Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,067
- 699
Kuna mtu kanitumia msg ( nanukuu...........anasema jamaa aliwekewa mtego na PCCB, alikuwa apokee rushwa ya 10million kutoka kwa mfanyakazi wa halmashauri ya Bagamoyo( kama nimeielewa vizuri msg mfanaykazi ni miongoni mwa wale walio achishwa na Mzee Pinda), katika harakati za kupokea ndo akatiwa mbaroni......mwisho wa nukuu.........