oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Parabolic

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Meya wa Dar Awaita Wananchi Kutoa Ushahidi Wa Ghasia Za Oktoba 29

    Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Nurdin Bilal Juma, maarufu Shetta amewataka Wananchi wa Jiji la Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kutoa ushahidi wao kwenye tume ya Uchunguzi wa Jinai kufuatia ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Soma pia: Tume ya Jaji Lila...
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kama ishu ni vurungu za Oktoba 29, tume ya Jaji Chande ilisha msafisha Lissu. Wahusika wakuu ni CCM waliokatwa na waliopinga Samia kugombea.

    Kwamba kauli ya no reform no election ndio ilisababisha vurugu sio kweli. Au kauli ya Lissu kuwa tutakinukisha? Wananchi waliingia barabarani wakipinga ufisadi, utekaji na kukataa uovu waa CCM mtandao. Hakuna mahala walitamka kuwa Lissu ndio amaewachochea kwa kauli zake.
  3. Parabolic

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Lila Awaita Wananchi Wa Ilala Kutoa Ushahidi Kwa Tume Ya Uchunguzi Wa Ghasia Za Uchaguzi Mkuu Oktoba 29

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Jaji Shaban Lila amewataka Wananchi wa Wilaya ya Ilala kujitokeza kwa wingi kutoa ushahidi wa matukio ya ghasia hizo, kuanzia Jumatatu August 31 hadi Septemba 4, 2026 katika viwanja vya Karimjee Posta. Soma pia: Tume...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Yale ya Oktoba 29, ya bunge la chama kimoja na hili la Balozi Nchimbi ni matokeo ya kukosekana kwa wazalendo katika vitengo nyeti

    Tumefikia mahali ambapo viongozi hawana furaha japo wana kila kitu na wananchi hawana raha na hawawapendi viongozi wao. Kiongozi kila siku anaombewa apatwe na mabalaa watu wafurahi, kiongozi akifa watu wanamshukuru Mungu na kupongezana Asipoonekana kiongozi kwa siku mbili tatu watu wanatamani...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Profesa Shivji: Hatuwezi kuliponya Taifa bila kuwawajibisha waliotekeleza mauaji Oktoba 29, 2025

    Gwiji la sheria, Profesa Issa Shivji amesema Taifa haliwezi kuponywa wala kujenga demokrasia ya kweli ikiwa hakuna uwajibikaji wa kisheria dhidi ya mauaji ya raia yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Ameyasemanhayo leo Agosti 28, 2026 katika kongamano la Tanzania Democracy...
  6. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Profesa Shivji: Taifa halijaponywa, miezi 10 hakuna aliyewajibishwa kwa kosa la kijinai au kusimamia kisiasa Mauaji ya Oktoba 29

    Profesa Issa Shivji, amesema kuwa Taifa linaendelea kupitia katika maombolezo na maumivu makali ya kisaikolojia kutokana na matukio yaliyotokea tarehe 29 Oktoba, huku akisisitiza kuwa njia pekee ya kuliponya taifa hilo ni kuwepo kwa uwajibikaji wa kisheria na kisiasa. Akizungumza leo Agosti 28...
  7. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Zi wapi BUSARA zao? tunakaribia 29/10. Tena hakuona aliyeomba radhi hivi bado hamwonei huruma waliopoteza watoto, waume na wake zao?

    Hivi tarehe 29/10 itafika na kupita mkiwa kimnya kimnya? Zi wapi BUSARA ZENU?kweli mnataka hiyo tarehe na siku ifike iishe hivyo hivyo ? Hakuna hata yoyote aliyeua akaomba radhi?achana na kuomba radhi mauaji ya omba omba pale ubungo mlio wafagia kama senenene, hata wakina Master tindwa WA clouds...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Nawakumbusha CCM hamuwezi kuua watu Oktoba 29 alafu ikawa kawaida tu. Bunge La Marekani limeshikilia ile Orodha

    Wanachokitafuta CCM kwa kuendelea kumsumbua Lissu ni kuilazimisha dunia, kupitia taasisi zake kama ICC na UN, pamoja na nchi kama Marekani na za Ulaya, kuchukua hatua kali dhidi yao. Nimekuwa nikisema humu kwamba kusalimika kwa CCM kuko mikononi mwa Lissu. Kumsumbua Lissu kwa kesi za kutungwa...
  9. funaku

    JamiiForums Tanzania Wakili Katuga: Kuna siku mtuhumiwa anaweza kutaka Mungu aletwe kuwa shahidi wake

    Hiki ni kionjo katika mabishano huko mahakamani katika kesi hii yenye kuleta hisia. Nini maoni yako kuhusu hili...je wanasheria mna maoni gani MUNGU au SHETANI anaweza kuwa shahidi katika kesi?
  10. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wakili Peter Madeleka: Yaliyotokea Oktoba 29 ni jinai, maridhiano sio suluhisho, hatua zichukuliwe kijinai kwa waliohusika

    Mwanasheria maarufu nchini, Peter Madeleka amesema matukio yaliyotokea baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 yana masuala ya jinai yanayopaswa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria, akisema maridhiano hayawezi kuwa suluhisho la makosa ya jinai. Kauli hiyo ya Madeleka imekuja wakati Serikali...
  11. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Makala ya kiuchunguzi ya CNN iliyotengenezwa na Larry Madowo kuhusu mauaji ya Watanzania Oktoba 29, yashinda tuzo huko Atlanta, GA, Marekani.

    Jana Jumamosi tarehe 15, Agosti 2026, makala ya CNN kuhusu mauaji ya Watanzania wasio na silaha wala hatia yoyote ile, imeshinda tuzo ya Salute to Excellence, ya taasisi ya NABJ. Uchunguzi huo uliopewa jina “CNN Investigates Killing of Tanzanian Protesters by Police”, umetambuliwa katika...
  12. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Viongozi waandamizi wa CCM wanazunguka nchi nzima pamoja na mambo mengine wanatoa shutuma kwamba kuna watu walihamasisha vijana wa kitanzania kuandamana Oktoba 29 mwaka 2025. Viongozi hao wa CCM husema vijana hao walivutishwa bangi na kupewa hela ili waandamane. Na kwenye mikutano yao hiyo...
  13. polokwane

    JamiiForums Tanzania Ni busara serikali na viongozi wake kukaa kimya na kuacha kuzungumzia yale ya oktoba 29 2025, huu ukimya usiwafanye mjione washindi mkaendeleza kejeli

    Nikisikiliza kauli zao hawa watu, wamekosa hekima kabisa, serikali imejaa wajinga na wajivuni, na hakuna yeyote mwenye viashiria vya hekima ya kiuongozi kati yao na hasa kwa wale waongeaji ongeaji juu ya hili Msisahau mnapo kuwa mnaongea hizo kejeli zenu dhidi ya yale mliyo wafanyia...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Katambi: Oktoba 29 yaliyotokea kwao ilikuwa sherehe wakahamasisha watu wakawavutisha bangi na kuwapa viroba wakaingia barabarani

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema matukio yaliyotokea Oktoba 29 yalihusisha watu waliohamasishwa kuingia barabarani baada ya kupewa kilevi. Katambi amesema baadhi ya maandamano yalihusisha vitendo vya uharibifu na uporaji, akitolea mfano wa watu kuelekea kwenye baa...
  15. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CCM , Nionyesheni Picha hata ya Mwandamanaji mwenye Bunduki, aliyeua Watanzania Oktoba 29?

    Kila siku CCM wapuuzi walia liaa, ohooo Kuna watu walilipwa, ohoooo kimeenda kimerudi. Upande wa pili, Watanzania Wana picha mbalimbali za Genge la Mauaji Sasa na nyie CCM, tuonyésheni picha hata Moja tu ya Mwandamanaji akipiga Risasi watu.
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Godfrey Polepole awataja wahusika wa mauaji ya Oktoba 29. Ashauri Serikali isimalize pesa kwenye Tume ya Jaji Lila

    Ujumbe huu hapa👇 Nukuu ya alichokisema Godfrey Polepole "Ningependa kusema mamlaka za Tanzania zimuachilie huru Balozi Humphrey Polepole. Hilo ni la kwanza. La pili, nataka kumwambia Mama Samia Suluhu Hassan, Mama Samia usipoteze pesa ambazo ni kodi za Watanzania kwa ajili ya kuwalipa...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Dkt. Lwaitama: Jaji Warioba alieleza tuzungumze kabla uchaguzi akapuuzwa, nani anaweza kutoa maelezo kilichotokea Oktoba 29?

    Akizungumza katika mahojiano yaliyorushwa Agosti 4, 2026 na Saut Digital, Dkt. Azaveli Lwaitama, amesema suala la maridhiano inahitaji msuluhishi kutoka nje kama Jumuiya ya Common Wealth na SADC ili watu waweze kuwa na imani na kinachofanyika. Aidha Dkt. Azaveli Lwaitama amegusia jitihada za...
  18. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Semu: Maridhiano ya kweli, Serikali iwaachie huru wafungwa wa Kisiasa, iruhusu uchunguzi huru wa Kimataifa wa Oktoba 29

    Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesisitiza kuwa Tanzania haiwezi kufikia maridhiano ya kweli na ya kudumu bila kuwepo kwa misingi ya ukweli, haki na uwajibikaji. Semu ametoa kauli hiyo alipokuwa akifungua mafunzo ya siku tatu ya Madiwani wa ACT Wazalendo kutoka kata...
  19. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Dkt.Ayob Rioba: Tulipigiwa simu tuondoke TBC kwamba kuna watu wanakuja kutuvamia Oktoba 29

    Aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa TBC, Ayob Rioba akizungumza katika mahojiano yaliyorushwa na A &S podcast amesema Na TBC ilikuwa victims kwa sababu ndio iliyokuwa inatangaza matokeo na taarifa zingine. Namnukuu "Watu wanazungumza violence, hivyo wanafikiri violence ni sarcas au ni fiesta? Sisi ni...
  20. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ayub Rioba: Mlitaka turipoti nini Oktoba 29? Kwamba angalia hapa wanavyochoma? au tukaripoti angalia wanavyopigwa risasi?

    Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Dkt. Ayub Rioba, amekanusha madai kuwa chombo hicho kilipokea shinikizo kutoka kwa viongozi wa juu wa serikali ili kukaa kimya wakati wa vurugu za uchaguzi za Oktoba 29. Akizungumza kwenye mahojiano yaliyorushwa na Nijuze Julai...
Back
Top Bottom