TB Joshua kiboko!

TB Joshua kiboko!

Ok ila Pia Yesu hakusema kuwa Wote ni Manabii wa Uongo... ila alitupa Sharti kuwa Tutawatambua kwa Matendo yao..
sajumo

Maana kama Tutaendelea kusema kuwa Yesu alisema watakuja manabii wa Uongo na sisi Kila Tumuonapo Mtumishi anahubiri na kufanya miujiza Tukasema waongo basi Duniani hakutakuwa na Ukombozi wowote ule alioleta Kristo maana kuna Mambo ambayo Binadamu hatuwezi kuponya Au kuyatatua ila Yesu Kristo Pekee. Sasa kama wote ni Wa uongo basi hakuna Ukombozi au Ishara ya Kuwa Bado Yesu Yu hai nasi.

Kwahiyo inabidi tusikurupuke tu na Kusema kuwa ni Nabii wa Uongo ila tuchunguze kuwa kama Yatoka kwa Mungu wa ukweli ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo kwa Kuangalia Matendo yao na Kuuliza baadhi ya Waumini wa karibu na kusikiliza Testimonies mbalimbali na kuzichunguza kama ni za kweli au ni maigizo tu..

MFANO

Nabii wa Uongo siku zote hadumu. Utamjua tu kama ni Mpenda Sadaka, Mwongo, Anaabudu Sanamu (pesa, usherati, mchawi ). Anatumia Nguvu za Giza kutuliza Mapepo si kuyatoa n.k

Hawa wahubiri wapo hapa Tanzania na tunawafahamu..

ubarikiwe sana kwa ufafanuzi mzuri
 
Last edited by a moderator:
Picha ya uongo mtupu. [/QUO
TE]

Ndio mnavyodanganyana hivyo?

Hebu tembelea kwenye hiyo sura ukasome "context". 69. SURAT AL-H'AAQQAH


Hakika Wajinga ndio waliwao.
MUHAMMAD ALIPAGAWA NA MASHETANI TOKEA UTOTO WAKE
Imetafsiriwa na Guillaume katika Ishaq Ukurasa wa 72
Shangazi yake alisema kwangu, "Nina hofu kuwa huyu mtoto ameshikwa na mfadhaiko, hivyo ngoja nimrudishe kwa familia yake kabla hali yake kuwa mbaya zaidi. Mama yake Muhammad akasema kumetokea nini kwa mtoto wangu? Akasema, NINA HOFU KUWA MUHAMMAD AMEINGIWA NA SHETANI, akanijibu, NIKWELI MUHAMMAD AMEPAGAWA NA MASHETANI​


 
MUHAMMAD ALIPAGAWA NA MASHETANI TOKEA UTOTO WAKE
Imetafsiriwa na Guillaume katika Ishaq Ukurasa wa 72
Shangazi yake alisema kwangu, "Nina hofu kuwa huyu mtoto ameshikwa na mfadhaiko, hivyo ngoja nimrudishe kwa familia yake kabla hali yake kuwa mbaya zaidi. Mama yake Muhammad akasema kumetokea nini kwa mtoto wangu? Akasema, NINA HOFU KUWA MUHAMMAD AMEINGIWA NA SHETANI, akanijibu, NIKWELI MUHAMMAD AMEPAGAWA NA MASHETANI​



Kwikwikwikwi...
 
Ni mwizi. Period

Mwizi kakuibia,hata Yesu walimwua kwa kumsingizia uongo,kama una ushahidi na maisha ya binadamu wenzie nyamaza kimya au umwombee aache wizi.Kama wewe ni mkristo mwombee kwani maadiko yanasema "usimahuusie jirani yako uwongo"
 
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.

Hata shekhe yahaya alikuwa mtabiri, ukienda kwa wapiga ramri nao ni watabili.
 
Mbona ndege haijapatikana bado?? Mbona Arsenal imeshinda kikombe na hivyo kukinzana na utabiri wake?? Utabiri ni ujanja ujanja tu wa kucheza na nyota na mwendo wa matukio, ni kama Shekh Yahaya alivyokuwa anatabiri kiujanja ujanja tu.

Binafsi awe mtu wa Mungu au shetani, akishajiingiza kwenye utabiri tu huyo kwangu mchawi maana utabiri ni kucheza na nyota na inakuwa kama unaingilia kazi za Mungu.

Ni kweli kabisa! Nchini kwake boko haram wanaitwanga nchi na kufanya watakalo kama vile panya buku anaetembea kweupe kwa vile paka hayupo! Kama kweli ni mtu wa MUNGU angeiepusha nchi yake kwa kusimamisha shukrani kwa MUNGU na nchi ingepona lakini hakuna analolifanya zaidi ya kudanganya dunia kuwa ghorofa lake lilianguka kwa kupigwa bomu! Kumbe hakupewa kibali cha kuongeza ghorofa nyingine juu! Ninachoamini waongo MUNGU atawadhihirisha mchana kweupe!
 
Wote hawa T.B Joshua, Mama Lwakatare, Gwajima, Lusekelo, Kakobe n.k ni wajasiriainjili. Wenzio wapo kazini!
 
Ni kweli kabisa! Nchini kwake boko haram wanaitwanga nchi na kufanya watakalo kama vile panya buku anaetembea kweupe kwa vile paka hayupo! Kama kweli ni mtu wa MUNGU angeiepusha nchi yake kwa kusimamisha shukrani kwa MUNGU na nchi ingepona lakini hakuna analolifanya zaidi ya kudanganya dunia kuwa ghorofa lake lilianguka kwa kupigwa bomu! Kumbe hakupewa kibali cha kuongeza ghorofa nyingine juu! Ninachoamini waongo MUNGU atawadhihirisha mchana kweupe!
Usimhukumu mwenzie,mkosoe na umsaidie sisi wanadamu wengi mtu akishindwa kitu tunambebea bango badala ya kumsaidia na kumwombea.Hata yule mwizi pale pembeni mwa Yesu alipokea wokovu palepale mtini na akauona ufalme wa Mungu so mwenzio anaweza akatubu wewe ukabaki na bango lako la "ni mwongo etc"
 
Ni kweli kabisa! Nchini kwake boko haram wanaitwanga nchi na kufanya watakalo kama vile panya buku anaetembea kweupe kwa vile paka hayupo! Kama kweli ni mtu wa MUNGU angeiepusha nchi yake kwa kusimamisha shukrani kwa MUNGU na nchi ingepona lakini hakuna analolifanya zaidi ya kudanganya dunia kuwa ghorofa lake lilianguka kwa kupigwa bomu! Kumbe hakupewa kibali cha kuongeza ghorofa nyingine juu! Ninachoamini waongo MUNGU atawadhihirisha mchana kweupe!

Ndugu, hata Yesu aliambiwa ajiteremshe msalabani ikiwa Yeye ni mwana wa Mungu na hakufanya hivyo je unadhani ni kwanini? Usihukumu kwakuwa kila mwanadamu atahukumiwa na Mungu pekee
 
Usimhukumu mwenzie,mkosoe na umsaidie sisi wanadamu wengi mtu akishindwa kitu tunambebea bango badala ya kumsaidia na kumwombea.Hata yule mwizi pale pembeni mwa Yesu alipokea wokovu palepale mtini na akauona ufalme wa Mungu so mwenzio anaweza akatubu wewe ukabaki na bango lako la "ni mwongo etc"

Natumaini sijamhukumu bali nimesema anaetenda kinyume na MUNGU atahukumiwa siwezi kusimama kwenye nafasi hiyo ya kuhukumu bali ni NENO ndivyo linavyosema.
 
Ndugu, hata Yesu aliambiwa ajiteremshe msalabani ikiwa Yeye ni mwana wa Mungu na hakufanya hivyo je unadhani ni kwanini? Usihukumu kwakuwa kila mwanadamu atahukumiwa na Mungu pekee

Usome vizuri na uelewe nilichoandikwa kuliko kudandia kuwa nimehukumu! Aliesema anaepotosha wana wa MUNGU ni heri afungwe jiwe atoswe kwenye kilindi kirefu ni MUNGU sijaongeza wala siwezi kupunguza NENO bali ni MUNGU kasema!
 
Usome vizuri na uelewe nilichoandikwa kuliko kudandia kuwa nimehukumu! Aliesema anaepotosha wana wa MUNGU ni heri afungwe jiwe atoswe kwenye kilindi kirefu ni MUNGU sijaongeza wala siwezi kupunguza NENO bali ni MUNGU kasema!

Uliposema kuwa ameshindwa kuwaondoa boko haramu nchini kwake je wewe si sawa na wale waliomwambia Yesu ajiteremshe msalabani kama Yeye ni kweli Mwana wa Mungu?
 
Nahisi humu ndani kuna watu wanataka kuharibu biashara za watu, dunia ni kama ng'ombe wenye maziwa mengi, yaani kila mtu anaweza kutumia ujanja wake au kipaji chake kujipa mafanikio. Kwa hiyo kuwasema vibaya hawa manabii wa enzi za sasa ni kama kuua soko lao, manake watu wengi wanawaamini na kuwafuata na kuna baadhi yao wanawaabudu. Kwahiyo jamani tusiharibu biashara za watu.
 
Mkuu fikra za wahariri wa sampuli hii ndizo zilizopelekea headlines kubwa kubwa kwenye magazeti kipindi cha Babu wa Loliondo.Hawa hawakujishughulisha kuhusu mambo scientific.Wanapenda mambo rahisi rahisi yasiyohitaji logic na critical thinking.
Manyerere Jackton ni mmoja kati ya wahariri mizigo waliochangia sana kudhalilisha tasnia ya habari. Vyombo vya habari sio tena mhimili wa nne kutokana na ukasuku, njaa, tamaa za kupewa u-DC na maupuuzi mengi sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom