Usimdhalilishe Mungu wetu kiasi hicho! TB Joshua hana hadhi hiyo ya kushare ideas na Mungu huyu tunayemfahamu sisi labda yupo mwingine anayemjua yeye! Ingekuwa anaonyeshwa na Mungu huyu kamwe asingekosea katika huo mnaouita "unabii" unakumbuka alisema ndege ya Malaysia ingeonekana "karibuni"? Yuko wapi Rais wa Afrika Mashariki aliyetekwa nyara na mengi tu aliyobugi! Wote hawa wanaojiita manabii ni wababaishaji na kwa kweli ni wakala wa ibilisi wanaokuja katika jina la Bwana kama Yesu alivyotabiri mapemaaa!
Sent from my iPhone using JamiiForums
usiwe mvivu wa kusoma, kufuatilia na kutumia hekima. Je ukiulizwa mwanao atafaulu au la huwezi kutabiri?Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
Teh teh teh! Kaazi kwelikweli. Ki ukweli badala ya kukasirika nimejikuta nacheka.
Labda nisaidie kwenye hili, hivi TB Joshua amegeuka dini/imani siku hizi? Maana
nalaumiwa kwa kukaa kimya anaposemwa...
Picha ya uongo mtupu. [/QUO
TE]
Ndio mnavyodanganyana hivyo?
Hebu tembelea kwenye hiyo sura ukasome "context". 69. SURAT AL-H'AAQQAH
Hakika Wajinga ndio waliwao.
Wewe nu bora ufunge domo yako chafu maana HATA ALLAH NA MUHAMMAD HAWAKUPENDI.
Wanawake ni wabaya zaidi ya watu walio kufa (Maiti), hawaruhusiwi hata kufuata jeneza. Sahih Muslim - 4.2039
HIVI MWANAMKE WA KIISLAM UNAFANYA NINI HUKO?
WEWE NI MBAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH
Unaweza kabisa kuwaprove wrong bila kukashifu dini za wengine..
Wewe nu bora ufunge domo yako chafu maana HATA ALLAH NA MUHAMMAD HAWAKUPENDI.
Wanawake ni wabaya zaidi ya watu walio kufa (Maiti), hawaruhusiwi hata kufuata jeneza. Sahih Muslim - 4.2039
HIVI MWANAMKE WA KIISLAM UNAFANYA NINI HUKO?
WEWE NI MBAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH
Eeeh
Wewe nu bora ufunge domo yako chafu maana HATA ALLAH NA MUHAMMAD HAWAKUPENDI.
Wanawake ni wabaya zaidi ya watu walio kufa (Maiti), hawaruhusiwi hata kufuata jeneza. Sahih Muslim - 4.2039
HIVI MWANAMKE WA KIISLAM UNAFANYA NINI HUKO?
WEWE NI MBAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH
Please wewe, usitake kufanya tuhoji uwezo wako
Issue ya Joyce banda ilikua wazi siku nyingi sana, she lost popularity, tulionda chaos ya namna alivyoingia na alivyoendesha nchi
Kuna factors zaidi ya tano zilikua zinaashiria Joyce as a one termer
- kusapoti ushoga
- Kupoteza vijana
- Ugomvi na mihemuko isiyo na kichwa wala miguu
- Historia ya nchi ya one term presidency sicne banda mkuu
- Foreign relationship - wanaorun Malawi wako nje ya nchi hadi leo na wanarudi kwa mafungu huku wakiacha nusu ya miili yao nje (Tanzania being their major hub) wakicheki kinachoeddndelea
- she picked a wrong foreign muscle... ni bora angechagua wachina, warusi au wamarekani, waingereza wamebaki jina na malkia tu, angalia nchi walizonazo karibu zinabinuka tu kama watutu wanaojifunza kutambaa
Manyerere usijidhalilishe na hizi nguvu za unajimu.... i expected better from you
alisema Arsenal hawatshinda kombe lolote under Wenger
Kama anaweza atabiri anguko au ushindi wa Boko haram, au atueleze mwaka kesho Tanzania itaongozwa na rais gani aseme jina lake
Kama Ayat na Sahihi hadith zimekuwa kashfa basi kumbe huo Uislam ni bogus and fake. Maana mnatokwa povu mtu akiweka aya zilizo teremshwa na Mnyaazi Mungu.
ALLAH ANASEMA KUWA: WANAWAKE WOTE NI MASHETANI NA WACHAFU KAMA SEHEMU ZA SIRI!!!
Wanawake ni mashetani; wao ni kama uchafu wa sehemu za siri.
Sahih Muslim - 8.3240, 3242; Ghazali - gombo la 2, p. 26, gombo la 2, p. 43
HAKIKA CHUKI HII YA ALLAH KWA WANAWAKE WA KIISLAM IMEZIDI!!!
WANAWAKE KWANINI MNAFUTA HUYU KIUMBE ALLAH ANAYE WATUKANA KILA SIKU?
Mkuu aliwahi kusema kuwa EDO atakuwa next presidor! Nasubr nione utabiri, maana alimpa sharit la kufanya harambee ili afanikiwe, aseee jamaa anajua kucheza na mood ya wateja wateja(mteja) wake.
Kwa hiyo unataka kutuambia alivyomtabiria Lowassa kuwa atakuwa rais wa nchi hii yatatimia? kama ndivyo unavyofikiri nadhani ndiyo kusudio la kuleta huu uzi.Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
Huo ni uzushi.Hajawahi kumtabiriaKwa hiyo unataka kutuambia alivyomtabiria Lowassa kuwa atakuwa rais wa nchi hii yatatimia? kama ndivyo unavyofikiri nadhani ndiyo kusudio la kuleta huu uzi.