Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 614
Zito akichangia bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, amesema kwamba Waziri Karamagi alikwenda kusaini mkataba wa Mgodi wa Buzwagi, London kwa kutumia mfumo wa mikataba wa zamani wakati serikali ikiwa inajadiliana na wawekezaji kurekebisha mikataba hiyo.