The Interview: mshana Jr.

The Interview: mshana Jr.

Salaamu Kaka Mshana !...

Naomba nijibu maswali haya kadri uwezavyo japo ni mengi.... samahani lakini.

1.Pesa (Sarafu) za kale zina mahusiano gani na mambo ya kichawi.... kazi yake ni nini hasa?.UKALE WAKE NA ASILI YAKE ZILITENGENEZWA NA MANUIZI

2.Je ni kweli mtu anaweza kuwekewa kinga ya mwili kumzuia kutodhurika na baya lolote lile litakalopangwa juu yake?. ZIPO KINGA ZA KIMILA NA KISHIRIKINA

3.Mchawi anaweza kuwa na vitu hivi viwili "uchawi na Imani ya Kiroho" je kama anaweza kuwa navyo anavitumia vipi?. SIO MCHAWI TU WENGI WAKO HIVYO KWA MUNGU KIDOGO KWA SHETANI KIDOGO

4.Waganga wanapokupa masharti pale unapoenda kuhitaji msaada wao huwa haiwezekani mtu kutatuliwa tatizo lake bila kupewa masharti?. NI SAWA NA KUPEWA DAWA HALAFU USIZINGATIE MASHARTI

5. Unaweza kuona dalili gani ukatambua kuwa unatumiwa kichawi?. HAKUNA DALILI RASMI MPAKA KITU KIENDELEE KUKUTOKEA MARA NYINGI

6. Je wachawi wa Mataifa mbalimbali wakikutana hutumia lugha gani kwenye mawasiliano yao?. VITENDO

7. Ikitokea mtu anataka kukudhuru wewe kwa uchawi utatumia njia ya uchawi kumdhibiti au utatumia imani?. MAPAMBANO YA KIROHO HUPAMBANA KIROHO SOMETIMES NI MPAKA UWE NA KINGA AMA NGUVU FULANI

8. Je leo hii akija mtu kwako anahitaji msaada na kweli ukaona yupo kwenye tatizo kubwa (ulimwengu wa giza ) utakuwa tayari kumsaidia?. KWA UWEZO WANGU NITAFANYA HIVYO

9. Mshana uliwahi kujaribu kutumia usafiri wowote wa kichawi na kama bado je unaweza kunielezea kidogo hatari ya usafiri wowote wa kichawi na mwendo wake?. NAOMBA HILI NISILIJIBU

10. Mchawi anapoamua kumchezea mtu huwa anatafuta mtu anaemjua au yeyote?. HIYO NI MICHEZO YA WANGA MCHAWI ANAKUDHURU KABISA HATA KAMA HAKUJUI

11. Mtu anaweza kurithishwa uchawi akiwa na umri gani, (kwa mtoto na mtu mzima). INATEGEMEA WENGINE HURITHISHWA KATIKA UMRI MDOGO KABISA

12. Je wachawi wenyewe huwa wanaogopa nani ( tukiacha watu wa kiroho). WACHAWI WENZAO WA DARAJA LA JUU

13. Ni sehemu gani uchawi hauwezi kuingia (au unaingia kwa shida sana) KWA WATU WALIOMSHIKA MUNGU VIZURI.

14. Kuna tofauti gani pale mchawi anapomchezea mtu aliyejikinga na dawa na yule ambaye hajajikinga?. HUMKWEPA MWENYE KINGA

15. Kuna Pesa mtu anaweza kuwa nazo ndani ila hazitumii kichawi pesa hizi huwa zina matumizi gani?. HULKA BINAFSI SOMETIMES UBAHILI

Mwisho......... Karibu Mashana Nakungojea kwa majibu yako Muruaaaaaaaa
DU ASANTE
 
Mkuu mshana jr Heshima kwako!
Kuna kipindi nimefanya kazi katika mazingira fulani hapa Tanzania. Wakazi wa maeneo ya huku huwa wanatumia njia za kishirikina kuadhibiana pale unapomfanyia jambobambalo sio la kiungwana, hasa kutumiana Radi wakati wa mvua. Nilijaribu kudadisi kwa wazee wa jamii ya huku. Ila wakadai kwamba Radi hizi lazima umtumie mtu ambae mna uhusiano wa damu. Naomba ufafanuzi kidogo kuhusu njia hii ya ushirikina kama unaifahamu.
 
Mkuu mshana jr Heshima kwako!
Kuna kipindi nimefanya kazi katika mazingira fulani hapa Tanzania. Wakazi wa maeneo ya huku huwa wanatumia njia za kishirikina kuadhibiana pale unapomfanyia jambobambalo sio la kiungwana, hasa kutumiana Radi wakati wa mvua. Nilijaribu kudadisi kwa wazee wa jamii ya huku. Ila wakadai kwamba Radi hizi lazima umtumie mtu ambae mna uhusiano wa damu. Naomba ufafanuzi kidogo kuhusu njia hii ya ushirikina kama unaifahamu.
Mmh hizo mimi huwa nazisikia tu niwe mkweli
 
Asante mshana jr

Nakupongeza kwa kutuonesha picha yako halisi.
Wengi tulidhani kwa mambo unayoyajua basi utakuwa mzee au mbabu fulani.

Kumbe ndo kwanza unatafuta mchumba.
Safi sana mheshimiwa
Mshana Jr
Kwa kututhamini

Naposti
Mkuu halafu mshana anafanana na mbwiga Mbwiguke (MZARAMO) wa Clouds Media.
 
Haha eti eneo la kuondokea. Kwa hiyo kuna viwanja maalumu kama ilivyo JNIA?

Ni masharti gani kupanda ungo? Mbona baadhi huwa wanadondoka wanakuwa wamekosea nini?
Yeah maranyingi viwanja vya vya mpira
Usinga kaniki kipande cha nguo nyekundu pembe lenye damu mbichi nk
Angani kuna nguvu nyingi ukipotea njia unaanguka
 
Kuna fumbo kubwa sana ulimwengu umefumbwa,na ndio maana elimu ya dini imetawala,.hii ilikua maksudi kabsaa.sasa ni hiv,uchaw ni knowledge kama zilivyo zingne,ni sawa na elimu ya umeme,electromagnetism,gravity etc,sasa hii elim ilifanywa siri kutokana na effect yake kwenye maisha ya mwanadam,.ina tafsir nying,ila tafsir ya uchaw kwa kiswahili hata kiingereza haijitoshelez na imefanywa iwe hvyo ili kuweka mipaka kwa wanayoitumia elim hyo na wasio itumia..let me use the same word uchawi,.ni hiv,tokea ulimwengu huu uanze pipo hav been using this knowledge to win wars,kugundua formula za physics,chemistry na elim zingne,nuclear,ndege na machines,usione watu wanagundua tuu mara microsoft mara sjui ma software etc,n unajiuliza y ni watu hawa tuu peke yao,kuna siri kubwa imefichwa ambayo wengne tunazuiwa kuigundua ama ku isoma na tunaambiwa ni dhambi or ni mbaya or mungu hapend etc ila kiukwel uchawa ni knowledge na wengne wanaitumia kufanya mambo makubwa na mazur,..hawa tunaowaita wachaw mitaan ni kwamba wana ka knowledge kadoogo sana na ndo hako wanakatumia plus wengne ni michezo tuu,na knowledge hii ina garama,so wengne wananunua,sawa na mtu ukitaka usomee u pilot lazma hela ikutoke,so thaman ya uchaw unayogaramia itaendana na uchaw au effect unayoitoa kwa knowledge hyo.tajir atakua mchaw zaid ya maskin,kuna miji mikubwa inalindwa kwa nguvu za uchaw,na kuna territories,sio kila mchaw anaeza ingilia site yoyote tuu.na kuna ranks kama ilivyo,mwenye certificate,diploma,bachelor,master,phd ,prof nk..pipo use uchaw kugundua madawa ya hospital,pipo use uchaw kugundua magonjwa na procedure za kidaktar.ni mambo meng,so uchaw usikuogopeshe saana.ni knowledge tuu,
 
Back
Top Bottom