Television ya Taifa,TBC, Imetisha!. Yarusha Live Mbili Kwa Wakati Mmoja! Live ya Dodoma on TBC1 At the Same Time Live ya Arusha TBC2- Safari Channel

Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.

Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
Kwani hukuwahi kukatwa na wajumbe wa CCM ?
Hapo ulikuwa hutaki nafasi yoyote?

Au sisi unatuona wajinga hatuna kumbukumbu?
 
Thread Imekosa Neno Moja Tu Ambalo Ni Hili
Haijawahi Kutokea hii Isipokuwa Awamu Ya 6, haa
haa, Mambo Mengine Ni Kinyaa Sana
Paskali analeta utoto sasa hapa, yaani vitu vidogo kama hivyo alafu anataka kutufanya wakulima 😁!.

Na ushamba wake wa kisukuma anashindwa kuelewa live ya sasa haihitaji madude makuubwa au siyo lazima uwe na ule mdude aliousifia.
 
Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.

Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
Brooo nakukubalii sanaaa

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Paskali analeta utoto sasa hapa, yaani vitu vidogo kama hivyo alafu anataka kutufanya wakulima 😁!.

Na ushamba wake wa kisukuma anashindwa kuelewa live ya sasa haihitaji madude makuubwa au siyo lazima uwe na ule mdude aliousifia.
Haa Haa
Mashkolo Mageni Kwa Mkuu Paschal
 
Naomba kuuliza kwan kaka mkubwa paskali akiamua kupongeza jambo lazima tuhusianishe na teuzi kutoka serikarini? Yaan ndo akili zetu JF zimeishia hapo kweliii? Mimi binafsi nilitegemea watu wanaomkosoa wamjibu kwa kutoa nondo(maarifa) mwisho, nahitimisha kwa kusema nasikitika JF great thinkers wamebaki wachache. Naomba kuwasilisha

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177

Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali

Upuuzi na ujinga, why?

- Huo uwezo unawezeshwa na kodi zetu and so bora ungetusifia sisi.

Chombo cha Habari kibasifiwa na ubunifu na content; mimi sijui wewe ni mwandishi gani.

Mke asifiwi sababu ya wowowo anasifiwa sababu ya ubora wa kuwa mwanamke Maana ni mke.
 
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177

Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali
Hongera serikali ya awamu ya sita chini ya mama wanaupiga mwingi.

Ila juzi Bongo zozo naye alituambia alitaka kuonesha mechi ya Taifa stars live kwa kutumia simu yake ila alikatazwa.

Binafsi nachanganyikiwa tu.
 
DSTV sio Bongo. Hapa Tanzania umeisha wahi kuona live mbili za kituo kimoja?. Mimi ndio leo.
P
Nakuheshimu sana ila unajitoa akili. Azam ni media ya nje wanarusha mipira zaidi viwanja vinne mpaka wanaivamia ZBC2. Labda sema unatafuta kazi hapo. TBCCM hawana jipya wamekalia kurogana tu hapo kuna uchawi hapo kuliko shirika lolote la habari na kwa mbali mdudu hayupo mbali sana kuwamaliza. Vipi ile vita ya vijana wapya dotcom na SLP imeshamalizika.
 
Out of topic : kombe la dunia mwakani nani wamepewa leseni ya kurusha matangazo kwa hapa TZ. Msaada wakuu maana nipo dilemma niwe na kisimbuzi gani nipate uhondo huo.
Kila nchi rights zinatolewa kwa TV za Taifa tuu. Hivyo kwa Tanzania ni TBC, ila cable kama DSTV pia wanaweza kununua rights kutoka Fifa, hii maana yake na Azam wanaweza!.
 
DSTV sio Bongo. Hapa Tanzania umeisha wahi kuona live mbili za kituo kimoja?. Mimi ndio leo.
P
Azam tv ameshafanya live zaidi ya saba kwa wakati mmoja. Kufungwa kwa msimu wa ligi kuu msimu ulioisha mechi zote zilichezwa muda mmoja na zote zilirushwa live. Hapo achana na ratiba zake za kila mara wanarusha mechi za ligi zaidi ya mechi moja live kwa wakati mmoja
 
Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.

Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
Hebu ficha ujinga wako Basi
IMG_20210929_175427.jpg
 
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177

Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali
Gari la serikali limepakwa rangi ya CCM kijani!
Mayalla unakusanya TV mbili, Ving'amuzi viwili na rimoti mbili unaviwasha kisha unaviweka kwenye stesheni mbili tofauti ili uje uvisifie kwetu! Death of a kicking horse. Kwangu mimi TBC haina tofauti na polisi, DailyNews, Tume ya Uchaguzi, Msajili wa vyama vya Siasa na CCM ambao wametanguliza chuki kwa upinzani, anyway you are drifting in the same ding.
 
Ili kituo chochote kiweze kurusha live mbili simultaneously, lazima kituo hicho kiwe na Channel zaidi ya moja. Kwa Tanzania, Kituo cha TV, cha FTA, chenye Channel zaidi ya moja ni TBC pekee. Azam TV ni cable kama ilivyo DSTV. ITV pia wanazo Channel 3, yaani ITV, EATV na Capital TV, lakini ITV haijawahigi kumiliki OB Van hata moja.
Kutangaza live mbili sio jambo dogo.
P
Inamaana ITV wanaporushaga laiv huwa wanaazima hizo OB Van
 
Back
Top Bottom