Tb Joshua atabiri mambo makubwa

Tb Joshua atabiri mambo makubwa

Alitabili kua Joyce Banda angeshinda uchaguzi wa urais Malawi!!!
 
Bado natafuta faida ya the so called 'utabiri'....
 
Mwizi tu hana tofauti na mganga wa kienyeji taking advantage of peoples problems
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?

hio nchi ni Tanzania, bora tu atekwe tu kuliko anavyotumiwa na magamba wenzake kuchakachua mchakato wa katiba.
 
Unatetea kitu ambacho haujakielewa vizuri.

Alitabiri ndege ya Malaysia itaonekana, je, imeonekana? Unasema unabii usipotimia inakuwa ni maombi, je, yeye na nyie wafuasi wake mliomba ndege isionekane?

JMushi1 hapo juu anasema kitu kilichowashinda hao manabii ni kuishi maisha ya Kristu. Wote hapa tunajua maisha aliyoyaishi Yesu na Yesu hakuna kitu kilichomshinda. Yesu alifufua hadi wafu (sidhani kama kuna mtu aliyewahi kulifanya hili) na yeye Yesu mwenyewe alifufuka katika wafu. Yesu alitembea juu ya maji. Kipindi cha Yesu palikuwa na matajiri pia kwahiyo angeweza kabisa kuishi maisha ya kifahari. Yesu alisema mkubwa na awe mdogo. Ni kweli maisha ya hao manabii wa sasa hayana tofauti na mapedeshee.

Mimi ni Roman Catholic na ni Mkristu hai ila akili yangu "haijafungwa".

Out of Topic:

Huwa ninawasifu Waislam kwa kujaribu kuishi kulingana na maisha aliyoyaishi mtume wao ndiyo maana unakuta hadi leo wanawake wa Kiislam wanavaa kama alivyovaa mama yake Yesu wa Nazareth.

Haiwezekani kabla ya kuingia chumbani kwako uvue viatu lakini kwenye nyumba ya ibada uingie na viatu. Kuna baadhi ya vitu Wakristu tunatakiwa tubadilike.

hahahaha vizuri kwa kutoa maoni yako!!
Kama vp badili dini kwani unazuiwa?
 
TB joshua ameendelea kiitabiria dunia kwa tahadhari,asema majanga zaidi kuendelea mwaka huu,yatakayojiri miezi mitatu iliyobaki itakua kama dunia ingepaswa iyapate kwa miaka kumi.
1. Amesema rais Obama atakimbizwa hospitali lkn atapona Bali aliwasaha wasikimbilie kumfanyia opération.
2. Nchi za kusini mwa africa bado l'île jaribu la kumteka au kumuua rais au makamu wake,au mke bado maninja wamelikamia kutimiza.
3. Alisema ombeni kwa ajili ya Kenya,bado anga si shwari.
4. Tahadhari ndege nyingine ya abiria kuangushwa maeneo yenye vita ASIA.
5. Ugaidi UK/France si sasa Bali wakae mkao Wa kichapo tarehe 16,17,18 na mwisho Wa mwezi huu.
6.Nigeria ,kuna boss mkubwa atatunguliwa na boko haram,jeshi lina command mbili.
 
Hata Yesu aluvyokuja watu
walimpinga mpaka wakamwua so hata uje vipi shetani ataakikisha mambo ya
kweli hayafikii wanadamu ili waombe.

mkuu unakosea kumfananisha na yesu. yesu alisema uzeni mali zenu mnifuate. huyu yeye katoa akaunti namba muweke fedha huoni tofauti hapo?
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?

Kama kweli yeye ni mtabiri na ajitabirie atakufa lini au siku ya mwisho qiyama ni lini
 
Unatetea kitu ambacho haujakielewa vizuri.

Alitabiri ndege ya Malaysia itaonekana, je, imeonekana? Unasema unabii usipotimia inakuwa ni maombi, je, yeye na nyie wafuasi wake mliomba ndege isionekane?

JMushi1 hapo juu anasema kitu kilichowashinda hao manabii ni kuishi maisha ya Kristu. Wote hapa tunajua maisha aliyoyaishi Yesu na Yesu hakuna kitu kilichomshinda. Yesu alifufua hadi wafu (sidhani kama kuna mtu aliyewahi kulifanya hili) na yeye Yesu mwenyewe alifufuka katika wafu. Yesu alitembea juu ya maji. Kipindi cha Yesu palikuwa na matajiri pia kwahiyo angeweza kabisa kuishi maisha ya kifahari. Yesu alisema mkubwa na awe mdogo. Ni kweli maisha ya hao manabii wa sasa hayana tofauti na mapedeshee.

Mimi ni Roman Catholic na ni Mkristu hai ila akili yangu "haijafungwa".

Out of Topic:

Huwa ninawasifu Waislam kwa kujaribu kuishi kulingana na maisha aliyoyaishi mtume wao ndiyo maana unakuta hadi leo wanawake wa Kiislam wanavaa kama alivyovaa mama yake Yesu wa Nazareth.

Haiwezekani kabla ya kuingia chumbani kwako uvue viatu lakini kwenye nyumba ya ibada uingie na viatu. Kuna baadhi ya vitu Wakristu tunatakiwa tubadilike.

Taqbir!!!! Nafrah kuona umeyajua haya ikiwa n miongoni mwa waumin wa dini hiyo hiyo mungu akuongoze uzidi kupambanua na inshaallah utajua ukweli wote kwa hekima za allah s.w
 
Akitabiri huwa anasema tuombe ili mabaya yasitokee..sasa utapeli wake uko wapi? ameshawahi kudai fedha? mara zote wanaompinga hawajawahi hata kuchukua robo saa ya kusikiliza mafundisho yake

Mkuu hapo umenena, sasa ametabiri mangapi na watu wakaomba na bado yaktokea???? Kwanini yatokee wakati maombi kwa Mungu yamefanyika? Kumbuka ya Hezekia na Nabii Isaya.
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?

Most likely Uganda, maana alilisema hilo mwanzoni mwa mwaka huu. Nchi inapakana na Kenya,iliwahi kupata ugaidi mkubwa sehemu ya starehe.
 
Hivi ile ndege alisema itaonekana nayo imeonekana au....?

Akisema itaonekana huwa anategemea wahusika wamuulize iko wapi,au panda ndege ukatuonyeshe,sasa wasomi hawataki wanaamua kubull shit basi na mungu anaachia ivoivo,shida ni yenu ,hakuna roho inayopotea kwake. Hâta kwenye maandiko kuna mambo manabii waliulizwa ili waelekeze,sisi hatuna haja tuna satellite
 
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?[/QUOTE]
Not necessarily
Kenya inapakana na South Sudan, Somalia, Uganda, Tanzania na Ethiopia. Katika vurugu mechi za kisiasa kati ya hao majirani Tanzania haimo kabisa!
 
Kwa nini anaitwa Peter Samson Maro?, na sio Peter Mramba au Peter Mkapa?

Haïti earth quick,westgate mall attack,death Of george saitoti,death Nigeria président,présidence Of thé late ghanian président,death Of Michael Jackson,air malaysia crash,2014 war against russia etc
 
Watu wasioamini wana shida kubwa Sana, hawamuamini TB joshua,je kwao hawamwamini,kakobe,wala mwingira,wala mzee Wa upako,wala malisa,wala gwajima,wala yeyote. Weka la yeyoze hapa uone watakavyobubujika kinyume nao. Ukiona mtumishi anasifika ,basi ujue ni mdini tu na hana nguvu za mungu,anawapa mawaidha haana nguvu ya kristo ya kutenda miujiza,uponyaji.ndo kanisa gani sasa,si ni bora nipeane mawaidha na mke wangu nyumbani
 
Back
Top Bottom