwamba chenge ana mabilioni? magazeti yamekuambia, magazeti hayo hayo yanojulikana kuzusha hadithi ili kuuza? subiri matokeo dada? hivi aliuwa wangapi kwenu tena?
 


Kumbe ndi hoja kuwa hapa bongo kuna watu na vijiwatu? hivyo chenge hapaswi kuwa mtu kabi kajitu. Poleni sana ndugu zangu hakuna mtu maskikini duniani kila mtu hupanda kwa kadri ya kuhangaika kwake nyie mliokuwa juu sasa mmeporomoka ndio hasira zenu tumeziona hapa hapa, Hebu nitajie hao ambao wako kwenye hilo daftari takatifu la wateule wa mungu wa tanzania
 

Mkulu Fundi Mchundo,

kwi kwi kwi..... yaani hapa umemaliza kila kitu.
kwi kwi kwi... ngoja niende kuanza weekend yangu maana hii sasa ni kali kuliko mwarobaini!

kwi kwi kwi ... hii ni nzuri kwa kuanzia weekend!
 

Naona unakana 'elimu' yako baada ya joto kuzidi jikoni sio!
 
..... kwa hiyo utatumia mbinu zote including elimu yako kum-squeeze mtu asiyeelimika/masikini hadi abadilike rangi na kuwa wa manjano na adondoke kama bua la mhindi lililo kavu?!........ Wakoloni ndivyo walivyotufanyia hivi, kwa maandishi yako nasi tuamue kufanyiziana sisi kwa sisi na siyo kuwafanyizia wao....duuuuh.... ng'wanone, ngoja tu nikuache na dhana yako ya ushing'weng'we/shirikale hiyo!! lol
 
Naona unakana 'elimu' yako baada ya joto kuzidi jikoni sio!

hata siku moja. unlike you, I value my education, I value world issues. So far you've proved your ignorance and foolishness. Endelea na lugha yako yakitaifa sijuwi itakufikisha wapi na ulimwengu hu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…