Kuna fumbo kubwa sana ulimwengu umefumbwa,na ndio maana elimu ya dini imetawala,.hii ilikua maksudi kabsaa.sasa ni hiv,uchaw ni knowledge kama zilivyo zingne,ni sawa na elimu ya umeme,electromagnetism,gravity etc,sasa hii elim ilifanywa siri kutokana na effect yake kwenye maisha ya mwanadam,.ina tafsir nying,ila tafsir ya uchaw kwa kiswahili hata kiingereza haijitoshelez na imefanywa iwe hvyo ili kuweka mipaka kwa wanayoitumia elim hyo na wasio itumia..let me use the same word uchawi,.ni hiv,tokea ulimwengu huu uanze pipo hav been using this knowledge to win wars,kugundua formula za physics,chemistry na elim zingne,nuclear,ndege na machines,usione watu wanagundua tuu mara microsoft mara sjui ma software etc,n unajiuliza y ni watu hawa tuu peke yao,kuna siri kubwa imefichwa ambayo wengne tunazuiwa kuigundua ama ku isoma na tunaambiwa ni dhambi or ni mbaya or mungu hapend etc ila kiukwel uchawa ni knowledge na wengne wanaitumia kufanya mambo makubwa na mazur,..hawa tunaowaita wachaw mitaan ni kwamba wana ka knowledge kadoogo sana na ndo hako wanakatumia plus wengne ni michezo tuu,na knowledge hii ina garama,so wengne wananunua,sawa na mtu ukitaka usomee u pilot lazma hela ikutoke,so thaman ya uchaw unayogaramia itaendana na uchaw au effect unayoitoa kwa knowledge hyo.tajir atakua mchaw zaid ya maskin,kuna miji mikubwa inalindwa kwa nguvu za uchaw,na kuna territories,sio kila mchaw anaeza ingilia site yoyote tuu.na kuna ranks kama ilivyo,mwenye certificate,diploma,bachelor,master,phd ,prof nk..pipo use uchaw kugundua madawa ya hospital,pipo use uchaw kugundua magonjwa na procedure za kidaktar.ni mambo meng,so uchaw usikuogopeshe saana.ni knowledge tuu,