Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Nurdin Bilal Juma, maarufu Shetta amewataka Wananchi wa Jiji la Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kutoa ushahidi wao kwenye tume ya Uchunguzi wa Jinai kufuatia ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
Soma pia: Tume ya Jaji Lila...
Kwamba kauli ya no reform no election ndio ilisababisha vurugu sio kweli. Au kauli ya Lissu kuwa tutakinukisha?
Wananchi waliingia barabarani wakipinga ufisadi, utekaji na kukataa
uovu waa CCM mtandao.
Hakuna mahala walitamka kuwa Lissu ndio amaewachochea kwa kauli zake.
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Jaji Shaban Lila amewataka Wananchi wa Wilaya ya Ilala kujitokeza kwa wingi kutoa ushahidi wa matukio ya ghasia hizo, kuanzia Jumatatu August 31 hadi Septemba 4, 2026 katika viwanja vya Karimjee Posta.
Soma pia: Tume...
Tumefikia mahali ambapo viongozi hawana furaha japo wana kila kitu na wananchi hawana raha na hawawapendi viongozi wao.
Kiongozi kila siku anaombewa apatwe na mabalaa watu wafurahi, kiongozi akifa watu wanamshukuru Mungu na kupongezana
Asipoonekana kiongozi kwa siku mbili tatu watu wanatamani...
Gwiji la sheria, Profesa Issa Shivji amesema Taifa haliwezi kuponywa wala kujenga demokrasia ya kweli ikiwa hakuna uwajibikaji wa kisheria dhidi ya mauaji ya raia yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
Ameyasemanhayo leo Agosti 28, 2026 katika kongamano la Tanzania Democracy...
Profesa Issa Shivji, amesema kuwa Taifa linaendelea kupitia katika maombolezo na maumivu makali ya kisaikolojia kutokana na matukio yaliyotokea tarehe 29 Oktoba, huku akisisitiza kuwa njia pekee ya kuliponya taifa hilo ni kuwepo kwa uwajibikaji wa kisheria na kisiasa.
Akizungumza leo Agosti 28...
Hivi tarehe 29/10 itafika na kupita mkiwa kimnya kimnya? Zi wapi BUSARA ZENU?kweli mnataka hiyo tarehe na siku ifike iishe hivyo hivyo ? Hakuna hata yoyote aliyeua akaomba radhi?achana na kuomba radhi mauaji ya omba omba pale ubungo mlio wafagia kama senenene, hata wakina Master tindwa WA clouds...
Wanachokitafuta CCM kwa kuendelea kumsumbua Lissu ni kuilazimisha dunia, kupitia taasisi zake kama ICC na UN, pamoja na nchi kama Marekani na za Ulaya, kuchukua hatua kali dhidi yao.
Nimekuwa nikisema humu kwamba kusalimika kwa CCM kuko mikononi mwa Lissu.
Kumsumbua Lissu kwa kesi za kutungwa...
Hiki ni kionjo katika mabishano huko mahakamani katika kesi hii yenye kuleta hisia.
Nini maoni yako kuhusu hili...je wanasheria mna maoni gani MUNGU au SHETANI anaweza kuwa shahidi katika kesi?
Mwanasheria maarufu nchini, Peter Madeleka amesema matukio yaliyotokea baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 yana masuala ya jinai yanayopaswa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria, akisema maridhiano hayawezi kuwa suluhisho la makosa ya jinai.
Kauli hiyo ya Madeleka imekuja wakati Serikali...
Jana Jumamosi tarehe 15, Agosti 2026, makala ya CNN kuhusu mauaji ya Watanzania wasio na silaha wala hatia yoyote ile, imeshinda tuzo ya Salute to Excellence, ya taasisi ya NABJ.
Uchunguzi huo uliopewa jina “CNN Investigates Killing of Tanzanian Protesters by Police”, umetambuliwa katika...
Viongozi waandamizi wa CCM wanazunguka nchi nzima pamoja na mambo mengine wanatoa shutuma kwamba kuna watu walihamasisha vijana wa kitanzania kuandamana Oktoba 29 mwaka 2025.
Viongozi hao wa CCM husema vijana hao walivutishwa bangi na kupewa hela ili waandamane.
Na kwenye mikutano yao hiyo...
Nikisikiliza kauli zao hawa watu, wamekosa hekima kabisa, serikali imejaa wajinga na wajivuni, na hakuna yeyote mwenye viashiria vya hekima ya kiuongozi kati yao na hasa kwa wale waongeaji ongeaji juu ya hili
Msisahau mnapo kuwa mnaongea hizo kejeli zenu dhidi ya yale mliyo wafanyia...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema matukio yaliyotokea Oktoba 29 yalihusisha watu waliohamasishwa kuingia barabarani baada ya kupewa kilevi.
Katambi amesema baadhi ya maandamano yalihusisha vitendo vya uharibifu na uporaji, akitolea mfano wa watu kuelekea kwenye baa...
Kila siku CCM wapuuzi walia liaa, ohooo Kuna watu walilipwa, ohoooo kimeenda kimerudi.
Upande wa pili, Watanzania Wana picha mbalimbali za Genge la Mauaji
Sasa na nyie CCM, tuonyésheni picha hata Moja tu ya Mwandamanaji akipiga Risasi watu.
Ujumbe huu hapa👇
Nukuu ya alichokisema Godfrey Polepole
"Ningependa kusema mamlaka za Tanzania zimuachilie huru Balozi Humphrey Polepole. Hilo ni la kwanza.
La pili, nataka kumwambia Mama Samia Suluhu Hassan, Mama Samia usipoteze pesa ambazo ni kodi za Watanzania kwa ajili ya kuwalipa...
Akizungumza katika mahojiano yaliyorushwa Agosti 4, 2026 na Saut Digital, Dkt. Azaveli Lwaitama, amesema suala la maridhiano inahitaji msuluhishi kutoka nje kama Jumuiya ya Common Wealth na SADC ili watu waweze kuwa na imani na kinachofanyika.
Aidha Dkt. Azaveli Lwaitama amegusia jitihada za...
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesisitiza kuwa Tanzania haiwezi kufikia maridhiano ya kweli na ya kudumu bila kuwepo kwa misingi ya ukweli, haki na uwajibikaji.
Semu ametoa kauli hiyo alipokuwa akifungua mafunzo ya siku tatu ya Madiwani wa ACT Wazalendo kutoka kata...
Aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa TBC, Ayob Rioba akizungumza katika mahojiano yaliyorushwa na A &S podcast amesema Na TBC ilikuwa victims kwa sababu ndio iliyokuwa inatangaza matokeo na taarifa zingine.
Namnukuu
"Watu wanazungumza violence, hivyo wanafikiri violence ni sarcas au ni fiesta? Sisi ni...
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Dkt. Ayub Rioba, amekanusha madai kuwa chombo hicho kilipokea shinikizo kutoka kwa viongozi wa juu wa serikali ili kukaa kimya wakati wa vurugu za uchaguzi za Oktoba 29.
Akizungumza kwenye mahojiano yaliyorushwa na Nijuze Julai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.