TEC huyu mama anawabeep. Tunaomba muandike barua kwenda ICC kuieleza mna ushahidi wa Mauaji yaliyofanyika Oktoba 29 na mpo tayari kuutoa

TEC huyu mama anawabeep. Tunaomba muandike barua kwenda ICC kuieleza mna ushahidi wa Mauaji yaliyofanyika Oktoba 29 na mpo tayari kuutoa

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Huu ni wito kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC.

Nyie ni chombo nyeti sana na mna aminika dunia nzima.

Huyu kibibi anawabeep sana. Anawashambulia, anawateka, na kuwafanyia mashambulizi ya kutaka kuwaua. Sasa akishirikiana na wapumbavu wake wa tiss na bakwata anaandaa vikundi vya wahuni eti kujifanya wanaandamana kuleta picha mna migogoro ya ndani.

Kwa kuwa anaonesha wazi ana vita na nyie tunaomba mfanye jambo moja tu. Andikeni barua kwenda Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ICC muieleze nyie kama Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Tanzania mnaomba Mahakama hiyo ianzishe uchunguzi rasmi dhidi yake na Wasaidizi wake kutokana na Mauaji waliyofanya kipindi cha Uchaguzi mwaka jana.

Tunaomba pia mueleze kuwa mpo tayari kuwa Mashahidi kutokana na ushahidi mliokusanya kwenye Jumuiya zenu na Hospitali zenu.

Tunaelewa ICC inaendelea na suala la huyu Mama ila tunaomba mumjibu kwa kupigilia msumari wa mwisho kwenye Jeneza.
 
Mkuu,have a little patience, please!Wanachokitafuta watakipata bila hata kelele.Hamadi,there is a paw in a bottle!
Dawa ya moto ni moto.

Huyu Mama ni mshenzi sana na ananuka damu na upumbavu.

Anatuona tupo kimya anadhani sisi ni wajinga. Sasa twende nae kwenye namna tunapaswa kwenda nae ili aelewe vizuri.
 
Huu ni wito kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC.

Nyie ni chombo nyeti sana na mna aminika dunia nzima.

Huyu kibibi anawabeep sana. Anawashambulia, anawateka, na kuwafanyia mashambulizi ya kutaka kuwaua. Sasa akishirikiana na wapumbavu wake wa tiss na bakwata anaandaa vikundi vya wahuni eti kujifanya wanaandamana kuleta picha mna migogoro ya ndani.

Kwa kuwa anaonesha wazi ana vita na nyie tunaomba mfanye jambo moja tu. Andikeni barua kwenda Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ICC muieleze nyie kama Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Tanzania mnaomba Mahakama hiyo ianzishe uchunguzi rasmi dhidi yake na Wasaidizi wake kutokana na Mauaji waliyofanya kipindi cha Uchaguzi mwaka jana.

Tunaomba pia mueleze kuwa mpo tayari kuwa Mashahidi kutokana na ushahidi mliokusanya kwenye Jumuiya zenu na Hospitali zenu.

Tunaelewa ICC inaendelea na suala la huyu Mama ila tunaomba mumjibu kwa kupigilia msumari wa mwisho kwenye Jeneza.
soon atanyakuliwa kama MADURO have patience
 
Mnapoteza muda na kuwajaza ujinga TEC. Kanisa katoliki hata hapo Zambia kwa sasa lina msuguano mkali na serikali kwa sababu ya upumbavu wa maaskofu wachache wasiojitambua
 
Back
Top Bottom