Uchaguzi 2020 TCRA na Mitandao ya simu mtuombe radhi kwa SMS hii. Mmetoa namba za wananchi kwa wanasiasa? Mmefanya makosa makubwa!

Hii ni kweli?
Seriously what the f*** is wrong with this country?
Huyu mzee anafanya mambo ya kis***** sana. Vilaza wanaona hili wanasifia, Tanzania itaingia kwenye shida sana huko mbeleni kama ujinga huu unaendelea waziwazi bila mtu kuwajibishwa. Shithole country
 
Kama mtengenezaji software natoa bure kuwatengenezea software CDM na wao watume message za hivi nchi nzima bure. Walipie bei ya message tu kwenye mitandao ya simu. Hatuwezi acha huu ujinga uendelee hivihivi
 
Huwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.

NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika, Usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.
Hizo promotions zote unazosema mbona huwa hazitaji majina ya wahusika? Hapa kuna jambo mkuu nadhani hata wewe umejibu juu juu tu!
Swali ni kwanini ataje jina langu? Ina maana makampuni ya simu/TCRA wametoa namba zetu for their own interest.
 
Yaani mtu analalamika kutumiwa meseji na sisiemu utadhani kutumiwa meseji kura yake ndio imeenda huko. Ni kama mwanamke unaanza kulia kisa umepokea meseji ya mtongozo...ushamba ulioje! Si kama huitaki unaifuta tu kama unavyofuta meseji zingine za kupuuzi
 
Huwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.

NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika, Usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.
Kesi za madai kuna kufungwa?
 
Huwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.

NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika, Usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.
Hebu shusha hapa vigezo na masharti ya mtandao unaotumia ambayo wewe ulisoma b4. Mi sijawahi kuviona zaidi ya vigezo na masharti kuzingatiwa...yapi?
 
Hii ni kweli?
Seriously what the f*** is wrong with this country?
Huyu mzee anafanya mambo ya kis***** sana. Vilaza wanaona hili wanasifia, Tanzania itaingia kwenye shida sana huko mbeleni kama ujinga huu unaendelea waziwazi bila mtu kuwajibishwa. Shithole country
Ona ulivyo mpumbavu sasa?

Hiki ni kipindi cha kampeni dogo na wagombea wanatumia mbinu zozote kuwafikia wananchi.

Ina chefua sana nyie washabiki wa Lisu kufikiri mnajua kila kitu.
 
Yaani mtu analalamika kutumiwa meseji na sisiemu utadhani kutumiwa meseji kura yake ndio imeenda huko. Ni kama mwanamke unaanza kulia kisa umepokea meseji ya mtongozo...ushamba ulioje! Si kama huitaki unaifuta tu kama unavyofuta meseji zingine za kupuuzi
Walivyo mbumbumbu eti wanasema Lisu awashtaki!

Yani Lisu anaangushiwa kila takataka kutoka kwa mashabiki wake
 
Hizo promotions zote unazosema mbona huwa hazitaji majina ya wahusika? Hapa kuna jambo mkuu nadhani hata wewe umejibu juu juu tu!
Swali ni kwanini ataje jina langu? Ina maana makampuni ya simu/TCRA wametoa namba zetu for their own interest.
Sasa kwa akili zako hizo sms zimetumwa na ccm au makampuni ya simu.?

Kama zimetumwa na makampuni ya simu kwa akili yako unafikri hawana data zako?
 
Kama mtengenezaji software natoa bure kuwatengenezea software CDM na wao watume message za hivi nchi nzima bure. Walipie bei ya message tu kwenye mitandao ya simu. Hatuwezi acha huu ujinga uendelee hivihivi
Kumbe shida ni ccm kupata platform ya kupigia kampeni na si kingine?


Kwanini usiwashauri chadema na wao waende wakalipe hela kwenye hayo makampuni ili nao wapigiwe kampeni?
 
Sasa kwa akili zako hizo sms zimetumwa na ccm au makampuni ya simu.?

Kama zimetumwa na makampuni ya simu kwa akili yako unafikri hawana data zako?

Tatizo ni kutumia wananchi wote message bila ruhusa yao, haya matangazo hayaruhusiwi unless mwananchi amekubali kabisa kua yupo tayari kupokea matangazo, fanya huu ujinga nchi zlizoendelea uone unavyoburuzwa mahakamani. Kukusanya data za wananchi including majina si kitu kigumu ni rahisi sana hata mimi naweza kufanya, hata kutuma message kibao si ngumu, watu wa mitandao wakifanya obviously ni rahisi zaidi ila haimaanishi mtu hawezi tengeneza software akaweka kwenye machine ina line nyingi ikaanza kusambaza message moja moja kwa kila mtu, ni software inayochukua nusu saa tu kutengeneza.
Inabidi wachukuliwe hatua kuruhusu huu ujinga, kama mitandao ya simu imehusika iburuzwe mahakamani kujibu kwa nini wanaruhusu matangazo kwa wananchi bila ruhusa, kama haikuruhusu basi CCM wenyewe au waliohusika wakajibu mashtaka. This shit can't happen without questioning, mtu mshamba apokee message hizi unadhani kura inaenda wapi? mambo ya muhimu kama haya yanayodetermine direction ya nchi sio ya kuyachukulia kitoto.
 
Back
Top Bottom