TB Joshua kiboko!

utabiri na unabii ni tofauti, eleza jinsi unavyofahamu unabii pia ili tujue sasa kama yeye ni mtabiri au nabii.

Huyu ni mtabiri tuu huyu, mimi si mfuasi sana wa imani za kigeni lakini zinasema unabii ulishakwisha miaka mingi iliyopita!! Hawa wa miaka hii ni wauongo tu
 
Huyu ni mtabiri tuu huyu, mimi si mfuasi sana wa imani za kigeni lakini zinasema unabii ulishakwisha miaka mingi iliyopita!! Hawa wa miaka hii ni wauongo tu

Acha kusema Uongo wewe nani na wapi panasema Unabii ulikwisha Miaka mingi iliyopita
 
Mbona nawewe unaweza kutabili vizuri tu.. kwa mfano.. mimi nilitabili ndoa ya vicky itashindikana na imekuwa..

Twende sawa kaka, nashangaa wabongo hawataki kukuamini na kukufuata wanahangaika na wajanja wa Naijeria!! Kweli nabii hakubaliki kwao hahahaaaa
 
Wapi alitabiri kuhusu Arsenal. Weka Ushahidi hapa

1220773_tbjoshua_png4f7949c0d273c029e9fe0a97a127f78b




Wajinga ndio waliwao
 
1220773_tbjoshua_png4f7949c0d273c029e9fe0a97a127f78b




Wajinga ndio waliwao

Ha ha ha This is not Official Facebook Page ya TB Joshua. Hayo ni Maneno yaliyotungwa na Shetani na Kusambazwa na Watumishi wake ili Kumchafua Prophet TB Joshua. Official Faceboo page inapatikana The Synagogue, Church Of All Nations – SCOAN - Prophet T.B. Joshua (General Overseer) au

https://www.facebook.com/tbjministries?fref=nf

Usiruhusu Ibilisi Akutumia maana yeye ni Baba wa Uongo, Mama wa Uongo na wanaomfuata ndio Watoto wake

cc FaizaFoxy

au
 
Last edited by a moderator:
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
jamani katabiri lini tena wakati jocyce mwenyewe alienda huko na akapewa blessing?
 
Huyu ni mtabiri tuu huyu, mimi si mfuasi sana wa imani za kigeni lakini zinasema unabii ulishakwisha miaka mingi iliyopita!! Hawa wa miaka hii ni wauongo tu

iliyokwisha ni ya kiislamu, sisi wakristo manabii wako, na huyu ni mmojawapo. Lakini hakuna tatizo kama wewe sio mfuasi huyu TB joshua wewe hakuhusu.
 
Alitabiri mabaki ya ndege ya malyasia yataonekana karibuni,mpaka leo kimya.
 
Haishangazi kuona makanisa yanaongezeka zaidi ya madarasa nchini.

Halafu watu wana tapeliwa lakini hawachoki kununua utapeli. Mzee wa Loliondo alikuwa milionea baada ya wiki.

Hivi kama Mh. Lowassa ndiyo mteja wa TB Joshua, unategemea wapambe wake wengi watakuwa vipi?.
 
Haishangazi kuona makanisa yanaongezeka zaidi ya madarasa nchini.

Halafu watu wana tapeliwa lakini hawachoki kununua utapeli. Mzee wa Loliondo alikuwa milionea baada ya wiki.

Hivi kama Mh. Lowassa ndiyo mteja wa TB Joshua, unategemea wapambe wake wengi watakuwa vipi?.

Kamanda Onesha Utapeli wa TB Joshua
 
Ha ha ha This is not Official Facebook Page ya TB Joshua. Hayo ni Maneno yaliyotungwa na Shetani na Kusambazwa na Watumishi wake ili Kumchafua Prophet TB Joshua. Official Faceboo page inapatikana The Synagogue, Church Of All Nations – SCOAN - Prophet T.B. Joshua (General Overseer) au

https://www.facebook.com/tbjministries?fref=nf

Usiruhusu Ibilisi Akutumia maana yeye ni Baba wa Uongo, Mama wa Uongo na wanaomfuata ndio Watoto wake

cc FaizaFoxy

au

Macho unayo lakini hayaoni, masikio unao lakini hayasikii.

Wajinga ndio waliwao.
 
utabiri na unabii ni tofauti, eleza jinsi unavyofahamu unabii pia ili tujue sasa kama yeye ni mtabiri au nabii.
kweli mkuu.na kuna tofauti kubwa sana kati ya nabii na mtabiri ni wachache tu ndo tunaolewa kwa kina
 
utabiri na unabii ni tofauti, eleza jinsi unavyofahamu unabii pia ili tujue sasa kama yeye ni mtabiri au nabii.
kweli mkuu.na kuna tofauti kubwa sana kati ya nabii na mtabiri ni wachache tu ndo tunaolewa kwa kina,tofauti ya utabili na unabii
 
Haishangazi kuona makanisa yanaongezeka zaidi ya madarasa nchini.

Halafu watu wana tapeliwa lakini hawachoki kununua utapeli. Mzee wa Loliondo alikuwa milionea baada ya wiki.

Hivi kama Mh. Lowassa ndiyo mteja wa TB Joshua, unategemea wapambe wake wengi watakuwa vipi?.

Kwani unadhani hii Thread imeanzishwa kwa bahati mbaya?

Tena sio TB Joshua tu alikua mstari wa Mbele Loliondo na Magazeti ya Habari Corporation yakawa na picha zake front page
 
Back
Top Bottom