Injinia
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 849
- 28
you know why I'm laughing?
Didn't see, hear or "read" you laughing Mzee, kindly enlighten us.
you know why I'm laughing?
Kova amezungumza akiwa hapa Police Central na amegoma kwnda into details kwa kuwa anasema uchunguzi bado unakamilishwa na kwamba kesho ndiyo kesho atatoa kila kitu. Kuna watu wengi sana hapa ndani na nje ya jengo wakitaka kujua kulikoni na hatma ya Muro
Mkuu toka lini mtu anaweza kutoa details za kuwa kapokea kiasi fulani cha rushwa kwa ajili ya nini??mtoaji anatoa apate atakacho na mpokeaji anajua atatumiaje hiyo rushwa
he deserve it..unakuwa na mdomo mdomo wakati masikini analo sasa..usiku wa habari ataenda kuutangazia segerea..
Asante Pasco na wengine. Mimi pia nimesikiliza TBC1 live via Radio Maria dk chache zilizopita, na wamekiri kuwa Jerry Muro alikuwa kituo cha police central leo na amehojiwa na police kwa masuala kadhaa ambayo hayajawekwa wazi( according to KOVA) na kwamba baada ya hapo AMEACHIWA NA YUKO HURU.
Taarifa imesema Kova atatoa maelezo kesho kuhusu kilichojiri. Mpambanaji dhidi ya RUSHWA, Jerry Muro yuko huru...anajipanga kupiga picha za wala rushwa mtaani.
Mwanjelwa kumbe wewe bado unadhani umasikini ni tatizo?, its a fact ni tatizo wala usidhanie.
Pia ni kweli maisha ya waandishi wengi bongo ni down, ila hii isiwe sababu, kuna waandishi wengi tuu life iko poa, uandishi ni wito, wako waandishi wengi tuu life inawapiga sana, wamesoma profession nyingine zinazo lipa kama sheria, lakini bado wamengangana na uandishi pamoja na dhiki zake, what for? Its for the love of it, na ni kwa mapenzi haya, wanaishi maisha ya kimasini na furaha mioyoni mwao for doing what they love most.
Jerry is young, good and smart, ila siungani na wewe kuwa hushangai na is expected!. Sitaki kuamini na wewe uko kwenye hili kundi linalowaona vijana wadogo wakichipukia, mnakua na expectation ya kusubiri they downfall na ikitokea kama hii ya Jerry hamshangai kwa sababu mliexpect!.
Not you Mwanjelwa!.
I never thought Jerry anaweza kuwa dhaifu hivyo. Na bado siamini kama sio mpango wa kumchafulia jina
Nguvumali hapo kwenye Blue wanadai Muro alikubaliana na huyo jamaa aliyemtaka rushwa kuwa wakutane hotel ya City garden mjini muda wa saa nne na yule jamaa aliwatip police nao wakafika na kumtia mbaroni Jerry- kinachonishangaza ni kuwa wanadai walipompekuwa wamemkuta na bastola iliyokuwa na risasi na kwenye gari lake walikuta pingu za police ambazo mdai alidai kuwa Jerry alimfunga pingu kabla hajampa hizo pesa- jamani something is fishy in this story- au Jerry amekuwa jambazi la kutembea na bastola au police mwenye bastola na pingu? Amevitoa wapi ah hawa wanataka tu kumchafuliaJeshi la polisi Tanzania Bana.
huyo alietoa taaeifa hajui ofisi za TAKUKURU ama, Polisi nao kama ni kweli wanapapara sana, kwanini wasiandae utaratibu maridhawa ili wamkamate kwa ufanisi ma kuondoa hofu na mashaka yote dhidi ya mpiganaji Muro.
otherwise wajiandae kuumbuka kwa kujaribu kunyamazisha wapiganaji wa vita dhidi wa wezi na waomba rushwa.......
Nitaafurahi ya JF bila kubeza wakanisaidia majawabu ya maswali haya juu ya kukamatwa kwa J. Murotaarifa nilizopata muda si mrefu mwandishi wa habari aliyejipatia umarufu kwa kufichua rushwa za trafiki naye amekamatwa kwa kuomba rushwa ya milioni 10