TB Joshua kiboko!

TB Joshua kiboko!

kwa hiyo unataka orodha ya majina mengi ya ma genius wetu na wala sio jina moja ndio unamaanisha hivyo?

Ngoja basi niwe mahsusi kwa kadri iwezekanavyo.

Ni hivi, naomba uniandikie orodha ya ma genius 10 wa Kitanzania, walio Tanzania, wafu na walio hai.

Nimekuwa mahsusi vya kutosha?
 
Ngoja basi niwe mahsusi kwa kadri iwezekanavyo.

Ni hivi, naomba uniandikie orodha ya ma genius 10 wa Kitanzania, walio Tanzania, wafu na walio hai.

Nimekuwa mahsusi vya kutosha?

54863.jpg
 
MUHAMMAD(SAW) AKIRI KUWA YEYE NI MTUME BANDIA
1. Asema yeye hajui nini atafanywa baada ya kifo.
2. Asema yeye hajui nyie mnae mfuta nini mtafanywa baada ya kifo.
3. Aukana utume wake.
Surat Al Ah'qaaf 9. Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.
Jamani leo tumepata ushaidi kutoka Muhammad kuwa Yeye sisi chochote na Uislam sio mali kitu.
Poleni sana wafuasi wa mtume kiroja kama alivyo dai mwenyewe.

Jamani, sasa tunavuka mipaka ya uhuru wetu wa kutoa mawazo.
It's not fair kuingiza masuala ya imani za dini na kukashifu dini za
wengine kwani siyo msingi wa hoja iliyoletwa mezani tuijadili. Ni bora
wakati mwingine tukabaki kimya kufuatilia mjadala kama nilivyofanya
mimi kama tunadhani hatuwezi kujadili kistaarabu...
 
Jamani, sasa tunavuka mipaka ya uhuru wetu wa kutoa mawazo.
It's not fair kuingiza masuala ya imani za dini na kukashifu dini za
wengine kwani siyo msingi wa hoja iliyoletwa mezani tuijadili. Ni bora
wakati mwingine tukabaki kimya kufuatilia mjadala kama nilivyofanya
mimi kama tunadhani hatuwezi kujadili kistaarabu...

Mwambie Allah aliye teremsha aya.
 
1220773_tbjoshua_png4f7949c0d273c029e9fe0a97a127f78b




Wajinga ndio waliwao

Haa ha ha Faiza..unadanganyika na hiyo?yaan ata haihitaji kuwa na elimu ya darasa la saba kujua hiyo ni feki.

Kwa kutukata kilimi...ebu weka japo youtube video aliyoongea hayo?usipoiona jua huo ni uongo.
 
Jamani, sasa tunavuka mipaka ya uhuru wetu wa kutoa mawazo.
It's not fair kuingiza masuala ya imani za dini na kukashifu dini za
wengine kwani siyo msingi wa hoja iliyoletwa mezani tuijadili. Ni bora
wakati mwingine tukabaki kimya kufuatilia mjadala kama nilivyofanya
mimi kama tunadhani hatuwezi kujadili kistaarabu...

KUMBE ALLAH SIO AKBAR!!!!!!!!!!!!!!!!
ALLAH ANAOMBA ANUSURIWE MAANA INAONEKANA AMENASA SEHEMU
=====================================================
Q47:7 Enyi mlioamini, mkimnusuru Allah naye atawanusuru na kuithibitisha miguu yenu!
Sasa kama ameshindwa kujinusuru mwenyewe, atawezaje kuwanusuru Waislam?
KUMBE ALLAH SIO AKBAR
 

SIUTAKI UISLAM KWASABABU UNARUHUSU KULA FISI
==================================================
Sayyidina Ibn Ammar (RA) alisema kuwa, siku moja alimuuliza Jabir Jbn Abdullah (RA) kuhusu uwindaji wa FISI. Alinijibu na kusema, inaruhusiwa kuwinda Fisi. Nilimuuliza, Je, tunaruhusiwa kula, na akanijibu kuwa Kula Fisi ni Halal (Inaruhusiwa kula Fisi).
Nikamuuliza tena, Je, Nabii wa Allah(SAW) aliruhusu kula Fisi? Jabir r alinijibu na kusema. NDIO, Nabii wa Allah aliruhusu kula Fisi.
[Abu Dawud 3801, T 1798, Ibn e Majah 3085, Ahmedl4456]
9- Kitabu cha HAJJ



 
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.

Ahaa! Kumbe kutabiri kunamfanya mtu kuwa "mtu wa Mungu"? Kama huo utakuwa ukweli basi Tanzania ndiyo tunaongoza kwa kuwa na "watu wa mungu" wengi ikiwa ni pamoja na Marehemu Sheikh Yahya ambaye alitabiri mengi tu yaliyotokea, bila kuwasahau kina Marehemu Ezekiel na hata wapiga ramli wa kule mlimgotini!
Inawezekana si yote yaliyotabiriwa na Sheikh Yahya yalitimia, lakini moja ya utabiri wake nilioufuatilia ni alipomjibu muulizaji katika gazeti lililokuwa likichapishwa Kenya la Baraza mwaka 1970 kwamba southern Rhodesia (Zimbabwe) ingepata uhuru miaka 13 tokea mwezi ule.
Mimi sikuwa muumini wa ramli lakini nilidhamiria kufuatilia huu ili kuona kama inawezekana. Wakati ule hakukuwa na hata chembe ya dalili juu ya utabiri ule lakini cha kushangaza Southern Rhodesia ili kuja pata uhuru wake 1983 tarehe na mwezi sawa na utabiri wake!
Je ndiyo tuseme naye alikuwa nabii?
Vyovyote iwavyo, si huyo niliyemtaja wala huyu mnayempapatikia sasa Joshua ni watu wa Mungu kwa maana ya kumwakilisha Mungu, bali ni nguvu za kuzimu ndizo zinazofanya kazi na zilizofanya kazi ndani yao.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
talented person,ukifanya picha za ngono na ww tutajua unakipaji,mjini fanya yako ww
 
SIUTAKI UISLAM KWASABABU UNARUHUSU KULA FISI
==================================================
Sayyidina Ibn Ammar (RA) alisema kuwa, siku moja alimuuliza Jabir Jbn Abdullah (RA) kuhusu uwindaji wa FISI. Alinijibu na kusema, inaruhusiwa kuwinda Fisi. Nilimuuliza, Je, tunaruhusiwa kula, na akanijibu kuwa Kula Fisi ni Halal (Inaruhusiwa kula Fisi).
Nikamuuliza tena, Je, Nabii wa Allah(SAW) aliruhusu kula Fisi? Jabir r alinijibu na kusema. NDIO, Nabii wa Allah aliruhusu kula Fisi.
[Abu Dawud 3801, T 1798, Ibn e Majah 3085, Ahmedl4456]
9- Kitabu cha HAJJ




Please...tukubali kutokukubaliana bila kashfa.Na tujifunze kutofautiana bila kuchafuana na kukashifiana kwa kutofauti zetu za dini Maana kwa kukashifu hamsaidii yeyote sie unayemuelekeza wala Mungu unayemuabudu.
 
KUMBE ALLAH SIO AKBAR!!!!!!!!!!!!!!!!
ALLAH ANAOMBA ANUSURIWE MAANA INAONEKANA AMENASA SEHEMU
=====================================================
Q47:7 Enyi mlioamini, mkimnusuru Allah naye atawanusuru na kuithibitisha miguu yenu!
Sasa kama ameshindwa kujinusuru mwenyewe, atawezaje kuwanusuru Waislam?
KUMBE ALLAH SIO AKBAR

Mwambie Allah aliye teremsha aya.
Mh! Haya bhana, siwezi kuingia kwenye malumbano ya dini...
 
Back
Top Bottom