Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
mi ndo maana hata wanamfuata nawaona kama machizi tu..
inategemea ni Mungu gani unayemuabudu ila kama ni huyu Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo basi unahitaji Msaada sana.
mi ndo maana hata wanamfuata nawaona kama machizi tu..
utabiri na unabii ni tofauti, eleza jinsi unavyofahamu unabii pia ili tujue sasa kama yeye ni mtabiri au nabii.
Huyu ni mtabiri tuu huyu, mimi si mfuasi sana wa imani za kigeni lakini zinasema unabii ulishakwisha miaka mingi iliyopita!! Hawa wa miaka hii ni wauongo tu
Mbona nawewe unaweza kutabili vizuri tu.. kwa mfano.. mimi nilitabili ndoa ya vicky itashindikana na imekuwa..
Wapi alitabiri kuhusu Arsenal. Weka Ushahidi hapa
Wajinga ndio waliwao
huku Bongo sie huwa tunaangalia uwezo wa mtu kupita kawaida...Nyie huko bongo mnatumia vigezo vipi?
jamani katabiri lini tena wakati jocyce mwenyewe alienda huko na akapewa blessing?Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
Huyu ni mtabiri tuu huyu, mimi si mfuasi sana wa imani za kigeni lakini zinasema unabii ulishakwisha miaka mingi iliyopita!! Hawa wa miaka hii ni wauongo tu
Haishangazi kuona makanisa yanaongezeka zaidi ya madarasa nchini.
Halafu watu wana tapeliwa lakini hawachoki kununua utapeli. Mzee wa Loliondo alikuwa milionea baada ya wiki.
Hivi kama Mh. Lowassa ndiyo mteja wa TB Joshua, unategemea wapambe wake wengi watakuwa vipi?.
Ha ha ha This is not Official Facebook Page ya TB Joshua. Hayo ni Maneno yaliyotungwa na Shetani na Kusambazwa na Watumishi wake ili Kumchafua Prophet TB Joshua. Official Faceboo page inapatikana The Synagogue, Church Of All Nations – SCOAN - Prophet T.B. Joshua (General Overseer) au
https://www.facebook.com/tbjministries?fref=nf
Usiruhusu Ibilisi Akutumia maana yeye ni Baba wa Uongo, Mama wa Uongo na wanaomfuata ndio Watoto wake
cc FaizaFoxy
au
kweli mkuu.na kuna tofauti kubwa sana kati ya nabii na mtabiri ni wachache tu ndo tunaolewa kwa kinautabiri na unabii ni tofauti, eleza jinsi unavyofahamu unabii pia ili tujue sasa kama yeye ni mtabiri au nabii.
Macho unayo lakini hayaoni, masikio unao lakini hayasikii.
Wajinga ndio waliwao.
kweli mkuu.na kuna tofauti kubwa sana kati ya nabii na mtabiri ni wachache tu ndo tunaolewa kwa kina,tofauti ya utabili na unabiiutabiri na unabii ni tofauti, eleza jinsi unavyofahamu unabii pia ili tujue sasa kama yeye ni mtabiri au nabii.
Haishangazi kuona makanisa yanaongezeka zaidi ya madarasa nchini.
Halafu watu wana tapeliwa lakini hawachoki kununua utapeli. Mzee wa Loliondo alikuwa milionea baada ya wiki.
Hivi kama Mh. Lowassa ndiyo mteja wa TB Joshua, unategemea wapambe wake wengi watakuwa vipi?.