Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,563
Hili jibu limenifanya niingalie avatar mara 2x3 kama dose ya MsetoNdio ni Mimi halisi.. Naingia meditation nitarejea
Hili jibu limenifanya niingalie avatar mara 2x3 kama dose ya Mseto

Mojawapo ya watu wenye aibu sana ni wachawi lakini hii ni kuficha uhalisia wao, kumbuka pia macho huongea
Maombi ni adui wa mchawi ndio maana hufanya kazi yake barabara

Endelea kunipa like huko mshana jr.![]()
![]()
hayo hapana ndio privacy yenyewe hiyo
WiseHuko kuache kama kulivyo.. Yaliyoko huko tuyaache yasiingie hapa
Habari mkuu paw.Ushauri
Mnaweza kutuma maswali yenu kwa Dabby kisha ayaweke hapa ili muweze kwenda sawa na interview.
Otherwise mtafika mahala mantiki itapungua
Paw