Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
Waungwana, kwa kweli today is a very sad day for our nascent democracy. Hivi jamani Tanzania tunaenda wapi? Kama hatutaki kukosolewa? hawa viongozi mbona wanatuchukulia raia million 37 (with exception ya million moja ya akina Mugongo mugongo) for granted?
Naomba nisitoe comment sasa hivi kuhusu hii issue ya Zitto mpaka nijiridhishe makosa aliyoadhibiwa nayo! Haiingii akilini wabunge kumsimamisha mwakilishi wa wananchi!! Hata kama ni kanuni au sheria za bunge, basi hizo sheria ni balaana za kizandiki, zifutwe haraka iwezekanavyo.
Jamani, Yaani sielewi kweli kama Tanzania kama familia yetu wote tunaelekea kwenye Neema. I very much doubt it. Kwa sababu akina Mugongo Mugongo wanakotupeleka ni kwingine kabisa, well tunaweza tukawa wajinga kizazi hiki, ila sina hakika kwamba vizazi vyote vitakuwa hopeless na mazezeta kama sisi! Mugongo alert your compatriots, Hali ni ngumu huko tuendako. Believe me you! Kwa mwendo huu, hatutakuwa wajinga forever.
Naomba nisitoe comment sasa hivi kuhusu hii issue ya Zitto mpaka nijiridhishe makosa aliyoadhibiwa nayo! Haiingii akilini wabunge kumsimamisha mwakilishi wa wananchi!! Hata kama ni kanuni au sheria za bunge, basi hizo sheria ni balaana za kizandiki, zifutwe haraka iwezekanavyo.
Jamani, Yaani sielewi kweli kama Tanzania kama familia yetu wote tunaelekea kwenye Neema. I very much doubt it. Kwa sababu akina Mugongo Mugongo wanakotupeleka ni kwingine kabisa, well tunaweza tukawa wajinga kizazi hiki, ila sina hakika kwamba vizazi vyote vitakuwa hopeless na mazezeta kama sisi! Mugongo alert your compatriots, Hali ni ngumu huko tuendako. Believe me you! Kwa mwendo huu, hatutakuwa wajinga forever.