TB Joshua kiboko!

TB Joshua kiboko!

Please...tukubali kutokukubaliana bila kashfa.Na tujifunze kutofautiana bila kuchafuana na kukashifiana kwa kutofauti zetu za dini Maana kwa kukashifu hamsaidii yeyote sie unayemuelekeza wala Mungu unayemuabudu.

Wewe unaita Sahih HADITH KASHFA, Astghafurillah. Wache kufuru weye.


MUHAMMAD SIO MTUME KWASABABU HAKUWAI ONGEA NA MUNGU
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu?
 
TB Joshua au Manabii wowote wale huwa HAWATABIRI bali Wanazungumza yale MUNGU AMEWAONESHA. Suala la Kutoa Unabii lilikuwepo tangu zamani na wala si jambo la Kushngaza. Mkimwabudu Mungu katika Roho na Kweli Kutoa Unabii suala la Ajabu sana.

Usimdhalilishe Mungu wetu kiasi hicho! TB Joshua hana hadhi hiyo ya kushare ideas na Mungu huyu tunayemfahamu sisi labda yupo mwingine anayemjua yeye! Ingekuwa anaonyeshwa na Mungu huyu kamwe asingekosea katika huo mnaouita "unabii" unakumbuka alisema ndege ya Malaysia ingeonekana "karibuni"? Yuko wapi Rais wa Afrika Mashariki aliyetekwa nyara na mengi tu aliyobugi! Wote hawa wanaojiita manabii ni wababaishaji na kwa kweli ni wakala wa ibilisi wanaokuja katika jina la Bwana kama Yesu alivyotabiri mapemaaa!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mh! Haya bhana, siwezi kuingia kwenye malumbano ya dini...

Sasa kwenye hii post mnayo mtukaka mtumishi wa Mungu, sio mambo ya dini?

Waislam, hebu sikilizeni Injili hapa: Matayo 23: 33 Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
Hili ni onyo kwenu. Maana matendo yenu ni kama ya Nyoka na Jehanam hamta ikwepa.
Hebu tumsome kwanza Allah katika aya aliyo iteremsha kwa Mtume wake Muhammad (Pbuh).
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Mungu wa Waislam ajulikanaye kwa Jina la Allah amesema kiuwazi kabisa kuwa "wale wote ambao wanajivunia Uislam na kumuabudu Allah wataingia Motoni"
Nyie wote mnao jivunia Allah na Uislam mtaingia Jehannam. Nyie ni wana wa Majoka.
Mpokee Yesu leo
 
Na video niliyoiweka umeiona?

Wajinga ndio waliwao!

KUMBE KURAN NI MANENO YA SHETANI
Suratul Hijr 36. Akasema (Iblisi): Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watapo fufuliwa.
39. Akasema Iblis: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
 
Na video niliyoiweka umeiona?

Wajinga ndio waliwao!

KUMBE ALLAH ANA KIGEUGEU
Qur'an: 16: 101. Na tunapo badilisha ishara pahala pa ishara nyingine , na Mwenyezi Mungu anajua anayo teremsha, wao (Makafiri) wanasema: Wewe (Muhammad) ni mzushi. Bali wengi wao hawajui kitu.
........inapobadilisha aya, ili kubatilisha aya nyingine....!
 
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
Weye unawakubali wapiga ramli eeenh???
 
1220773_tbjoshua_png4f7949c0d273c029e9fe0a97a127f78b




Wajinga ndio waliwao

MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA
Imepokelewa na Bukhari Hadithi Juzuu 7, # 660.
Imehadithiwa na Aisha:
Nabii wa Allah alitupiwa uchawi kiasi cha kuanza kuwa anafikriai amefanya tendo la ndoa na wake zake kumbe alikuwa hajafanya nao (Sufyan anasema: Ulikuwa uchawi mkubwa sana kiasi cha kumfanya Nabii wa Allah kuwa kama Mwendawazimu) . Siku moja akasema, O Aisha, unafahamu kuwa Nabii wa Allah ameniomba usaidizi kuhusu nilicho muuliza?
Watu wawili walikuja, na mmoja wao alikaa karibu na kichwa changu na mwingine karibu na miguu yangu. Yule aliye kuwa karibu na kichwa changu alimuuliza mwenzake, Huyu Mtu anamatatizo gani?" mwingine alijibu , " Labid bin Al -A ' sam , mtu mmoja katika Bani Zuraiq ambaye alikuwa mshirika wa Wayahudi na mara mnafiki. " yule wa kwanza akauliza ,"( Je, nyenzo hakutumia )? Mwenzake akamjibu, Kitanio na Nyewele zilizo kwama kwenye Kitanio.
"Yule wa kwanza akamuuliza, kipo wapi. Mwenzake akamjibu katika ngozi yenye ----- uliopo kwenye Mtanda chini ya jiwe katika Kisima cha Dharwan". Basi Mtume akaenda kwenye kisima na akachukua hivyo vitu. Kile ni Kisima nilicho onyeshwa kwenye ndoto. Maji yake yanaonekana kama ya Henna na miti ya mitende inaonekana kama kwamba ni vichwa vya mashet'ani . "Mtume aliongeza ," Basi, jambo alitolewa 'Nikasema (kwa Mtume), "Kwa nini hujitibu na Nashra ? " Alisema, " Mwenyezi Mungu ndie atakaye nitibu; .Mimi sipendi uovu utapakae kwa watu wangu"
Habari ndio hiyoo. MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA NA KUANZA KUONA MALUWELUWE.
HUU NI MSIBA
 
Mbona ndege haijapatikana bado?? Mbona Arsenal imeshinda kikombe na hivyo kukinzana na utabiri wake?? Utabiri ni ujanja ujanja tu wa kucheza na nyota na mwendo wa matukio, ni kama Shekh Yahaya alivyokuwa anatabiri kiujanja ujanja tu.

Binafsi awe mtu wa Mungu au shetani, akishajiingiza kwenye utabiri tu huyo kwangu mchawi maana utabiri ni kucheza na nyota na inakuwa kama unaingilia kazi za Mungu.

Sisi walokole watu wa hvyo tunawaita wana mapepo ya utambuzi and has nothing to do with God
 
Sasa kwenye hii post mnayo mtukaka mtumishi wa Mungu, sio mambo ya dini?
Ndugu yangu mbona unaongea kama umekatwa kichwa? Ni wapi nimemtukana TB Joshua?
Je, umeona sehemu yoyote niliyo-comment kuhusu huyo unayemuita mtumishi wa Mungu?
Kama ungenisoma vizuri nimesema ni vizuri kukaa kimya na kufuatilia mjadala kama nilivyofanya
mimi badala ya kuleta kashfa kwa imani za wengine,au kukaa kimya ni kumkashifu TB Joshua?
Ni vizuri kama una matatizo yanayokusumbua ukatafuta njia muafaka ya kuyatatua badala
ya kujaribu kuyahamishia JF kwa watu wasiohusika...
 
Wewe unaita Sahih HADITH KASHFA, Astghafurillah. Wache kufuru weye.


MUHAMMAD SIO MTUME KWASABABU HAKUWAI ONGEA NA MUNGU
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu?

Mkuu ebu angalia heading ya thread hii alafu linganisha na contents zako...hivi zinaendana??

Cha pili jiulize...je kwa hayo humu unadhani utafanikisha nin zaidi ya kuwachukiza wengine?Mungu ni wa utaratibu na huwezi kufanikisha lolote kwa kukashifu.
 
Ndugu yangu mbona unaongea kama umekatwa kichwa? Ni wapi nimemtukana TB Joshua?
Je, umeona sehemu yoyote niliyo-comment kuhusu huyo unayemuita mtumishi wa Mungu?
Kama ungenisoma vizuri nimesema ni vizuri kukaa kimya na kufuatilia mjadala kama nilivyofanya
mimi badala ya kuleta kashfa kwa imani za wengine,au kukaa kimya ni kumkashifu TB Joshua?
Ni vizuri kama una matatizo yanayokusumbua ukatafuta njia muafaka ya kuyatatua badala
ya kujaribu kuyahamishia JF kwa watu wasiohusika...

Sasa unanikata na kichwa? Mungu Yesu akuhurumie.

Hivi nilipo weka ayats and sahihi hadith zao sasa imekuwa kashfa. Lakini watu wanakashifu husemi kitu? Au ni ile Islamaphobia?

Hakika: Mithali 27: 5 Lawama ya wazi ni heri, Kuliko upendo uliositirika.
 
Mkuu ebu angalia heading ya thread hii alafu linganisha na contents zako...hivi zinaendana??

Cha pili jiulize...je kwa hayo humu unadhani utafanikisha nin zaidi ya kuwachukiza wengine?Mungu ni wa utaratibu na huwezi kufanikisha lolote kwa kukashifu.

Mbona contents zanazo Mtukuka husemi? Nipo hawa kutowa daawah kwa wasio amini.

MUHAMMAD ALIPAGAWA NA MASHETANI TOKEA UTOTO WAKE
Imetafsiriwa na Guillaume katika Ishaq Ukurasa wa 72
Shangazi yake alisema kwangu, "Nina hofu kuwa huyu mtoto ameshikwa na mfadhaiko, hivyo ngoja nimrudishe kwa familia yake kabla hali yake kuwa mbaya zaidi. Mama yake Muhammad akasema kumetokea nini kwa mtoto wangu? Akasema, NINA HOFU KUWA MUHAMMAD AMEINGIWA NA SHETANI, akanijibu, NIKWELI MUHAMMAD AMEPAGAWA NA MASHETANI
 
Sasa unanikata na kichwa? Mungu Yesu akuhurumie.
Hivi nilipo weka ayats and sahihi hadith zao sasa imekuwa kashfa. Lakini watu wanakashifu husemi kitu? Au ni ile Islamaphobia?
Hakika: Mithali 27: 5 Lawama ya wazi ni heri, Kuliko upendo uliositirika.
Teh teh teh! Kaazi kwelikweli. Ki ukweli badala ya kukasirika nimejikuta nacheka.
Labda nisaidie kwenye hili, hivi TB Joshua amegeuka dini/imani siku hizi? Maana
nalaumiwa kwa kukaa kimya anaposemwa...
 
Hakuna nabii wa mungu anaetoa majibu ya matatizo ya jirani nakuacha matatizo ya ndani ya taifa lake tumesoma historia za manabii mbali mbali juu matatizo ya nchi zao walitoa unabii nakuomba ili matatizo walioyaona yasitokee tb joshua sio nabii wa kweli
 
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.

Inaelekea nawe ni mfuasi wake hapa bongo. Ushauri wa bure ni kwamba huyo jamaa ni bonge la tapeli kaa nae mbali kabla hujafilisiwa kwa kunua stika na vichupa vya maji...nabii kutoka nigeria? kule wanapatikana "juju men" au waganga wa kienyeji ambako hao wanaojiita manabii wenu wakiwemo wa hapa bongo wanaenda kuzindikwa.
 
Last edited by a moderator:
Mbona contents zanazo Mtukuka husemi?Nipo hawa kutowa daawah kwa wasio amini.

MUHAMMAD ALIPAGAWA NA MASHETANI TOKEA UTOTO WAKE
Imetafsiriwa na Guillaume katika Ishaq Ukurasa wa 72
Shangazi yake alisema kwangu, "Nina hofu kuwa huyu mtoto ameshikwa na mfadhaiko, hivyo ngoja nimrudishe kwa familia yake kabla hali yake kuwa mbaya zaidi. Mama yake Muhammad akasema kumetokea nini kwa mtoto wangu? Akasema, NINA HOFU KUWA MUHAMMAD AMEINGIWA NA SHETANI, akanijibu, NIKWELI MUHAMMAD AMEPAGAWA NA MASHETANI

Unaweza kabisa kuwaprove wrong bila kukashifu dini za wengine..
 
Huyu mzee namuona kama mchawi tu, sinaga imani na mtu anayejiita mtabiri au nabii.

Bora niwe mpagani tu.
 
Back
Top Bottom