ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Ahaaa umekumbuka kuzima jiko! Kumbe kalikuwa kadogo,waulize Kagera watu walisahau hadi watoto.Nilikuwa napika,nikazima jiko na kukimbia
Ahaaa umekumbuka kuzima jiko! Kumbe kalikuwa kadogo,waulize Kagera watu walisahau hadi watoto.Nilikuwa napika,nikazima jiko na kukimbia
SchubamamitiLimepita hapa ferry na nimeomba lift limeniacha Zanzibar lenyewe limeendelea kwenda Mombasa
Laizer aache kuchimbachimba. Bil 7 hazimtoshi. Atakuja atuue
Nilikua lodge na mrembo nikajua ugwadu
😂😂😂😂😂Chuga tunalisubiri bado!
Hadi sasa hivi moyo unaenda mbio.Aiseee poleni sana ndugu zangu, nawaombea amani ya moyo....
Jamaniii pole sana, usipanic utakua sawa dear.... kunywa juice kisha utulie.Hadi sasa hivi moyo unaenda mbio.
Umepata mda wa kuzima jiko kweli huogopi kifoNilikuwa napika,nikazima jiko na kukimbia
Ulikuwa unapika nini??
Ahaaa umekumbuka kuzima jiko! Kumbe kalikuwa kadogo,waulize Kagera watu walisahau hadi watoto.