TB Joshua kiboko!

TB Joshua kiboko!

Uliposema kuwa ameshindwa kuwaondoa boko haramu nchini kwake je wewe si sawa na wale waliomwambia Yesu ajiteremshe msalabani kama Yeye ni kweli Mwana wa Mungu?

Ndio maana nimekuambia usome vizuri na uelewe! Nilisema alitakiwa kusimamisha shukrani kwa MUNGU kwa ajili ya hao boko haram. Ninajua bado haujaelewa ninavyosema asimamishe shukrani. Ushauri wa bure: kama haujamuelewa mtoa mada soma mara mbili au zaidi na usipomuelewa muulize na ukishamuelewa ndipo utoe uamuzi kama uliotoa kuhusu mada niliyoiandika
 
Kwikwikwikwi...
KUMBE ALLAH SIO AKBAR!!!!!!!!!!!!!!!!
ALLAH ANAOMBA ANUSURIWE MAANA INAONEKANA AMENASA SEHEMU
============================== =======================
Q47:7 Enyi mlioamini, mkimnusuru Allah naye atawanusuru na kuithibitisha miguu yenu!
Sasa kama ameshindwa kujinusuru mwenyewe, atawezaje kuwanusuru Waislam?
KUMBE ALLAH SIO AKBAR
 
KUMBE ALLAH SIO AKBAR!!!!!!!!!!!!!!!!
ALLAH ANAOMBA ANUSURIWE MAANA INAONEKANA AMENASA SEHEMU
============================== =======================
Q47:7 Enyi mlioamini, mkimnusuru Allah naye atawanusuru na kuithibitisha miguu yenu!
Sasa kama ameshindwa kujinusuru mwenyewe, atawezaje kuwanusuru Waislam?
KUMBE ALLAH SIO AKBAR

na Mwamedi muda huu kwa mujibu wa Koran & Hadith Sahih yuko motoni!
 
KUMBE ALLAH SIO AKBAR!!!!!!!!!!!!!!!!
ALLAH ANAOMBA ANUSURIWE MAANA INAONEKANA AMENASA SEHEMU
============================== =======================
Q47:7 Enyi mlioamini, mkimnusuru Allah naye atawanusuru na kuithibitisha miguu yenu!
Sasa kama ameshindwa kujinusuru mwenyewe, atawezaje kuwanusuru Waislam?
KUMBE ALLAH SIO AKBAR

"Eli Eli lama sabachthani?" which is, "My God, my God, why have you forsaken me?" Mark 15:34.

Nani huyu anaeomba anusuriwe?
 
na Mwamedi muda huu kwa mujibu wa Koran & Hadith Sahih yuko motoni!
Usiwe na haraka, siku yako ya kufa itafika na baada ya hapo utakumbana na hukumu yako.
Endelea kuvuta pumzi free of charge kutoka kwa Mungu. Endelea kufanya comedy juu ya mjumbe wake.

Unamkumbuka Firauni? Je unakumbuka mwisho wake?
 
"Eli Eli lama sabachthani?" which is, "My God, my God, why have you forsaken me?" Mark 15:34.

Nani huyu anaeomba anusuriwe?
Quran 15: 6. Na walisema: Ewe uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe ni mwendawazimu.


Muhammad anaitwa mwendawazimu mbele ya kadamnasi. Hayo madai ya uwendawazimu hayakukataliwa na mtume wa Allah. Alicho fanya Muhammad ni kukaa kimya, jambo ambalo ni jibu tosha kuwa alikubali kuwa yeye ni Mwendawazimu. Uhakikisho wa uwendawazimu wake upo kimaandishi.


Hebu tusome Simulizi zake kidogo: "Kitab al-Tabaqat al-Kabir", (Kitabu cha Madarasa Meja), na Ibn Sad, kutafsiriwa na S. Moinal Haq, [4], ukurasa wa 225; Muhammad akisema:

O Khadija, Ninaona Mwanga, na nasikia Masautisauti, nina hofu kuwa mimi nina Wazimu.


Kwenye hiyo simulizi yake, hapo juu, Mtume wa Allah anakiri kuwa yeye ni mwendawazimu. Kukiri huko, kunatuletea maswali mengi, ambayo nategemea mengi ya maswali hayo, yatakosa majibu. Lakini ni vyema tujiulize maswali. Kwanini Allah aliteremsha aya inayo muita Mtume wake Mwendawazimu? Kwanini Muhammad hakukataa kuitwa Mwendawazimu? Utume wa huyu Muhammad umejaa shaka, pale alipo kubali kuwa yeye ni mwendawazimu. Rejea kwenye simulizi yake hapo juu. Nita nukuu sehemu fupi ya kukubali kwake “O Khadija, …….nina hofu kuwa mimi nina Wazimu”.


Hatujawai soma kwenye vitabu vingine vitakatifu kuwa Mitume wa Mungu wa Biblia walikubali kuwa wao ni Wendawazimu, lakini leo hii tumejifunza kuwa Muhammad mtume Allah, anakubali kuwa yeye ni Mwendawazimu.
 
KUMBE ALLAH SIO AKBAR!!!!!!!!!!!!!!!!
ALLAH ANAOMBA ANUSURIWE MAANA INAONEKANA AMENASA SEHEMU
============================== =======================
Q47:7 Enyi mlioamini, mkimnusuru Allah naye atawanusuru na kuithibitisha miguu yenu!
Sasa kama ameshindwa kujinusuru mwenyewe, atawezaje kuwanusuru Waislam?
KUMBE ALLAH SIO AKBAR

duuh! watu wachunguzi.
 
Back
Top Bottom