Television ya Taifa,TBC, Imetisha!. Yarusha Live Mbili Kwa Wakati Mmoja! Live ya Dodoma on TBC1 At the Same Time Live ya Arusha TBC2- Safari Channel

Inamaana ITV wanaporushaga laiv huwa wanaazima hizo OB Van
No, ob van yenyewe inakuwa imefungiwa link, hivyo vituo ambavyo havina link, wanafunga link kwenye hiyo sehemu au kwenye gari yoyote.

Pia ujio wa technology ya digital kwenye matangazo imerahisisha mambo, wenaweza kutumia high speed internet, karibu mikoa yote ina 4G, hivyo connectivity sio a big issue, the issue ni vifaa vya kurushia, hivyo ITV wanavibeba, na kufanya setting eneo la tukio. Lakini wenye OB equipments ziko ready ndani ya gari tayari kwa kazi.
P
 
Wewe ni kada mtafuta teuzi tu ndugu yangu sjui kwa nini uko hvo. Hyo tabia ya uchawa achana nayo ili uwe flexible. Sasa wakirusha hzo live mbili itasaidia nn kama content znalengo la kuisifia ccm tuu. Acha hyo tabia, alafu usiwe kma mshamba technology imesha advance wanachokifanya hao TBC hakina maajabu. Ingekuwa ndo kitu kpya kufanyika hapa ulimwenguni ndo tungeelewa na kuwasifia licha ya maudhui ya hovyohovyo
 
Bado unaangalia TBC!?
Hicho kituo kiboreshwe, hasa kisiwe na mrengo wa wazi wa kisiasa! Kinakwaza sana
 
Kaka Pascali bwana, we mwenyewe umeitaja AZAM kwamba inaweza kurusha mubashara matukio zaidi ya moja kwa wakati mmoja halafu unamalizia kwa kusema eti TBC ndio TV kiongozi, umenichanganya sana hapa. Kwanini hukuwapa pongezi Azam badala yake unatoa pongezi kwa aliye copy? Anyway, sioni ni kwanini TBC washindwe kufanya hivyo ilihali ile ni TV ya taifa na inaweza kupewa pesa zozote kulingana na demand yake, kama sasa ndio wameza kufanya hivyo then tuwalaumu wafanyakazi wa TBC kwa kutokua wabunifu, mtaji kwa TBC sio tatizo kabisa; siamini kama hilo dubwasha unalolisifia linaweza kuzidi bei ya ma V80 (in Polepole's voice ) kadhaa
 
Hamna hata aibu, hizo chuki zenu zitawamaliza, ndege nazo mnasema mama wakati zimeandikwa Hapa kazi tu, hizi mitambo na uboreshwaji wa TBC alifanya JPM lakini leo watu wanasema tofauti...hehe
Hahahaha mbona daraja la kigamboni mlisema ni kazi ya Kayafa mpaka mkawarubuni wakina Harmonize watoe nyimbo kusifia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna copyright issues wakiziweka zile Cha kufanya warekodi zetu wenyewe
 
Bado unaangalia TBC!?
Hicho kituo kiboreshwe, hasa kisiwe na mrengo wa wazi wa kisiasa! Kinakwaza sana
tunatizama sana shanel yetu.hasa has atafakuri baada ya habari.ila siku za hivi karibun aliyekuwa anasoma tafakuri baada ya habari sijui yupo wap.kuna saut ila sio ya yule wa mwanzo.
 
Vituo vingapi ya FTA unavyovifahamu?
DSTV sio TV ya FTA, DSTV ni Cable TV kama ilivyo Azam TV ni Cable TV. Hapa Bongo Tanzania, tuna FTA TV na pia tuna Cable. TBC ni FTA, jee umeisha wahi kuona live mbili za kituo kimoja kingine chochote cha FTA, mimi ndio nimeona leo.
P
 
Wasifie Azam HD wenye picture angavu mpaka anakula tender ya kutembeza ob Van East Africa kurusha mipira live duniani
 
tunatizama sana shanel yetu.hasa has atafakuri baada ya habari.ila siku za hivi karibun aliyekuwa anasoma tafakuri baada ya habari sijui yupo wap.kuna saut ila sio ya yule wa mwanzo.
Aliyekuwa anasoma Tafakuri mwanzo ni Shabani Kissu, sasa amekuwa Mkurugenzi wa Channel Ten, msomaji wa sasa ni Sued Mwinyi.
P
 
Hata tukiachana na azam anayerusha live za mpira 8 kwa pamoja, hata startv wamewahi kurusha live mbili, moja ligi daraja la kwanza huko na nyingine kipindi cha kawaida kutokea daslam.
Labda kama ulijisikia kusifia tu mzee Pasco.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…