Safi Kamanda; pata picha, zikikushinda kuweka JF wewe nitumie via support@jamiiforums.com nami nitakusaidia kuondoa traces kama hutaki kuacha traces kisha nitaweka hapa.NI kweli na inavyoelekea haikuwa imepangwa, ni mazoea. Kwani alikwenda kumvaa source huyo akiwa na jamaa fulani ambao aliwatambulisha kuwa ni usalama wa taifa, wakati siyo kweli, ni wajanja tu wa mjini. Naendelea kufuatilia hapa, nimemuona Muro, ngoja nizungumze naye
unganisheni hizi thread ziko mbili mkuu
Am not that much sure mkuu RayB, huenda Mods wameona hapa imesha-catch up. Baadae naamini itatakiwa kwenda panapohusika.Wataalamu wameshaimuvuzisha kutoka kule kuja huku kwani imekaa kisiasa zaidi au sio Max?
Mmmm!Maskini mkwe wangu! Mh, ndo maana mafisadi watu walikataa wasisomewe albadiri, wahanga (tu)ngekuwa wengi!
.I never thought Jerry anaweza kuwa dhaifu hivyo. Na bado siamini kama sio mpango wa kumchafulia jina
Habari ya kukamatwa kwa jerry inawekwa kwenye JUKWAA LA SIASA?.
Namna gani??????
Kwani jerry hana njaa?jerry kama binadamu mwingine yeyote ana udhaifu kwa maana hiyo basi naye kadaka MLUNGULA.Wabongo NUKSI! (Kama kweli kakamatwa kwa rushwa)
Yaani mmeumiza vichwa weeee mkaona adhabu yake ni kumkamatisha Jerry mfichuaji?
I hope ni katika kumkomoa tu ndio mkaamua kumtegea.
Hii imekaa kama 'revenge'. Nilijua tu wale police aliowaumbua hawatamchelewesha.
Nimeamini kweli - kama unaishi kwenye nyumba ya vioo, usianzishe vita ya mawe!