Tb Joshua atabiri mambo makubwa

Tb Joshua atabiri mambo makubwa

Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?
Hana tofauti na sheikh Yahaya!
 
Mbona anatabiri mabaya tu, kwa nini sio mambo mazuri.?!

Nabii mkuu basi ni Yesu,lakini alitabiri kuteketezwa Jérusalem,makombora ya Hamas hayaishi. Alitabili vita na dhiki. Matetemeko ya ardhi.Upendo kupungua,watumishi wake kuuawa unaona tindikali,mpinga kristo, uasi,kupenda starehe kuliko mungu,kupenda mifano ya dini kuliko nguvu za mungu NK yoote haya Ni mabaya.Zuri Ni moja tu kila amwaminiye atakua na uzima Wa milele. Sasa tb joshua kuona mabaya ndo amekua nabii Wa uwongo?
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?

Huyu TB Joshua wenu kaishiwa mbona ile ndege iliyopotea hajapatikana na yeye alisema itapatikana? Mwaka jana alitabari kuwa kuna rais wa nchi za Afrika mashariki atakufa lakini hadi leo hakuna, nadhani angejishughulisha na utabiri wake huko kwao kuhusu boko haramu na ebola itaisha lini.
 
Huyu TB Joshua wenu kaishiwa mbona ile ndege iliyopotea hajapatikana na yeye alisema itapatikana? Mwaka jana alitabari kuwa kuna rais wa nchi za Afrika mashariki atakufa lakini hadi leo hakuna, nadhani angejishughulisha na utabiri wake huko kwao kuhusu boko haramu na ebola itaisha lini.

Ni vile hamfuatilii,Ebola na Isil alivitaja mwanzo Wa mwaka huu,hamuezi jua nyinyii
 
mkuu unakosea kumfananisha na yesu. yesu alisema uzeni mali zenu mnifuate. huyu yeye katoa akaunti namba muweke fedha huoni tofauti hapo?

Umrnifurahisha sana huyu Joshu TB ni tajiri ana tv anajitangazaYesu alikuwa maskini na watu ndo waliokuwa wakimtangaza
 
Hana tofauti na sheikh Yahaya!

Sheikh yahya aponyi mtu,huyu anaponya cancer,HIV,Ebola,anaunga mifupa papo hapo,anafufua wafu. Kuna sheikh yahya Wa namna hii,sheikh anajua majini tu,maimuna anatembea jumanne, sijui zukr nini sijui%€# ,na kusoma maisha kwenye viganja,usoni,nini bwanaa. TB joshua anabeba neno la mungu,yaani upanga Wa roho
 
Acha kupotosha
Acha kuandika vitu vya kusikia

Search prophesy zake na uangalie programme zake then uje tena

sipotoshi rafiki, bali natoa mawazo yangu. Usijenge imani kali namna hiyo kwa wanadamu watakudissapoint siku ambapo hukutarajia. Mpe test of time utajua huo utabiri anautoa wapi na kwa faida ya nani.

ni changamoto tu best.
 
Haïti earth quick,westgate mall attack,death Of george saitoti,death Nigeria président,présidence Of thé late ghanian président,death Of Michael Jackson,air malaysia crash,2014 war against russia etc

Umrnifurahisha sana huyu Joshu TB ni tajiri ana tv anajitangazaYesu alikuwa maskini na watu ndo waliokuwa wakimtangaza

2 wakorintho 8:9 Maana, ninyi
mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo: yeye,
ingawa alikuwa na kila kitu, alijifanya maskini
kwa ajili yenu, ili kutokana na umaskini wake,
awatajirishe.
 
hayo maandishi yako ya 'herufi kubwa' yanakuthibitisha wewe ni fool !
Yaap, it a FOOL who says THERE IS NO GOD BUT ALLAH, not me. My God called that creature a fool READ Psalm 14: 1. The fool hath said in his heart, There is no God. They are corrupt, they have done abominable works; There is none that doeth good.

Ata ukitokwa na povu na chozi la damu, habari ndio hiyo. WAAMBIE NDUGU ZAKO, Nini maana ya "LA ILAHA"?
 
sijakuelewa bado .. unasema ....? TB JOSHUA HE'S A FOOL..?A MA?
The person who said LA ILAHA ILA ALLAH. Here is a proof. Psalm 14:1 The fool hath said in his heart, There is no God. They are corrupt, they have done abominable works; There is none that doeth good.
 
Sheikh yahya aponyi mtu,huyu anaponya cancer,HIV,Ebola,anaunga mifupa papo hapo,anafufua wafu. Kuna sheikh yahya Wa namna hii,sheikh anajua majini tu,maimuna anatembea jumanne, sijui zukr nini sijui%€# ,na kusoma maisha kwenye viganja,usoni,nini bwanaa. TB joshua anabeba neno la mungu,yaani upanga Wa roho
Hivyo vyote unavyovisema hata wewe waweza kufanya, ili mradi umevuviwa na Roho Mtakatifu.
Tatizo lenu ni kuamini mtu badala ya kuamini Neno la Mungu.
 
Ndo maana biblia imetuambie 'kupambanua Roho' ili tuue wa weli ni yupi ni wa uongo ni yupi sio kupinga tu kisa umesikia
Watch his programme utajua km wa uongo ama wa.kweli
Yani umepambanua roho kwa kumuangalia kwenye tv?

Mbona kwenye tv ni kama shows tu ambazo ziko well planned and cheoregraphically designed?

Mbona kuna tv shows/movies na watu wana act hadi wakati mwingine watizamaji wanaguswa na wengine hata kuwa emotional na kupeleka kulia nk.

Usiende na emotions za kwenye tv kujidanganya ndo macho ya kiroho!

Huyu mnaijeria atawala kweli kweli, maana hao jamaa hawatakuwa kimsimu kama babu wa loliondo ambaye kuna waliokuwa tayari kujiuwa humu ndani kwa kumtetea!

Huyu tayari ameshakuwa too big na ana wafanyakazi wake kila pahala. Atakuwepo around longer mana Africa ndivyo tulivyo.

Kama si hiyo miujiza amabyo kwenye tv Inaonekana kama unavyotizama movies, pamoja na the fact kuwa waafrika ndivyo tulivyo, hao manabii wa bongo wamekula vya kutosha, sasa ni zamu ya Nigeria.

Hata bongo movies style si ndo hiyo hiyo tu? Ilifunikwa na movies za kinaijeria, sasa Ikabidi waanze kuziiga.

Hata manabii wengi tulionao wameiga wanaijeria kwa kiasi kikubwa!

Utaniambia nini kuhusu wabongo bana, tulipenda sana bolingo licha ya kwamba hatujui wanachoimba, uliza Kanda Bongoman, Koffie Olomide et al walivyokuja na kuondoka na mabriefcase ya chapaa ya kutosha!
 
Sheikh yahya aponyi
mtu,huyu anaponya cancer,HIV,Ebola,anaunga mifupa papo hapo,anafufua
wafu. Kuna sheikh yahya Wa namna hii,sheikh anajua majini tu,maimuna
anatembea jumanne, sijui zukr nini sijui%€# ,na kusoma maisha kwenye
viganja,usoni,nini bwanaa. TB joshua anabeba neno la mungu,yaani upanga
Wa roho

acha uongo we jamaa
 
Hajasema nchi inayopakana na Kenya...amesema southern africa countries. ...kwamba one of their president atatekwa na pengine kuuawa.... about Obama, ameonya kwmba asifanyiwe operation maana haitokua sawa kwake. He said let's pray for them!!!

Obama yupi? Yule shoga?
 
ingia u tubu utaona au angalia ile Emanuel tv utaona wanaonyesha na kurudia,na siku moja uje uhame kwenye hiyo dini ya majini na kuchinjana

enyi wagalatia msio na akili... ni nani aliyewaloga?
 
Mbona alisema ndege ya Malasia iliyopotea itapatikana kabla ya wiki mbili lakini hadi leo hata fununu hakuna
 
Hivyo vyote unavyovisema hata wewe waweza kufanya, ili mradi umevuviwa na Roho Mtakatifu.
Tatizo lenu ni kuamini mtu badala ya kuamini Neno la Mungu.

Hé made some to be apostles,some prophets,evangelists,pastors n teachers. Pia kuna issue ya gifts healing,some miracles...sasa hé has emerged in that office ,we sée thé Glory Of God,because we know it is fromage God. Kumbuka honors those who serve him. So when TB is honoured ,people get offended. Hapa bongo pia kuna watumishi lakini hawajafikia kiwango chake,its just obvious
 
Hé made some to be apostles,some prophets,evangelists,pastors n teachers. Hapa bongo pia kuna watumishi lakini hawajafikia kiwango chake,its just obvious
Huo utofauti wa viwango mnapimaje?

Ama ni idadi ya pesa na waumini? Ama ni miujiza zaidi?

Poleni sanaa!
 
Nabii mkuu basi ni Yesu,lakini alitabiri kuteketezwa Jérusalem,makombora ya Hamas hayaishi. Alitabili vita na dhiki. Matetemeko ya ardhi.Upendo kupungua,watumishi wake kuuawa unaona tindikali,mpinga kristo, uasi,kupenda starehe kuliko mungu,kupenda mifano ya dini kuliko nguvu za mungu NK yoote haya Ni mabaya.Zuri Ni moja tu kila amwaminiye atakua na uzima Wa milele. Sasa tb joshua kuona mabaya ndo amekua nabii Wa uwongo?
Unachukua upande mmoja tu, yesu alitabiri mabaya na mazuri, kwani biblia haingongelei kuhusu ndoa nzuri, utajiri, sherehe, mafanikio, afya nk wewe kwenye biblia umeona hayo tu, au hayo ndo unasikia kwa wachingaji kila siku..?! Na yamekukaa kweli i bet utakuwa huthamini maisha inavyotakiwa..sijui kama utanielewa lakini
 
Back
Top Bottom