TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

Kuna mtu kanitumia msg ( nanukuu...........anasema jamaa aliwekewa mtego na PCCB, alikuwa apokee rushwa ya 10million kutoka kwa mfanyakazi wa halmashauri ya Bagamoyo( kama nimeielewa vizuri msg mfanaykazi ni miongoni mwa wale walio achishwa na Mzee Pinda), katika harakati za kupokea ndo akatiwa mbaroni......mwisho wa nukuu.........
 
Mkuu,

Hilo swali hakuna mtu anataka kulijibu.......! ni muhimu tukapewa mkasa mzima wa hii issue kabla ya kujump into conclusion.......!

Sure, hizo 10m/- zilikuwa kwa ajili ya....! Tunaomba data jamani, sio tuambiwe kapokea tu hivyo vijisenti halafu tuendelee kushabikia kwamba kapokea huku hatujui kuwa alipokea kwa ajili ya nini!
 
Labda mimi sielewi taratibu na sheria za nchi yetu zinavyofanya kazi. Kwa sababu hiyo naoma niulize wana JF, "kwani mtu kukamatwa kwa rushwa jijini dar es salaam, nafasi ya KOva katika kulizungumzia hilo inakujaje?" Nimeuliza kwa sababu imekuwa reported mahali kwingi kuwa, kamanda KOVA anasubiriwa kuzungumzia leo au kesho suala la Jerry Muro"

Hofu yangu ni kuwa, haa kama kuna ukweli, wengi wanaotuletea taarifa wanaziweka kiushabiki kama vile ni revenge ya police baada ya Jerry kuwanasa kwa kamera usiku!

Tafadhali nisaidieni.
 
.
RUTAJUMBUKIRWA, Jerry ni product ya UDSM 1st Degree akafanya post graduate ya mambo ya media nje ya nchi, hivyo ni mwana taaluma msomi, no doubt, na ni mchapakazi hodari.

Kitaaluma alianza na TBC wakati huo TVT, ITV wakaruka dau, akahamia ITV, walipomletea zengwe, akarudi home na kupokelewa kama mwana mpotevu kwa dau kubwa.

Personal ni social, mtu wa watu mwenendo mzuri.

Ila utangazaji wowote, zaidi ya elimu na fani, ni kipaji, hivyo ili kuwa mtangazaji mzuri, sio lazima uwe umesoma sana. Watangazaji wengi wazuri wa zamani enzi zile za RTD, ni ma form four leavers ambao hawakuwa na sifa za kuendelea form five, lakini wamefanya kazi nzuri na wengi wakajiendeleza wengine mpaka chuo kikuu.

Miaka hiyo ilikuja ingia timu ya vijana wadogo wasomi mahiri na masters za journalism toka nchini za Mashariki, Urusi, Bulgaria, Cuba etc, ikatokea hawawezi kazi pamoja shule zao nzuri, wengi wameishia kwenye green pastures za PR ambazo cheti kinamater zaidi kuliko kipaji.

Utekelezaji wa maadili ya uandishi unategemea personal morals na situation husika. Mimi binafsi, japo siungi mkono rushwa wala kuendekeza njaa, naunga mkono kwa asilimia 100% those little brown envelopes ambazo waandishi hupewa, hizi sio rushwa ni facilitation tuu ili vijana wafanye kazi zao vizuri na wala sio motisha maana they are too little.

Wako waandishi wasomi wazuri na ndio wasimamizi wa maadili, wengine wanasolicit rushwa kubwa kwa blackmail, na wengine wananunuliwa na wenye fedha zao, kwa lile jukwaa la wahariri liko wapi siku hizi baada ya kilichomkuta Sakina?.

Naungana na hoja za kutohukumu wote kwa makosa ya wachache, na suala hili la Jerry, tusihukumu kwanza, tusubiri facts zaidi.

hapo kwenye nyekundu kuna baadhi ya waandishi wanalazimisha! tena wanakuja na gia ya kuomba nauli!
 
Kamanda Kova amezungumza kiidooogo, na anasema kuwa atazungumza kwa kirefu kesho saa sita mchana
 
Kamanda tusaidie tulio mbali na hapo ulipo....KOVA AMEZUNGUMZA JUU YA NINI? NINI KINAENDELEA? JERRY YUKO WAPI?
 
Namuona hapa bado anatoka ofisi moja kwenda ofisi nyingine na akiwa ameshika mifuko yake ya mihela, ni mifuko ya A4 mitatu. Amevaa suti yake ya kupendeza na habari zinaeleza kuwa Kamanda Suleiman Kova ndiyo anasubiriwa kuja kuwaeleza waandishi wa habari ambao wamejazana hapa.
Tuendelee kuvuta subira, Kova akingia tu nawaletea live, kila atakalokuwa akizungumza nawaletea kama lilivyo. Aksanteni

Kamanda Kova amezungumza kiidooogo, na anasema kuwa atazungumza kwa kirefu kesho saa sita mchana

Mkuu vipi tena?Si ulisema utaleta kila atakalokuwa akizungumza kama lilivyo?Hichohicho kidooogo wewe kilete.

Shukran in advance.
 
Kova amezungumza akiwa hapa Police Central na amegoma kwnda into details kwa kuwa anasema uchunguzi bado unakamilishwa na kwamba kesho ndiyo kesho atatoa kila kitu. Kuna watu wengi sana hapa ndani na nje ya jengo wakitaka kujua kulikoni na hatma ya Muro
 
he deserve it..unakuwa na mdomo mdomo wakati masikini analo sasa..usiku wa habari ataenda kuutangazia segerea..
 
Kova amezungumza akiwa hapa Police Central na amegoma kwnda into details kwa kuwa anasema uchunguzi bado unakamilishwa na kwamba kesho ndiyo kesho atatoa kila kitu. Kuna watu wengi sana hapa ndani na nje ya jengo wakitaka kujua kulikoni na hatma ya Muro

sasa huo uchunguzi unafanyika ndani ya jengo la police? Makubwa! Kova is clever, hataki kukurupuka kuongea...and nadhani ametumia akili.

Angekuwa Chiligati hapa angeongea vya kutosha tuu!
 
[B said:
Pasco;769944]Na hii nimeiona kwa kwenye globu ya jamii.[/B]
AMEKAMATWA LEO JIJINI AKIPOKEA SHILINGI MILIONI 10 KABLA MTEGO ALIOWEKEWA HAUJAFYATUKA
.


Huo mtego haukufyatuka, sasa wamemkamataje?....kwa nini Polisi na sio PCCB wahusike kuweka, kufyatua mitego au nkutolea taarifa za mtu aliyekamatwa na akipokea Rushwa??? au ya Muro ni "specail case....???"
 
Kova amezungumza akiwa hapa Police Central na amegoma kwnda into details kwa kuwa anasema uchunguzi bado unakamilishwa na kwamba kesho ndiyo kesho atatoa kila kitu. Kuna watu wengi sana hapa ndani na nje ya jengo wakitaka kujua kulikoni na hatma ya Muro

Hasa hasa, amezungumzia nini, hata bila hizo details? Ulisema utaleta taarifa jinsi ilivyo hebu nukuu basi hicho kidogo alichoongea, tuna kiu ya habari kamanda...!
 
Sure, hizo 10m/- zilikuwa kwa ajili ya....! Tunaomba data jamani, sio tuambiwe kapokea tu hivyo vijisenti halafu tuendelee kushabikia kwamba kapokea huku hatujui kuwa alipokea kwa ajili ya nini!

Mkuu toka lini mtu anaweza kutoa details za kuwa kapokea kiasi fulani cha rushwa kwa ajili ya nini??mtoaji anatoa apate atakacho na mpokeaji anajua atatumiaje hiyo rushwa
 
hapo kwenye nyekundu kuna baadhi ya waandishi wanalazimisha! tena wanakuja na gia ya kuomba nauli!
na.
Kama umewaita waandishi mahali kwa ajili ya kukutangazia tangazo lako kwa kisingizio cha habari, nauli unawajibika kutoa.

Hao wanaolazimisha hizo ni njaa zao.
 
Inasikitisha,hakuna aliye msafi imenenwa usitazame kibanzi ktk jicho la mwenzako ukasahau boriti ktk jicho lako ama walisema pia kila mchimba kisima nae hutumbukia. Pole Muro kama ni kweli wala rushwa nchi hii si polisi wa trafiki pekee wakubwa alikua hawaoni au walikua wanamkatia kitu kidogo ?
 
Mbunge mmoja alishauri geshi la police lifutwe but akazodolewa yakaisha.Mwakyembe ni makini mno angalia anavyotishiwa nyau jimboni kwake.Jerry asikonde hizo ndo gharama z. Kupambana na mafisi mafisadi alipaswa ajiandae kabla. But sauti yake ni sauti ya wengi na huwa sauti ya MUNGU NAYE ATAMLINDA asiwaogope wala nini.
 
he deserve it..unakuwa na mdomo mdomo wakati masikini analo sasa..usiku wa habari ataenda kuutangazia segerea..[/QUOTE]

Inasikitisha,hakuna aliye msafi imenenwa usitazame kibanzi ktk jicho la mwenzako ukasahau boriti ktk jicho lako ama walisema pia kila mchimba kisima nae hutumbukia. Pole Muro kama ni kweli wala rushwa nchi hii si polisi wa trafiki pekee wakubwa alikua hawaoni au walikua wanamkatia kitu kidogo ?

Jamani, hizi kauli ni za kishabiki zaidi, ni kana kwamba kuna uthibitisho wa jambo linalotuhumiwa dhidi ya Jerry.

Msimhukumu wakati hata upeleleze mmeelezwa bado haujakamilika!.Yeye ni binadamu kama wewe mzee unless kuna chuki binafsi BUT bado hajatiwa hatiani kwa hili!.

FOR KIGOGO : "hakuna aliye msafi imenenwa usitazame kibanzi ktk jicho la mwenzako ukasahau boriti ktk jicho lako ama walisema pia kila mchimba kisima nae hutumbukia" Miner, 2010
 
Back
Top Bottom