binti wa kirombo
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 847
- 965
nimeiona daby nasubiri siku ya mada tajwa
Hapana sema mafanikio ya haraka but remember come easy go easyKwanini Mafanikio(Siasa,sanaa, biashara) inahusishwa na uchawi
Ni kweli kabisa ndio maana yakikemewa kwa roho na kweli yanatimua mbioJe, ni kweli ulimwengu wa majini hauna nguvu juu ya Jina La Yesu?
Mimi kama ni Mkristo kitu gani cha ziada natakiwa nikifanye ili kuhakikisha kuwa IMANI yangu kwa YESU inanikinga kabisa na mapepo wachafu?
Kwahiyoo kwanini kafara ya dam za watu ina nguvu sanaa kuli kafara nyingineMtu/ binadamu aliumbwa mnyama alitamkwa na ikawa
Mtu binadamu ni mfano wa Mungu na alipewa wanyama awatawale
Mtubinadamu ana utashi mnyama hana
Majibu yake ndio hayoKwahiyoo kwanini kafara ya dam za watu ina nguvu sanaa kuli kafara nyingine
KweliHapana sema mafanikio ya haraka but remember come easy go easy
Historia ya uchawi kule yaweza kuwa kongwe zaidi na wenzetu wame advance zaidi kiasi kwamba wamegeuza kitu cha kawaida na wanafundisha kwenye vyuo rasmi makongamano na hata vipindi kwenye TV.. .kwahiyo wenzetu hawatumi tens kuku wala masiziMkuu mshana naomba ufafanuzi juu ya hv ni kwei wazungu wanaaini uchawi, ?? Na je nikienda ulaya sahv nikatafuta mganga nampata??
Mi naona hata kama wachawi wapo kule ila wana tofauti sana na wa huku, sixani kama watakwambia sijui ulete kuku mweusi sijui machozi ya simba etc... Kwa uzoefu wako hili lipoje, au si wa Africa uchawi wetu ni tofauti.
Pia kama unajua historia ya uchawi ulaya tuambie kidogo..
Makazi Msata na Dar, sifanyi kazi Tumbi ninaenda hapo kwa ishu binafsi tu mara kwa maraMshana unaishi wapi,n kweli kwamba unafanya kazi tumbi hospital.
Hakuna elimu wala vitabu rasmi hapa kwetu na vitabu vingi nilivyorudi navyo kila aliyechukua hakurudishaMkuu na mimi napenda kujua japo kinaga ubaga masuala haya ya kiulozi na kichawi...ila sitaki kuyajua ili niwe mchawi...nataka kuongeza maarifa tu kichani je unaweza kunisaidia vitabu ulivyovisoma vinavyofunua mambo ya uchawi....?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio hapa TanzaniaMkuu nimesoma profile yako hapo umeandika kwny occupation ni mortuary attendant je unafanyia kazi hii hospital gani?
Sent using Jamii Forums mobile app