mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 6,952
- 9,854
Kwani hukuwahi kukatwa na wajumbe wa CCM ?Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.
Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
Hapo ulikuwa hutaki nafasi yoyote?
Au sisi unatuona wajinga hatuna kumbukumbu?