Hata mimi hilo na hata zaidi ya hapo nililitegemea kwa jinsi navyo wajua watu wa usalama wa Tanzania. Rushwa pilisi Tanzania ni mradi wa OCDs, RPCs, n.k. kwa hiyo Kijana Jerry muro alijaribu kupambana na tatizo ambalo usoni mwa wana usalama wa Tanzania wanaona siyo tatizo na ni mradi wao.
Pole Jerry Muro lakini kama umewekewa mtego the truth will prevail.
Pole Jerry Muro lakini kama umewekewa mtego the truth will prevail.