muhuni mpya
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 300
- 166
iyo meditation ya utambuzi jinsi ya kufanya na hatua zake zipoje mkuuMeditation ya utambuzina nguvu za kuzimu lakini wengi hawana
iyo meditation ya utambuzi jinsi ya kufanya na hatua zake zipoje mkuuMeditation ya utambuzina nguvu za kuzimu lakini wengi hawana
mkuu mim nlikuw nafuatiliw jinsi yakufungua jicho la tatu nikama wiki 1 iv nlipoanza baad yahapo niliacha nikakaa kam siku 4 iv nikawa naota mamb ya ajabu ajabu sauti zinakuj kichwan kwang zinaniambia v2 visivoeleweka na kuona v2 ving tofaut nandoto zakawaida nikawa napotezea mwisho wasiku vitu ivo vikawa vinapotea mpaka sas sioti chochot . ivi haya vit vilikuw vinatokana nahiyo jicho latatu nliokuw nafuatilia kwakujifunza meditation au nindoto zakawaida tu?Inawezekana kabisa kupitia kufungua jicho la tatu ila kuna masharti mengi na practice ngumu kuweza Ku attain hiyo
Msingi wa meditation ni huu hapaiyo meditation ya utambuzi jinsi ya kufanya na hatua zake zipoje mkuu
Ulikuwa kwenye hatua muhimu ya kuisafisha akili na kuondoa makandokando yaliyoizingamkuu mim nlikuw nafuatiliw jinsi yakufungua jicho la tatu nikama wiki 1 iv nlipoanza baad yahapo niliacha nikakaa kam siku 4 iv nikawa naota mamb ya ajabu ajabu sauti zinakuj kichwan kwang zinaniambia v2 visivoeleweka na kuona v2 ving tofaut nandoto zakawaida nikawa napotezea mwisho wasiku vitu ivo vikawa vinapotea mpaka sas sioti chochot . ivi haya vit vilikuw vinatokana nahiyo jicho latatu nliokuw nafuatilia kwakujifunza meditation au nindoto zakawaida tu?
aah asante lakin naweza kuendelea kwasasa?Ulikuwa kwenye hatua muhimu ya kuisafisha akili na kuondoa makandokando yaliyoizinga
Yeah endelea bila shakaaah asante lakin naweza kuendelea kwasasa?
Dudumizi ni ndege, ila ruka yake si yambali ni km hatua 10 hv lazima atue chini, hupenda kukaa kwenye vichakaAsante.
Japo weka sawa hapo mnyama halafu ndege tusije kuchanganyikiwa.
Hivi wewe unajua kusomaNingependa kujua ni wapi amejifunzia elimu ya uchawi na kuroga..
hii pia inafungua jicho la tatu mkuu?Yeah endelea bila shaka
Most likely tukifanya kwa ukamilifuhii pia inafungua jicho la tatu mkuu?
ndani ya muda gani lakin mpak sas nmefkia hatua yakupat mauza uza mahap nilipo kichwa kinauma sanMost likely tukifanya kwa ukamilifu
Unaendelea vema... Kaza butindani ya muda gani lakin mpak sas nmefkia hatua yakupat mauza uza mahap nilipo kichwa kinauma san
safiUnaendelea vema... Kaza buti
mshana mimi nimeota nipo namwenzangu tunakimbia tunamuwahi mtu mara nkaona nachelewa nkaaanza kukimbilia mikono namiguu kama vile mnyama mara nkaanza kulusha lusha mikono nkaanza kupaaa juu nkawa napaa nipo juu nageuka nyuma mwenzangu ananiita nimsubilie,ananambia nakupa ata hela nsubili Me nkawa naendelea tu kupaa mara nae akawa tupo nyuma yangu. kufika nyumbani kumwambia Mama asaiv napaa nkajaribu nkawa napaa ivoivo, akawa ananiuliza mambo ambayo siyaelew. malaa oooh umewatajia majina ya ndugu zako Me nkawa namwambia sikuelew unaongelea nini malaa jee majina yandugu zangu nkawa sielew anaongea nini. nkashtuka ilikuwa kama saa 8 au 9 iv uck.Ni sawa na kutaka kugeuza sumu iwe tiba ama usiku uwe mchana! Dhima ya uchawi ni kuharibu si kujenga
Hiyo ni ndoto hasa ukiwa umekula ugali usiku.mshana mimi nimeota nipo namwenzangu tunakimbia tunamuwahi mtu mara nkaona nachelewa nkaaanza kukimbilia mikono namiguu kama vile mnyama mara nkaanza kulusha lusha mikono nkaanza kupaaa juu nkawa napaa nipo juu nageuka nyuma mwenzangu ananiita nimsubilie,ananambia nakupa ata hela nsubili Me nkawa naendelea tu kupaa mara nae akawa tupo nyuma yangu. kufika nyumbani kumwambia Mama asaiv napaa nkajaribu nkawa napaa ivoivo, akawa ananiuliza mambo ambayo siyaelew. malaa oooh umewatajia majina ya ndugu zako Me nkawa namwambia sikuelew unaongelea nini malaa jee majina yandugu zangu nkawa sielew anaongea nini. nkashtuka ilikuwa kama saa 8 au 9 iv uck.
kesho kutwa yake tena nkaota napaa japo skumbuki vzr .
Naomba kujua hii ni nini ndugu. Mshana jr


mshana mimi nimeota nipo namwenzangu tunakimbia tunamuwahi mtu mara nkaona nachelewa nkaaanza kukimbilia mikono namiguu kama vile mnyama mara nkaanza kulusha lusha mikono nkaanza kupaaa juu nkawa napaa nipo juu nageuka nyuma mwenzangu ananiita nimsubilie,ananambia nakupa ata hela nsubili Me nkawa naendelea tu kupaa mara nae akawa tupo nyuma yangu. kufika nyumbani kumwambia Mama asaiv napaa nkajaribu nkawa napaa ivoivo, akawa ananiuliza mambo ambayo siyaelew. malaa oooh umewatajia majina ya ndugu zako Me nkawa namwambia sikuelew unaongelea nini malaa jee majina yandugu zangu nkawa sielew anaongea nini. nkashtuka ilikuwa kama saa 8 au 9 iv uck.
kesho kutwa yake tena nkaota napaa japo skumbuki vzr .
Naomba kujua hii ni nini ndugu. Mshana jr
Nitarejea niko mahali natafuta kodi ya meza ya tumbo na ya serikaliHiyo ni ndoto hasa ukiwa umekula ugali usiku.
(soon naelekea kua mtabiri)![]()
umbea tiba Atiihahaha inaonesha unapenda udaku wewe...
Nitayajibu yote niko njiani sijasettle