.
Hata mimi siamini, ingawa Jerry pesa anaijua, na kuitafuta anaweza, ili sio kihivyo.
........ leo ninaposikia eti ameomba rushwa ya shilingi milioni 10, toka kwa masikini mtumishi wa umma, lazima kwanza sitaamini, pila nitashangaa sana!.
Jerry mwenyewe kazungumza live Channel Ten, kasema there is nothing kama hicho, alikuwa polisi katika muendelezo wa mashirikiano na jeshi hilo ndio maana yuko huru na hajatiwa korokoroni.
I never thought Jerry anaweza kuwa dhaifu hivyo. Na bado siamini kama sio mpango wa kumchafulia jina
Tutamjudge mtu kwa matendo yake, anapofanya vizuri tutampongeza lakini akikosea tutampinga na sheria ifuate mkondo.Huo ni mtego wa kutumaliza waaandishi kwa hiyo msifurahie hiyo ishu ya jeri kukamatwa wanalipiza kisasi cha wenzao iringa. Lazima tuwe makini katika hili. polisi wametangaza vita na media kwasababu habari zao za rushwa zimeingia maji machafu. Ila hawatawezi kina jeri topo wengi wataisha tu kama IGP mwema hajui uozo wa jeshi lake Jk avunje aunde kikosi kingine. Aluta Kontinwa.
Mwanjelwa kumbe wewe bado unadhani umasikini ni tatizo?, its a fact ni tatizo wala usidhanie.Mimi nadhani umaskini pia ni tatizo kwa Watanzania au Waafrica. Inawezekana kuwa alikuwa na skills nyingi sana na juu sana za uandishi wa habari kiuchunguzi, lakini maisha yako down.
Sishangai issue ya Muro. Sishangai na was expected.