Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,110
Kwa ajili ya haya yasionekane tena. Lakini sasa ni wazi hata hizi jitihada wanafanya ni kutulaghai tu.Walitaka izimwe,sijui kwasababu ipi...
Kwa ajili ya haya yasionekane tena. Lakini sasa ni wazi hata hizi jitihada wanafanya ni kutulaghai tu.Walitaka izimwe,sijui kwasababu ipi...
I know.....Kwa ajili ya haya yasionekane tena. Lakini sasa ni wazi hata hizi jitihada wanafanya ni kutulaghai tu.
Jamani hii mada mbona inakosa nyama nyama... Karamagi alisema nini na Zitto alikuwa anataka nini kifanyike? Ni wapi Karamagi amekosea?
YupoIv huyu Karamagi anaishi wapi sasa?
Mh Rais wa mioyo ya WaTz!Nauchukia umaskini nataka niwe na karamaghai wengi na akina rostam wengi
Lowsa
2015
Kwa ajili ya haya yasionekane tena. Lakini sasa ni wazi hata hizi jitihada wanafanya ni kutulaghai tu.